Wajinga kila kizazi wapo,hata kwenye corona wameonekana pia!!Wachokonozi wanasema watu wenye umri wa miaka 48 na kuendelea ni watu wapumbavu kuwahi kutokea kwenye nchi ya Tanzania.Hao walioenda hapo Samunge kulishwa magome ya miti umri wao ndo huo.
Ipi ilikuwa ni race kubwa kati ya hao Wazungu, Wachina na Watanzania?Acha kujitukana. Wewe ni mkongo? Kwa babu walikuwepo hadi wachina na wazungu. Pale Nairobi kuna stendi maalum ilitengwa kwa ajili ya watu wanaoenda kwa babu. Mambo ya imani yako deep mno. Pia kuna wengine walienda kwa babu kama burudani tu ili kujionea yanayojiri.
Watoto wa 2000 unawapiga kirahisi kwa njia ya chanjo!!Watoto wa 2000s sio rahisi uwafanyie mind manipulation .
huyo babu aliibuliwa na serikali na hakuna alichokuwa anatibu.Acha kujitukana. Wewe ni mkongo? Kwa babu walikuwepo hadi wachina na wazungu. Pale Nairobi kuna stendi maalum ilitengwa kwa ajili ya watu wanaoenda kwa babu. Mambo ya imani yako deep mno. Pia kuna wengine walienda kwa babu kama burudani tu ili kujionea yanayojiri.
Miaka ijayo tutaona na za kwenda kwa mwamposaPicha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Aliye kuambia wakongo siyo wapumbavu ni nani ? Tena wanakaribia upumbavu wa huyo mama hapo juuWewe ni mkongo?
Watoto wa 2000 unawapiga kirahisi kwa njia ya chanjo!!
Na watu walikua wanatoa ushuhuda wa kikombe vilevile!!Kwa babu walikuwepo hadi wachina. Hakuna rangi iliyokosekana.
Hata kizazi cha miaka ya 80 hadi 90 mwanzoni piawagonjwa wengi walikuwa na
UKIMWI - huwa nawaambia watz wanangoma Sana hasa kizazi cha 1950-1970s
Hata kizazi cha miaka ya 80 hadi 90 mwanzoni pia
Nenda kaangalie ripoti ya Tacaids ujionee
Kizazi chenye ngoma lazima kimzai mtoto mwenye ngoma!hivi umenusurika kweli!!??wagonjwa wengi walikuwa na
UKIMWI - huwa nawaambia watz wanangoma Sana hasa kizazi cha 1950-1970s
🤣🤣🤣🤣🤣 hata wa tuma kwa namba hii watakua ni wao tu
Ameacha wasaidizi nazani formula watakua nayo kama wataalamu wapya wanaweza fanya research ya huo mzizi kwa kina zaidi tunaweza pata kitu gani Babu aliona kwenye huo mzizi,and why huo tu na si mzizi mingine,je alionja yeye kwanza ndiyo akaileta kwa wananchi au aliileta bila kujaribu!? Je kama ingekua ni sumu nani angekufa kwanza!!??Mzee alikufa bila kutaja formula
Haikuwa sana kama nyieKweli ni kweli mzee nyie kizazi chenu mlikuwa mnapenda Sana chini ? Au tetesi tu?
Sio suala la mshahara wa madaktari tu pia kipindi hicho ndo social media zinaanza kushika kasi (miaka hiyo ndo wengi walianza kufuatilia mitandaoni na ishu za kisiasa zilizoshika kasi sana kipindi hicho ni ishu ya kigogo mmoja wa B. O. T ambaye inasemekana alihusika na wakubwa flani kwenye upigaji wa pesa ndefu kisha alidaiwa kufariki akiwa ughaibuni na kuzikwa huko kimya kimya lakini baada ya siku chache tu zikaibuka taarifa kwamba mwamba yuko hai huko ughaibuni anajitafunia cake ya taifa kimya kimya bila nzi kumgusa na kuna watu wakajitokeza kudai wanajua mpaka anapolala!Huu ulikuwa mkakati ambao uliibuliwa baada ya serikali kushindwa kuwalipa nyongeza za mshahara madaktari
Njia pekee ilikuwa ni kumuibua huyu babu na kuwasahulisha watu kufatilia tiba hosptalini.
Tukisema kizazi cha 50-70 kilikuwa kimejaa watu wajinga wasiojitambua mnabidi kuelewa.
Madhara na vifo vilivyotokea vilikuwa ni vingi Sana.
CC To yeyeKumbe babu alikua mnyakyusa.....