TBT: Mnawakumbuka hawa jamaa..?

TBT: Mnawakumbuka hawa jamaa..?

du aisee basi tu mpaka raha enzi hizo nani kaanza darasa la kwanza mwaka 1983 hapa?
 
Hivi ni mimi tu sijawahi kuandika hadi peni ikaisha au kuna wengine, maana nikipata pen mpya siku tatu ishapotea..!
Fagio nikitengeneza leo siku mbili tu washaiba,Anyway mnawakumbuka Hawa manigga hapa chini??
View attachment 1187329
Aisee kwenye hii hadithi tulifanaya maigizo na mimi ndio niliigiza kama mfalme, hap kwenye laa laa laa niliruka hatari
 
Kikao kilienda vibaya..
FB_IMG_1567202051058.jpeg
 
None of our guests are from AMERICA.

It is a weird question and you don't like it but I will have to ask, no way out. "What else could I do"???

I told them to come, and I know they came yesterday (the whole day), today as well (from morning).

I was checking my computer and thought may be TRUMP the "the racist" had some problems and he needed to restart. Then I did something on my computer and notified you, did you check yours???

Look, they are not hacking tigo, can you just do something??
Convo yenu hii imesimamia kucha. Hongereni wa mabasi ya njano
 
Back
Top Bottom