Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mm hainiletei hizo..au kwasababu mostly najinyweaga alone sinywi na babe!..mm bwana st anna bwana🖐Afu kwanini ukinywa lazima uwaze kwenda kufanya ngono.
Sijui ina nini....japo ni nzuri na inachangamsha sana