Ndio maana nimestuka Sana kuona na Lissu anatumia mkangafu uleuleKwani CDF Mabeyo na Yeye alipenda Mwanae tena 'Kipenzi' kabisa kama aliyekufa yamtokee na ile Ndege? Ajali ya Ndege haijalishi 'Uimara' wake.
Rais wako mpendwa amekununulia madege ili nawe usafiri kwa ndege toka Chato, uwanja ukikamilika, mpaka Dodoma uwanja ukikamilika, ukienda Ikulu kumsalimia, ujenzi ukikamilika. Safari njema kabla ya Uchaguzi.Hakuna usafiri siupendi kama ndege
Sisi hatuhitaji kujua chaguo la nani, kikubwa aache ubaghili akodi ndege za maana, hamkawii kuitangazia dunia ametegewa bomu na JPM ili kuipaka matope nchi yetuKampeni za Lissu zimezaa ajira 13000 kwa walimu je akiwa rais zirapatikana ajira ngapi?
Lissu rais chaguo la Mungu.
Chadema wanajua kaitoa wapiNani amempa hiyo ndege
wewe ni mtaalamu wa ndege ,unajua ndege kabla ya kuruka inakaguliwa au unafikiri ndege ni toroliHii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.
Kwanza ina engene moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.
likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.
View attachment 1561744ngu
Chadema wanatumika sana kwenda negative na hii nchi.Hii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.
Kwanza ina engene moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.
likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.
View attachment 1561744ngu
Acha ubwegeKampeni za Lissu zimezaa ajira 13000 kwa walimu je akiwa rais zirapatikana ajira ngapi?
Lissu rais chaguo la Mungu.
Mbona ya filikunjombe ilishazuiliwa kuruka Kenya ikaletwa kwetu na ikaua watuwewe ni mtaalamu wa ndege ,unajua ndege kabla ya kuruka inakaguliwa au unafikiri ndege ni toroli
Mnasema wewe na nani?Ni Jambo jema ndio maana tunasema akamilishe kampeni akiwa salama
Hii hoja ina ukweli, maana juzi alisingizia watu wamefungua nati ili afe.Hii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.
Kwanza ina engene moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.
likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.
View attachment 1561744ngu
Tunao mtakia mema
Kwahiyo ilitaka kuchomoka magurudumu?Hii hoja ina ukweli, maana juzi alisingizia watu wamefungua nati ili afe.
Inahusiana nini na hiyo Thread,tatizo la kuishia la saba EKampeni za Lissu zimezaa ajira 13000 kwa walimu je akiwa rais zirapatikana ajira ngapi?
Lissu rais chaguo la Mungu.
Haya puuzieni ushauri.Kwahiyo ulitaka kuchomoka magurudumu?
Kampeni za Lissu zimezaa ajira 13000 kwa walimu je akiwa rais zirapatikana ajira ngapi?
Lissu rais chaguo la Mungu.
kabisa, nasikia kwanza ni spana mkononi inatembea inadondosha natiSi chadema tu, hata mabeberu nao wanaweza kuidondosha wakatumia kifo cha Lissu kwa ajili ya kuletata propoganda za uchochezi na vurugu nchini. Lissu mwenyewe anaitumia ndege hiyochakafu kuleta propoganda za uchochezi.
Wewe unatumia ndege kuukuu halafu unasena uko mpango wa kuidondosha ili ikidondoka kwa ubovu watu waseme alisha tahadharisha. Kama serikali iko makini waone jinsi ya kuangalia ubora wa hiyo ndege. Vinginevo likitokea la kutokea itakuwa ni taabu kubwa.