Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Haya sasa tumepata jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu. Mimi kichekesho ni kwamba hiyo siku hata bajaji yenyewe nilikuwa nang'ang'ana niendeshe mwenyewe nikijua nipo mwenye gari langu.Bora mkuu ukapanda bajaj, nilibonda mzinga wa kufa mtu na gari baada ya kula Grants sana nikajikuta ICU 2010.na polisi wakaandikisha tumekufa.
Dokta yule kabla hatujapelekwa mochwari katupima akasema hajafa ndio nikawekwa drip kadhaa nikafufuka baada ya siku mbili.
Mpk leo sina hamu mi kupanda Bajaj tu gari sina haja nalo [emoji119] .
K VANT ni KIFUTIONilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
hizoo hazi faiii sitaki hata kuzisikia maana naona kama gongo vile tu.. mi k vant ila saizi nimerudi kwenye konyagii kwa mda kwanzaSahivi wamewaletea mapigo mengine kuna- Ambiance, Shimha, Kitoko sijui na takataka gani.. mi nakunywa Konyagi tu hizo zingine nshapiga chini
na mimi nimekusamehe bure endelea na tabia zakoNimekusamehe bure, endelea kuvuta bangi zako tu.
Humuoni yule aliyefunga mikono kwenye picha ni mweusi? Just lugha tu 😃😃Unaita konyagi ni mjaluo.....???
🤣🤣🤣🤣 mambo ya bwii ni kuyaskia tu mkuu,Mi siku hiyo hata nikiulizwa huwa sikumbuki ilikuwaje.Pole mkuu. Mimi kichekesho ni kwamba hiyo siku hata bajaji yenyewe nilikuwa nang'ang'ana niendeshe mwenyewe nikijua nipo mwenye gari langu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Me mwanangu ni wa kiume...angekuwa wa kike, nadhani ningebaki jeshini ili niwaadabishe wanaume wakware.Ila madame unanifurahishaga sana hv mwanao naye si mtundu kama ww!?
Angalia tu usiende jela bob!!!Sasa hapo unatakiwa na safari tatu za moto ndio unaweza kubaka kabisa
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kabisa kabisaPombe zote kwa wanawake zinaleta ashiki
Acha tu.unaweza panga safari au unaanza kupekua phone book !!
Pombe zote kwa wanawake zinaleta ashiki
🤣🤣🤣 ila kuna watu mnalewa aisee..dah..shimha ni kifo kile..mm sigusi kbsk vant nikiinywa tuu lazima nilie,alafu kila muda nalalamika tuu.
uzuri wake:nikishalewa napeleka Moto si mchezo na sikojoi.
hasara yake:nikiwa naongea maneno yanakuja bila mpangilio.
ONYO:usije kuchanganya k vant na shimha,utaona unaongea na malaika mtoa roho live
hahahaahahhahahhahahak vant nikiinywa tuu lazima nilie,alafu kila muda nalalamika tuu.
uzuri wake:nikishalewa napeleka Moto si mchezo na sikojoi.
hasara yake:nikiwa naongea maneno yanakuja bila mpangilio.
ONYO:usije kuchanganya k vant na shimha,utaona unaongea na malaika mtoa roho live
Ndio, haaaa 😁, kaa mbali na King Kong IIIKweli??
Sisi. Huku tunaitaga keivooK Vant almaaruf K VANGA hatari sana hii kitu
Mm k vant sisikiag kitu..only st annaNdio, haaaa 😁, kaa mbali na King Kong III
Mkuu achaa uwongo.....dengelua haiko hivyo hiyo unayoisema inaitwa pingu....achaa kutuleteaa story za kupigiwaa hapaDengerua ulikua ukinywa unafungwa mpira kwa miguu ya suruali ili ukae na mavi yako , sasa wewe kupoteza tu fahamu unaanza kuzisumbua mamlaka za serikali