TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

Mkuu achaa uwongo.....dengelua haiko hivyo hiyo unayoisema inaitwa pingu....achaa kutuleteaa story za kupigiwaa hapa
Naongea kwa uzoefu mkuu, enz zetu pombe nyingi tu zingeweza kukufanya ujinyee, nitawaletea kisa changu jinsi nilivyojinyea kwenye ndege Frankfurt baada ya kunywa gambe flan afrika magharibi ambalo ukinywa unashiba baada ya masaa saba linajichuja ndio unaanza kulewa baada unazungumza kiingereza kizuri masaa matatu baada hapo ni kulia masaa mawili baada ya hapo ni kujinyea mfululizo na kuzimia siku nzima .
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Mzee itakua uliahidi kazi

Mkuu ni hatari sana, kila nikifikiria nakumbuka nilikua naongea na nilizungukwa na watu na wengine ni watu wazima sana, nakumbuka kuna wazee wakati naongea wanaambiana si nilikwambia mimi ukawa huamini [emoji23]
 
nadhan kuna ki kampen dhid ya k vant kibiashara. hii spirit ubora wake ni kutokuwa na hang over kesho yake. konyag na wengine wanahaha kuhusu huu utalam
 
Kuna rafiki yangu alikunywa k-vant ile siku ya Eid akiwa na manzi yake.Usiku wakaelekea home kufika geti limefungwa.Ili kuepusha usumbufu wa kugongea watu wamelala ikabidi uruke geti.

Cha ajabu baada ya kuruka geti ili amfungulia manzi yake yeye mojamoja kapitiliza ndani na kuuchapa usingizi huku demu yupo nje anampigia simu jamaa bila kupokelewa.
Hahahahaha daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1483]
 
Duh kweli kuna wakulungwa wabobezi,,, shimha umix na k vanga"" hapo huchomoki dadekii
 
Naongea kwa uzoefu mkuu, enz zetu pombe nyingi tu zingeweza kukufanya ujinyee, nitawaletea kisa changu jinsi nilivyojinyea kwenye ndege Frankfurt baada ya kunywa gambe flan afrika magharibi ambalo ukinywa unashiba baada ya masaa saba linajichuja ndio unaanza kulewa baada unazungumza kiingereza kizuri masaa matatu baada hapo ni kulia masaa mawili baada ya hapo ni kujinyea mfululizo na kuzimia siku nzima .


Hahahahhahahahahahahahahaa jamani uwiii 🤣🤣🤣🤣! Ndo maana tunadharaurika 🤣🤣🤣🤣🤣! Kwann ukiona signal zinakata usianze kunywa maji? Mm nikiona nalewa naacha naanza kunywa maji kwa pupa .30min mzimaa! Dah aisee..ukapoop
 
Ha haha chizi wewe umenichekesha hapo mwisho. Hebu lewa na mama mkwe siku moja uje kutusimulia, si anakunywa?
Hivi kweli na utu uzima huu nimfiche mtu kuwa sinywi pombe??? No way kwa kweli.
Ila nakuelewa sana..km wazazi wapo hivyo huna budi kujificha usije ukawasononesha.

Duh..konyagi kabla ya kuswaki...ni nomaa
Binafsi Sina ujasiri wa kunywa pombe mbele ya ndugu zangu

Aisee naonekana Sana paroko ,pasta muinjilisti kumbe nyuma ya pazia Ni Mafia Ile mbaya [emoji1]bia nazikata na kula kimasihara Kama kawa

Bi mkubwa anajua nakunywa Ila mzee hajui

Bi mkubwa aliwahi niuliza hivi wewe unakunywa bia nikamwambia ndio Ila sio Sana coz mdau kivile mbili tu zinatosha
 
[emoji39][emoji39][emoji39]..alafu sijakuona siku ming sana almost 3yrs..hakuna raha kama upewe hela na mwanaume jamani..nasema hakuna raha kama hiyo..tunajihisi kuwa safe balaa[emoji3][emoji3]! Mm leo wala kesho sitak hizo kwanza...! Nataka had june nijiipue kunguza jotoridi[emoji3]!
Mwenzenu sijui nina balaa!!!! Katika maisha yangu SIJAWAHI KUPEWA PESA NA MWANAUME
 
Mwenzenu sijui nina balaa!!!! Katika maisha yangu SIJAWAHI KUPEWA PESA NA MWANAUME
Hapa duniani unaweza jiona una mikosi ..! Kuna dada anapewa na mumewe 500k monthly! Amenunuliwa gari na anajaziwa petrol !lakini analalamika mumewe hampendi hamcare!
Lakini hayo hayo tena kuna wanaume wanafanyiwa na wake zao !
Hii dunia ngumu sana kuijua ! Inachosha! Hahaha...so hata 3m hujawah pewa? Mm nimewahi pewa aise!
Hii dunia😅!
 
Binafsi Sina ujasiri wa kunywa pombe mbele ya ndugu zangu

Aisee naonekana Sana paroko ,pasta muinjilisti kumbe nyuma ya pazia Ni Mafia Ile mbaya [emoji1]bia nazikata na kula kimasihara Kama kawa

Bi mkubwa anajua nakunywa Ila mzee hajui

Bi mkubwa aliwahi niuliza hivi wewe unakunywa bia nikamwambia ndio Ila sio Sana coz mdau kivile mbili tu zinatosha
😀😀😀 Acha kujificha be free
 
hahaha afu ni mpenzi w hiyo kitu..ajabu nashangaa inashaulisha hadi kichwa chini kinakosa ushirikiano na cha juu!ukinywa zaid y vichupa 3 unaona kbs kichwa cha chini na juu havina ushirikiano
Sasa na wewe unakunywaje chupa zaidi ya tatu??.
 
ila kuna jamaa mmoja alinieelekeza jinsi ya kuangalia fake na OG sisi ukinunua kwake tunakunywa fresh bila shida ila tukienda huko madukani lazima shida itokeee... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
za madukani unajua zinakaa sana hazikimbii kama za bar ndo maana shida inakuwepo maana kadiri mvinyo unavyokaa muda ndivyo unazidi kuwa mkali
 
Back
Top Bottom