Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lazimaMakaburi lazima yafukuliwe mwaka huu.
Nashangaa hakuna aliyekamatwa wakati namba za simu ziliwekwa wazi. Pia humu JF aliwahi tishiwa kumezwa na "chatu" akiendelea kumkosoa JPM ila hakuna aliyekamatwa hadi leo. Cha ajabu Kabendera aliposema kuwa JPM alihusika ndio kelele zimekua nyingi.
Serikali iwe inachukua hatua ili kupunguza speculations za uhusika wake.
ndiyo maana ilipelekwa kwa polisi. Polisi walitakiwa kuseme sms wametuma wenyewe na kuwashtaki. Mbona ni rahisi tu mkuu.🐼
Unadhani sms haiwezi Kutoka Chamani hapo hapo Kwa Mawakala?
Nauliza tu kupitia mafunzo ya yale Makaratasi ya Yeriko
Mjerumani alikuwa anatembeza mboko kwa marehemu mkosaji.Ingefaa tuwe na Sheria ya kufukua na kuchapa mifupa ya wafu waliotenda ukatili duniani hata kama mwenye mifupa yake hahisi lolote.
CCM au?.🐼
Unadhani sms haiwezi Kutoka Chamani hapo hapo Kwa Mawakala?
Nauliza tu kupitia mafunzo ya yale Makaratasi ya Yeriko
Halafu serikali inakuwa imelala usingizi wa pono! Acha kutetea wauaji wewe nguruwe 🐖!🐼
Unadhani sms haiwezi Kutoka Chamani hapo hapo Kwa Mawakala?
Nauliza tu kupitia mafunzo ya yale Makaratasi ya Yeriko
Shetani mnaye hapo hapo mnakula fedha zake huku anawamalizaHalafu serikali inakuwa imelala usingizi wa pono! Acha kutetea wauaji wewe nguruwe 🐖!
Magufuli alikuwa shetani!
Kwa hiyo serikali ya CCM inamgwaya?Shetani mnaye hapo hapo mnakula fedha zake huku anawamaliza
Simbilisi wahed 🐼
Faili yake ya ugaidi iko Kwa dipipiiKwa hiyo serikali ya CCM inamgwaya?
🐕🐕🐕