TBT nikiwa chuoni: Vijana wadogo, hakuna Msichana mgumu wala usinunue dawa za mvuto...

TBT nikiwa chuoni: Vijana wadogo, hakuna Msichana mgumu wala usinunue dawa za mvuto...

Umesahau kipengele muhimu sana, kuwa katika Top 3 ya vijana wenye pesa au hustlers! Wapo machizi ni hustlers toka chuo hao huwa mademu wanajigongaga kwao daily!
 
Vijana naona wanapewa mbinu za kuzidi kula kimasihara
 
Maisha ya chuoni sio kuchukulia serious sana uwe mtu wa kusoma tu kila muda mkuu, utapitwa na vingi ukaja kutia aibu ukijifunzia ukubwani baada ya kumaliza chuo, Muhimu kubalance tu
Hauwezi ukafanya kila kitu cha ujana. Yaaani mademu, pombe, bangi, sigara, drugs/cocaine, wizi.....Hakuna mtu naweza kufanya hayo ili asiye kujifunza ukubwani.

Kila mmoja ni mshamba eneo lake. Ukijiona mjanja wa mademu, wengine wanakuona mshamba wa kuvuta bangi.
 
Kama graduate akili zenyewe ndo hizi...endeleeni kusota
Halafu watu wanashangaa bunge kutaka kuongeza umri wa maprofesa kustaafu kutoka miaka 65 kwenda infinity. We kama wasomi ndio hawa unategemea kupata lekchara/daktari/mwanasheria/injinia wa maana hapo kweli?
 
Halafu watu wanashangaa bunge kutaka kuongeza umri wa maprofesa kustaafu kutoka miaka 65 kwenda infinity. We kama wasomi ndio hawa unategemea kupata lekchara/daktari/mwanasheria/injinia wa maana hapo kweli?
Hapana kabisa.
Wanatia aibu
 
Hauwezi ukafanya kila kitu cha ujana. Yaaani mademu, pombe, bangi, sigara, drugs/cocaine, wizi.....Hakuna mtu naweza kufanya hayo ili asiye kujifunza ukubwani.

Kila mmoja ni mshamba eneo lake. Ukijiona mjanja wa mademu, wengine wanakuona mshamba wa kuvuta bangi.
Naona unaongea kama unakichaa flani ivi, tangu lini wizi ni starehe aisee
 
Kwa vijan wengi, Maisha ya vyuoni ndio huwa maisha ya kuishi kwa uhuru kwa mara ya kwanza, Ndicho kipindi vijana wengi hutilia mkazo swala la kutafuta wachumba.

Na nisikudanganye, zamani bila kutumia ujanja unaweza ondoka chuoni hujawahi kuwa na dem, sijui kwa ikuhizi.

Mabinti wengi wa vyuoni huwa wana miaka 18 hadi 23, huu umri wengi bado akili hzijakomaa ukilinganisha na dada zao,

Ni vitu vidogo vidogo tu vinawazuzua.

1. Vaa vizuri (sio kawaida au vibaya) hakikisha kwenye 3 bora za wanaovaa vizuri na kupendeza uwemo, pangilia mavazi yako vizuri, uwe unavaa kupendeza sio kuvaa tu ilimradi, achana na mavazi ya kisela, Binafsi Nakumbuka enzi hizo nlikuwa napndelea suti, vizibao, moka, n.k hakikisha upo next level

2. Kuwa msafi, hakikisha unanyoa nywele kwa wakati, unazichana fresh, ndevu ziweke fresh, n.k

3. Piga zoezi - Beba vyuma, fanya situps, pushups, n.k ujae jae kimtindo kifua, mabega na mikono,

Nakwambia ukifanya haya utashangaa mwenyewe, hizi message za hi na goodnight kutoka namba usizojua utazichoka, Kukataliwa ni ngumu sana ukirusha ndoano

MUHIMU: Usisahau kupiga kitabu - Kumbuka upo chuo kwahio jaribu kubalance kilichokupeleka na maisha yako nje ya kilichokupeleka, maana huwezi ukawa unasoma tu muda wote huta enjoy chuo na huwezi ukawa umepuuza kilichokupeleka chuo maana itakugharimu, kwa hio piga 50/50.
Wa muhas hawapo hvyo [emoji23]
 
Kwa vijan wengi, Maisha ya vyuoni ndio huwa maisha ya kuishi kwa uhuru kwa mara ya kwanza, Ndicho kipindi vijana wengi hutilia mkazo swala la kutafuta wachumba.

Na nisikudanganye, zamani bila kutumia ujanja unaweza ondoka chuoni hujawahi kuwa na dem, sijui kwa ikuhizi.

Mabinti wengi wa vyuoni huwa wana miaka 18 hadi 23, huu umri wengi bado akili hzijakomaa ukilinganisha na dada zao,

Ni vitu vidogo vidogo tu vinawazuzua.

1. Vaa vizuri (sio kawaida au vibaya) hakikisha kwenye 3 bora za wanaovaa vizuri na kupendeza uwemo, pangilia mavazi yako vizuri, uwe unavaa kupendeza sio kuvaa tu ilimradi, achana na mavazi ya kisela, Binafsi Nakumbuka enzi hizo nlikuwa napndelea suti, vizibao, moka, n.k hakikisha upo next level

2. Kuwa msafi, hakikisha unanyoa nywele kwa wakati, unazichana fresh, ndevu ziweke fresh, n.k

3. Piga zoezi - Beba vyuma, fanya situps, pushups, n.k ujae jae kimtindo kifua, mabega na mikono,

Nakwambia ukifanya haya utashangaa mwenyewe, hizi message za hi na goodnight kutoka namba usizojua utazichoka, Kukataliwa ni ngumu sana ukirusha ndoano

MUHIMU: Usisahau kupiga kitabu - Kumbuka upo chuo kwahio jaribu kubalance kilichokupeleka na maisha yako nje ya kilichokupeleka, maana huwezi ukawa unasoma tu muda wote huta enjoy chuo na huwezi ukawa umepuuza kilichokupeleka chuo maana itakugharimu, kwa hio piga 50/50.
Dah suti vizibao afu umebeba madaftari ndo unajiona ulikuwa unapiga pamba?
 
  • Kicheko
Reactions: Cyb
Binafsi sio mwanachuo, na najua sio sifa njema.

Ila kiukweli nawaburuza saana wanafunzi wa udsm. Mungu anilinde na magonjwa.

Per day nakusanya number za simu 10.. kati yao badi wanaopokea simu 8, watakaotii promise ni 6 nitakaokutana nao 4 na nitakaowaburuza ni wa3... Na km sina kazi iyo ni shughuli ya siku 3 tu....


Very simple.. hit and run.
Sound nyiiingi sambamba na mali kauli.
 
Kwa vijan wengi, Maisha ya vyuoni ndio huwa maisha ya kuishi kwa uhuru kwa mara ya kwanza, Ndicho kipindi vijana wengi hutilia mkazo swala la kutafuta wachumba.

Na nisikudanganye, zamani bila kutumia ujanja unaweza ondoka chuoni hujawahi kuwa na dem, sijui kwa ikuhizi.

Mabinti wengi wa vyuoni huwa wana miaka 18 hadi 23, huu umri wengi bado akili hzijakomaa ukilinganisha na dada zao,

Ni vitu vidogo vidogo tu vinawazuzua.

1. Vaa vizuri (sio kawaida au vibaya) hakikisha kwenye 3 bora za wanaovaa vizuri na kupendeza uwemo, pangilia mavazi yako vizuri, uwe unavaa kupendeza sio kuvaa tu ilimradi, achana na mavazi ya kisela, Binafsi Nakumbuka enzi hizo nlikuwa napndelea suti, vizibao, moka, n.k hakikisha upo next level

2. Kuwa msafi, hakikisha unanyoa nywele kwa wakati, unazichana fresh, ndevu ziweke fresh, n.k

3. Piga zoezi - Beba vyuma, fanya situps, pushups, n.k ujae jae kimtindo kifua, mabega na mikono,

Nakwambia ukifanya haya utashangaa mwenyewe, hizi message za hi na goodnight kutoka namba usizojua utazichoka, Kukataliwa ni ngumu sana ukirusha ndoano

MUHIMU: Usisahau kupiga kitabu - Kumbuka upo chuo kwahio jaribu kubalance kilichokupeleka na maisha yako nje ya kilichokupeleka, maana huwezi ukawa unasoma tu muda wote huta enjoy chuo na huwezi ukawa umepuuza kilichokupeleka chuo maana itakugharimu, kwa hio piga 50/50.
Kweli ujana maji ya moto,yani mpaka Chuma,sittups na pushups,kisa upate wadada wa kufanya nao zinaa?ndio maana nilikutana na bwana mmoja akaniambia kuwa ukiwa kijana ukiamua kumtukuza Mungu kwa kutokufanya maovu,pointi zake mbinguni ni nyingi kuliko ukiacha maovu ukiwa mzee...
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom