Hahah hii kitu ukinywa unashiba kwanza so unakua hujui kama umezidisha au laHahahahhahahahahahahahahaa jamani uwiii π€£π€£π€£π€£! Ndo maana tunadharaurika π€£π€£π€£π€£π€£! Kwann ukiona signal zinakata usianze kunywa maji? Mm nikiona nalewa naacha naanza kunywa maji kwa pupa .30min mzimaa! Dah aisee..ukapoop
Dah..ulituharibia jina sana huko nje aiseHahah hii kitu ukinywa unashiba kwanza so unakua hujui kama umezidisha au la
Niliwawakilisha taifa zima πDah..ulituharibia jina sana huko nje aise
ila mkuu hiyo yakujinyea inaitwa pingu ulinywa inabdi ufunge suruali na kamba mguuni ili vitu visishuke [emoji23]Niliwawakilisha taifa zima [emoji23]
Sijaongea ongea, Bali nimeandika!Unajua maana ya feki!!!?
ama unaongea ongea tu!!!?
feki ni kitu ambacho hakijatengenezwa na muhusika halisi...
sema kv ni below standard tutakuelewa
πππ Umenikumbusha kuna video flan mdada kama anakimbia huku anasema 'serikali iangalie k-vant itawaua hvy anaomba iwekewe sukari kdg' ππMimi nilikua naomba iwekwe sukari kidogo
Huelewi chochoteSijaongea ongea, Bali nimeandika!
Uelewa wa lugha ya English kwako pia ninashaka nao pia! Ni ngumu kwa mtu fake kuelewa genuine ni nini!
Iwekwe sukari kidogo kwakweli kitu kichungu kileπππ Umenikumbusha kuna video flan mdada kama anakimbia huku anasema 'serikali iangalie k-vant itawaua hvy anaomba iwekewe sukari kdg' ππ
Ila wamesema: "haiuzwi" (not for sale) kwa wenye umri <18; wanakunywa bure.Hahah unywaji pombe ni hatari kwa afya yako, kunywa kistaarabu, hairusiwi kutumiwa na watu wenye umri chini ya miaka 18. Sasa TBS wanini tena kama mtengenezaji anakwambia haya!
Duuh last wik nilipiga hii kitu,badala ya kurudi nyumbani,asubuhi nilijikuta nimelala ofisini na sijui nilifikaje fikaje...mlinzi akaniambia nimekuja fresh na pikipik nikapaki nikafungua mlango mwenyewe nikamuambia eti kuna kazi naimalizia inatakiwa kesho yake jmosi asubuhi saa 2πNilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.