Tetesi: TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined'.

Tetesi: TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined'.

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2007
Posts
18,772
Reaction score
8,939
Meli mbili zenye mafuta ya kula tani 62 zimekwama kwa zaidi ya wiki mbili katika Bandari ya Dar kufuatia mvutano juu ya aina ya mzigo uliomo kwenye meli hizo na kodi wanayotakiwa kulipa. TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined.'

MYTAKE:
kati ya TRA na TBS nani yupo sahihi? au hivi vyombo haviaminiani?
Inanikumbusha ya makinikia hii kitu.
 
Meli mbili zenye mafuta ya kula tani 62 zimekwama kwa zaidi ya wiki mbili katika Bandari ya Dar kufuatia mvutano juu ya aina ya mzigo uliomo kwenye meli hizo na kodi wanayotakiwa kulipa. TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined.'

MYTAKE:
kati ya TRA na TBS nani yupo sahihi? au hivi vyombo haviaminiani?
Inanikumbusha ya makinikia hii kitu.
TRA inaonekana hawaamini TBS lakini Watu wa TBS ndio wenye mamlaka ya kusema haya ni mafuta gani,
 
Kama wameshindwa kuelewana aje TFDA amalize mgogoro huo maana yeye ndo anatoka wizara ya Afya wengine wote hao wanatafuta pesa tu!
Nilikuwa nikiuliza TBS wanatoka wapi kwenye food regulations hapa nchini? Mbona mwenye jukumu la kutoa jibu la kimamlaka ni TFDA ambaye ndiye regulator wa drugs and Food hapa Tanzania?

Ukiona hivo kuna harufu ya rushwa nambapo impoter hataki kwenda TFDA (regulator) anataka kutumia TBS kama standard body kinamna.
 
Kama wameshindwa kuelewana aje TFDA amalize mgogoro huo maana yeye ndo anatoka wizara ya Afya wengine wote hao wanatafuta pesa tu!
Kazi kujua kama Ni refined au semi-refined Ni kazi ya TBS
(wazee wa ubora)

TFDA- Wao kazi yao Ni kukagua viambata sumu isije ikawa na athar za kiafya kwa mlaji

My take;
TRA kazi yao Ni kuichukua tu kauli ya TBS na kuifanyia kazi

TRA Hawana maabara ya kupima mafuta,

TBS ,ndo wenye maabara na mamlaka ya kupima ubora wa mafuta.

TRA KAZI YAO NI KUTEMBEZA TU KIBUBU
ie: kukusanya kodi kutokana na maelekezo kutoka TBS.
 
Ebu waache mambo ya ajabu wayamalize mzigo uingie sokoni kila kukicha mafuta ya kula yanazidi kupanda bei tu kumbe huko bandarini wanafanya yao
 
Hao wote TBS na TRA walizoea kukatiwa "mchuzi" halafu mzigo unapita safari hii tumeweka mtego tutaona atakaeruhusu. Maagizo ya Rais yapo wazi kabisa kodi ilipwe Mara 2 au 3 kabisa ili huyo muagizaji akome. Ngoja tusubiri
Hilo la crude au semi refined ni dogo sana.
 
Kazi kujua kama Ni refined au semi-refined Ni kazi ya TBS
(wazee wa ubora)

TFDA- Wao kazi yao Ni kukagua viambata sumu isije ikawa na athar za kiafya kwa mlaji

My take;
TRA kazi yao Ni kuichukua tu kauli ya TBS na kuifanyia kazi

TRA Hawana maabara ya kupima mafuta,

TBS ,ndo wenye maabara na mamlaka ya kupima ubora wa mafuta.

TRA KAZI YAO NI KUTEMBEZA TU KIBUBU
ie: kukusanya kodi kutokana na maelekezo kutoka TBS.

sio kweli mzee sio kila wanaloambiwa wakubaliane nalo: hao TRA ndio wanaowajua wakwepa kodi na wanajua wanakwepaje, hapo kuna kitu TRA wasipuuzwe hii awamu inataka kupunguza ujanja ujanja
 
sio kweli mzee sio kila wanaloambiwa wakubaliane nalo: hao TRA ndio wanaowajua wakwepa kodi na wanajua wanakwepaje, hapo kuna kitu TRA wasipuuzwe hii awamu inataka kupunguza ujanja ujanja
True
 
Back
Top Bottom