TBT: Foleni ya kwenda kwa Babu wa Loliondo

TBT: Foleni ya kwenda kwa Babu wa Loliondo

Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times

Je, unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo? Naamini gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu.

View attachment 3120588
Mimi ninaowakumbuka wote walioenda kupata kikombe cha babu, hatunao tena duniani😡
 
mg.jpg
 
Wachokonozi wanasema watu wenye umri wa miaka 48 na kuendelea ni watu wapumbavu kuwahi kutokea kwenye nchi ya Tanzania.Hao walioenda hapo Samunge kulishwa magome ya miti umri wao ndo huo.
Hao "Wachokonozi" Takwimu hizo wamezipata wapi? Halafu na Je; wewe binafsi unaziamini?
 
Mzazi mwenzangu aliyekuwa na kisukari alikunywa dawa ya huyu Mzee akaacha masharti na dawa zake,alikufa miezi miwili baadaye.😰
 
Wajinga kila kizazi wapo,hata kwenye corona wameonekana pia!!
Mkuu; Imani ni kitu kingine. Kwani wale wanaokata viungo vya watu e.g. watoto na Albino na kutoweka navyo unadhani ni kwa nini? Imani.......
 
Kielelezo hiki kinahitimisha kusema tanganyika n nchi ya wajinga
 
Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times

Je, unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo? Naamini gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu.

View attachment 3120588
Maajabu ya mtu mweusi, hasa watanzania.
 
Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times

Je, unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo? Naamini gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu.

View attachment 3120588
Aisee, ukisikia influence ndo hii sasa
 
Sio 1950-1970,s Mpka 1984 pia maana.ndo walikuwa vijana had 2005 enz za mkapa toka alipoingia Kikwete watu walielimika sana juu ya ukimwi Ata unyanyapaa ukapngua
wagonjwa wengi walikuwa na

UKIMWI - huwa nawaambia watz wanangoma Sana hasa kizazi cha 1950-1970s
5
 
Tatizo watanzania wanapenda mambo rahisi. Hawataki kujishughulisha. Kwa Mkristo aliyekwenda kwa huyo Babu alikuwa hajitambui. Mungu kamwe hafanyi mambo ya jinsi hiyo.
 
sijui walikipata takwimu.Kwa akili hizi za maeneo yote ya nchi kunywa kikombe,naziamini
Kama unaziamini basi walau iwe ni kwa 40% kwani waliokwenda walikuwa ni wale waliokuwa na matatizo ya kiafya na kuwa na imani: watoto walipelekwa, vijana na wenye umri wa kati walikwenda wenyewe au kusindikizwa; wazee (umri wa uzee 55yrs+) nao walikuwepo. Yan kila rika walikwenda. Bei ya kikombe ilikuwa ni jero tu.
 
Tatizo watanzania wanapenda mambo rahisi. Hawataki kujishughulisha. Kwa Mkristo aliyekwenda kwa huyo Babu alikuwa hajitambui. Mungu kamwe hafanyi mambo ya jinsi hiyo.
Sio kweli.
1. Sio sahihi kwa ww kumpangia Mungu afanyeje mambo yake. Kumbuka Nabii Elisha alichoafanya 2Wafalme2:21.
2. Shughuli Haikuwa rahisi kihivyo. Wapo waliokodisha chopa ili kufika huko, wapo waliokodi magari na tena wapo waliopata ajali barabarani wakielekea huko...Miongoni mwa waliohudhuria huko walikuwepo wachungaji na viongozi wakubwa Serikalini.
Halafu zingatia kwamba kule hakukuwa na guest wala hoteli. Mnzehe, hiyo ilikuwa ni shughuli pevu asikudanganye mtu eti hiyo ilikuwa mambo rahisi.
 
Back
Top Bottom