Simabwachi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 306
- 394
Hizo meli ni za MO hili lipo wazi
nikajua ni Zakari
mimi nipo upande wa TRA, timu ipelekwe haraka kuna watu wanachezea hii nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo meli ni za MO hili lipo wazi
TBS wako sahihi zaidi.. Japo kwa lugha ya TRA nayo pia ni sahihiMeli mbili zenye mafuta ya kula tani 62 zimekwama kwa zaidi ya wiki mbili katika Bandari ya Dar kufuatia mvutano juu ya aina ya mzigo uliomo kwenye meli hizo na kodi wanayotakiwa kulipa. TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined.'
MYTAKE:
kati ya TRA na TBS nani yupo sahihi? au hivi vyombo haviaminiani?
Inanikumbusha ya makinikia hii kitu.
Ni kweli mkuu,sio kweli mzee sio kila wanaloambiwa wakubaliane nalo: hao TRA ndio wanaowajua wakwepa kodi na wanajua wanakwepaje, hapo kuna kitu TRA wasipuuzwe hii awamu inataka kupunguza ujanja ujanja
Mkuu usitulishe matango pori, tani 62 ni mzigo wa kubeba jahazi moja la kawaida tu toka TANGA KUJA PEMBA.Meli mbili zenye mafuta ya kula tani 62 zimekwama kwa zaidi ya wiki mbili katika Bandari ya Dar kufuatia mvutano juu ya aina ya mzigo uliomo kwenye meli hizo na kodi wanayotakiwa kulipa. TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined.'
MYTAKE:
kati ya TRA na TBS nani yupo sahihi? au hivi vyombo haviaminiani?
Inanikumbusha ya makinikia hii kitu.
TBS anasimamia Viwango na Ubora wa bidhaa zote zinazozalishwa nchini na zinazoingizwa nchini na jukumu la TFDA ni kusimamia Usalama kwa mtumiaji kwa bidhaa za chakula na madawaNilikuwa nikiuliza TBS wanatoka wapi kwenye food regulations hapa nchini? Mbona mwenye jukumu la kutoa jibu la kimamlaka ni TFDA ambaye ndiye regulator wa drugs and Food hapa Tanzania?
Ukiona hivo kuna harufu ya rushwa nambapo impoter hataki kwenda TFDA (regulator) anataka kutumia TBS kama standard body kinamna.
Hahaha ili kulinda viwanda vya ndaniHao wote TBS na TRA walizoea kukatiwa "mchuzi" halafu mzigo unapita safari hii tumeweka mtego tutaona atakaeruhusu. Maagizo ya Rais yapo wazi kabisa kodi ilipwe Mara 2 au 3 kabisa ili huyo muagizaji akome. Ngoja tusubiri
Hilo la crude au semi refined ni dogo sana.
TRA watakuwa wameangalia kwa macho na kusema mbona yanaonekana kama semi-refined hivi? Wenzao wamepima kwenye maabara sasa sijui ubishi wa nini? Ukiona hivyo ujue TRA wametamani kupiga rushwa kubwa hapo sasa kinawauma sana kupita bila kulamba chochote hapo!! Hii inanikumbusha kuna taahira moja kwenye makinikia lilisema ule mchanga ulikuwa 90% dhahabu na ile 10% inayobaki ni mchanga halisi!!Kazi kujua kama Ni refined au semi-refined Ni kazi ya TBS
(wazee wa ubora)
TFDA- Wao kazi yao Ni kukagua viambata sumu isije ikawa na athar za kiafya kwa mlaji
My take;
TRA kazi yao Ni kuichukua tu kauli ya TBS na kuifanyia kazi
TRA Hawana maabara ya kupima mafuta,
TBS ,ndo wenye maabara na mamlaka ya kupima ubora wa mafuta.
TRA KAZI YAO NI KUTEMBEZA TU KIBUBU
ie: kukusanya kodi kutokana na maelekezo kutoka TBS.
Watakua wanapga mkwala ili wapate cha juu hapo.TRA watakuwa wameangalia kwa macho na kusema mbona yanaonekana kama semi-refined hivi? Wenzao wamepima kwenye maabara sasa sijui ubishi wa nini? Ukiona hivyo ujue TRA wametamani kupiga rushwa kubwa hapo sasa kinawauma sana kupita bila kulamba chochote hapo!! Hii inanikumbusha kuna taahira moja kwenye makinikia lilisema ule mchanga ulikuwa 90% dhahabu na ile 10% inayobaki ni mchanga halisi!!
Ni vema yawe Ghafi ikiwakinyume wamekwisha na kazi zao za mazoea.Meli mbili zenye mafuta ya kula tani 62 zimekwama kwa zaidi ya wiki mbili katika Bandari ya Dar kufuatia mvutano juu ya aina ya mzigo uliomo kwenye meli hizo na kodi wanayotakiwa kulipa. TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined.'
MYTAKE:
kati ya TRA na TBS nani yupo sahihi? au hivi vyombo haviaminiani?
Inanikumbusha ya makinikia hii kitu.
Sio kwamba hawawaamini, TBS hawaaminiki.TRA inaonekana hawaamini TBS lakini Watu wa TBS ndio wenye mamlaka ya kusema haya ni mafuta gani,
Lakini ujue TRA wanakitengo cha uchunguzi kuna uwezekano wametonywa na wasiri wao kuwa mzigo ni semi refined!!Kazi kujua kama Ni refined au semi-refined Ni kazi ya TBS
(wazee wa ubora)
TFDA- Wao kazi yao Ni kukagua viambata sumu isije ikawa na athar za kiafya kwa mlaji
My take;
TRA kazi yao Ni kuichukua tu kauli ya TBS na kuifanyia kazi
TRA Hawana maabara ya kupima mafuta,
TBS ,ndo wenye maabara na mamlaka ya kupima ubora wa mafuta.
TRA KAZI YAO NI KUTEMBEZA TU KIBUBU
ie: kukusanya kodi kutokana na maelekezo kutoka TBS.
Mkuu huo ni mtego umenasa, nikama Makinikia vile.Watu wanabishana na majibu ya maabara. TRA wanashupaa sana kutaka kumfurahisha bwana yule, mwisho wa siku wanaonekana ni wapuuzi wasio jua kazi. Anaejua aina za mafuta ni TBS na ndio mwenye maabara za upimaji.
Kumbe ndo maana walisema wanafunga kiwandaHizo meli ni za MO hili lipo wazi
Ni kama vile kuna conflict of duties kati ya TBS na TFDA. TBS akishasema bidhaa hii kimekidhi ubora unaotakiwa TFDA anasimamia usalama gani tena wakati tayari chakula hicho ni bora na ni salama?TBS anasimamia Viwango na Ubora wa bidhaa zote zinazozalishwa nchini na zinazoingizwa nchini na jukumu la TFDA ni kusimamia Usalama kwa mtumiaji kwa bidhaa za chakula na madawa
Hapo penye uzito ni sawa? Nadhani tani 62 ni uzito mdogo kwa meli. Labda tani 62'000 kwa meli mbili!Meli mbili zenye mafuta ya kula tani 62 zimekwama kwa zaidi ya wiki mbili katika Bandari ya Dar kufuatia mvutano juu ya aina ya mzigo uliomo kwenye meli hizo na kodi wanayotakiwa kulipa. TBS wamesema mzigo huo ni mafuta ghafi (crude oil), wakati TRA wanadai ni 'semi-refined.'
MYTAKE:
kati ya TRA na TBS nani yupo sahihi? au hivi vyombo haviaminiani?
Inanikumbusha ya makinikia hii kitu.
Kama hujui mambo in deep sio lazma ucomment...Kama wameshindwa kuelewana aje TFDA amalize mgogoro huo maana yeye ndo anatoka wizara ya Afya wengine wote hao wanatafuta pesa tu!