Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sio permanent mkuu.!ila mm kila nikinywa bas jua tukio za siku hiyi zote zitajidelete..last tym nilimfata mwanangu shule nikaamua kunywa ..nilirudi hom nashangaa asbh kuna mtura na juic za kutengeneza aise ilibdi nimuask dogo..akasema si tumenunua jana?? Khaaa..mm wakununua mtura?🤭🤭..nilikua na hela kwa simu ilibidi niangalie twice..maana hukawii kudaiwa 12000 ukahamisha 120000/=..sitak tenaHuo upotezaji wa kumbukumbu ni wa muda kikiwa kwenye damu ama ni permanent & pensionable