ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Hahah hii kitu ukinywa unashiba kwanza so unakua hujui kama umezidisha au laHahahahhahahahahahahahahaa jamani uwiii 🤣🤣🤣🤣! Ndo maana tunadharaurika 🤣🤣🤣🤣🤣! Kwann ukiona signal zinakata usianze kunywa maji? Mm nikiona nalewa naacha naanza kunywa maji kwa pupa .30min mzimaa! Dah aisee..ukapoop