Uchaguzi 2020 TCAA chunguzeni ndege anayotumia Lissu

Acheni wivu nyie, tumevuka level moja kutoka helkopta sasa ndege na hampendi jambo hili mnataka kuizuia?
Mnaluka na ndege za mafuta ya taa angani mnapita vijiji vingi vyenye wapiga kura,hivi mnadhani kuchukua nchi ni lelemama?
 
Acheni wivu nyie, tumevuka level moja kutoka helkopta sasa ndege na hampendi jambo hili mnataka kuizuia?
kwanza deni la ndesamburo mlishalipa? nasikia alikufa kwa presha wakati akizozana na lema juu ya madai yake
 
kwanza deni la ndesamburo mlishalipa? nasikia alikufa kwa presha wakati akizozana na lema juu ya madai yake
Mwache billionea Ndesa hakuwa na shida na vijisenti amelala pazuri kuliko hata Nyerere.
 
Kwa hiyo unatuandaa kisaikolojia ,ili mipango yenu ikifanikiwa uje tena hapa kusema ulishazungumzia kuhusu hili jambo.
 
Hapa mheshimiwa una tetea vibaya, nimekuwa nikisoma article zako uko vizuri, lakini kwa hii nakukatalia. Ni stability ya ndege yoyote inategemea sana idadi ya engine, ndio maana hizi ndege zenye engine moja mara nyingi sana huwa zinaanguka. Hivyo naungana na mtoa mada Usalama ndege anayotumia Lissu ni mdogo sana.
 
kweli kabisa, hata Lissu ameshalalamika juu ya usalama wake, kama ulishasafiri na hizi ndege zenye engene moja utayajua maswahiba ya angani
 
Whatever lililo rohoni mwako, dhamira ya andiko lako, hasi au chanya, usafiri wa ndege kwa Lisu siungi mkono. Ya Filikunjombe bado yako kwenye memory!
Ila kama ni ya viatilifu/utafiti, watafiti siyo watu? mbona ina several seats?
Huwezi kuwaelewa chadema.
 
Katua kwenye kiwanja safi mikoani afu anadai miundo mbinu ndo impigie kura Magufuli! Hawa watu akili zao nahisi huwa za kuokota! Magu 5 tena.
 
kwahiyo wewe leo ndio mshauri wa CDM na Mamlaka ya anga....MATAGA tulieni tulieni kqmmk
 
Nani kamkodia hiyo ndege si ni chama chake? Kwanini wasikodi inayofaa zaidi?
 
Ushauri mzuri sana huu.kwanza ndege gani inatumia mafuta ya taa!!.
kweli Chadema mnacheza na uhai wa mgombea wenu wa Urais kwa kumpandisha ndege inayotumia mafuta ya taa?
Hivi unaona fahari kuandika ujinga? Au kwa vile mwenyekiti anaongea upoloto basi na nyie ni fahari kumuiga?
 
Ina maana imefika mahali sasa hivi TZ unaweza kurusha ndege unavyo taka kama tiara? Maana ninavyojua ndege ikiruka kwenye anga la TZ basi TCAA wameshahusika. Sasa sijui umetoa wapi hoja hii inayoonyesha kama vile TCAA hawajui chochote kuhusu ndege hiyo? Ama wasiojulikana ndio mmeanza kujitokeza ili mpange hujuma dhidi ya Lissu?
 
Msije mkawa mnaanza chokochoko ili muilipue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…