sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kwa vijan wengi, Maisha ya vyuoni ndio huwa maisha ya kuishi kwa uhuru kwa mara ya kwanza, Ndicho kipindi vijana wengi hutilia mkazo swala la kutafuta wachumba.
Na nisikudanganye, zamani bila kutumia ujanja unaweza ondoka chuoni hujawahi kuwa na dem, sijui kwa ikuhizi.
Mabinti wengi wa vyuoni huwa wana miaka 18 hadi 23, huu umri wengi bado akili hzijakomaa ukilinganisha na dada zao,
Ni vitu vidogo vidogo tu vinawazuzua.
1. Vaa vizuri (sio kawaida au vibaya) hakikisha kwenye 3 bora za wanaovaa vizuri na kupendeza uwemo, pangilia mavazi yako vizuri, uwe unavaa kupendeza sio kuvaa tu ilimradi, achana na mavazi ya kisela, Binafsi Nakumbuka enzi hizo nlikuwa napndelea suti, vizibao, moka, n.k hakikisha upo next level
2. Kuwa msafi, hakikisha unanyoa nywele kwa wakati, unazichana fresh, ndevu ziweke fresh, n.k
3. Piga zoezi - Beba vyuma, fanya situps, pushups, n.k ujae jae kimtindo kifua, mabega na mikono,
Nakwambia ukifanya haya utashangaa mwenyewe, hizi message za hi na goodnight kutoka namba usizojua utazichoka, Kukataliwa ni ngumu sana ukirusha ndoano
MUHIMU: Usisahau kupiga kitabu - Kumbuka upo chuo kwahio jaribu kubalance kilichokupeleka na maisha yako nje ya kilichokupeleka, maana huwezi ukawa unasoma tu muda wote huta enjoy chuo na huwezi ukawa umepuuza kilichokupeleka chuo maana itakugharimu, kwa hio piga 50/50.
Na nisikudanganye, zamani bila kutumia ujanja unaweza ondoka chuoni hujawahi kuwa na dem, sijui kwa ikuhizi.
Mabinti wengi wa vyuoni huwa wana miaka 18 hadi 23, huu umri wengi bado akili hzijakomaa ukilinganisha na dada zao,
Ni vitu vidogo vidogo tu vinawazuzua.
1. Vaa vizuri (sio kawaida au vibaya) hakikisha kwenye 3 bora za wanaovaa vizuri na kupendeza uwemo, pangilia mavazi yako vizuri, uwe unavaa kupendeza sio kuvaa tu ilimradi, achana na mavazi ya kisela, Binafsi Nakumbuka enzi hizo nlikuwa napndelea suti, vizibao, moka, n.k hakikisha upo next level
2. Kuwa msafi, hakikisha unanyoa nywele kwa wakati, unazichana fresh, ndevu ziweke fresh, n.k
3. Piga zoezi - Beba vyuma, fanya situps, pushups, n.k ujae jae kimtindo kifua, mabega na mikono,
Nakwambia ukifanya haya utashangaa mwenyewe, hizi message za hi na goodnight kutoka namba usizojua utazichoka, Kukataliwa ni ngumu sana ukirusha ndoano
MUHIMU: Usisahau kupiga kitabu - Kumbuka upo chuo kwahio jaribu kubalance kilichokupeleka na maisha yako nje ya kilichokupeleka, maana huwezi ukawa unasoma tu muda wote huta enjoy chuo na huwezi ukawa umepuuza kilichokupeleka chuo maana itakugharimu, kwa hio piga 50/50.