Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Kwani huelewi lengo la mleta mada ?!. Huyo ni kada bobezi linataka kulemaza campaign ya TAL . Hata hivyo ndege haifai bora helicopter au msafara mdogo wa magariUshauri uliotolewa siyo wa kubeza. Uchunguzi wa ndege hii ufanyike haraka.
Mkuu inabidi upimwe mkojo.Hii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.
Kwanza ina engine moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.
likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.
View attachment 1561744ngu
Whatever lililo rohoni mwako, dhamira ya andiko lako, hasi au chanya, usafiri wa ndege kwa Lisu siungi mkono. Ya Filikunjombe bado yako kwenye memory!
Ila kama ni ya viatilifu/utafiti, watafiti siyo watu? mbona ina several seats?
Beberu!! Tatizo kenu nini?Nani amempa hiyo ndege
Chukueni ushauri acheni ubishii ilendege ni mkweche wa hali ya juuu, au ndo mnataka litokee jambo baya halafu iwe kiki kwenu? Hivi mtaishiwa lini na KIKI zenu enyi chadema?Acha 'Uzushi' na kutaka 'Kupotosha' Watu hapa. Hakuna Ndege ambayo 'inatengenezwa' ili iwe tu Imara kwa Watu fulani au Jambo fulani tu. Kikubwa ni Uwezo wake wa Kuruka na Kusafiri na hayo mambo mengine sijui ya Ajali au Kuanguka ni Majaliwa yake Maulana / Mola pekee. Mbona hata hiyo Ndege ambayo anaitumia Rais Dkt. Magufuli na yenyewe pia siyo kwamba iko Imara kivile na wala hujashangaa au kuhoji?
Kitu kingine kikubwa usichokijua na nimesikitika kwamba pamoja na 'Usomi' wako kimekushinda Kuking'amua ( Kukijua ) tu ni kwamba ukiona Ndege yoyote inaruka katika Anga la Tanzania jua ya kwamba tayari imesharuhusiwa na hadi Kuthibitishwa Kwake 'Kiusalama' na hawa Watu wako wa TCCA uliowataja hapa. Nakuomba jikite sana katika Kusoma baadhi ya Mambo ili uelewa wako uwe mkubwa kabla ya kuja hapa.
Labda nimalizie tu kwa kusema kuwa nilichokigundua katika haya Maelezo yako hapa ni dhahiri shahiri kuwa Wewe utakuwa ni upande wa wale 'Wabaya' wake Lissu hivyo hapa unataka 'Kutuzuga' ili mipango yenu ya 'Kumuhujumu' labda kwa 'Kuidungua' au Kucheza nayo 'Kimfumo' ili iwe na 'hitilafu' ianguke na 'Imuue' huyu Mtanzania Mwenzetu itimie. Mimi ni CCM 'dam dam' ila Mungu 'atamlinda' Tundu Lissu.
Kwahiyo Wewe ulidhani kuwa 'Campaign Team' ya Tundu Lissu yenyewe haiko 'Security Conscious' kama Ulivyo basi Wao wanajiendea hovyo tu?
Huku kanda ya ziwa Lissu aliposema wakulima wa pamba wamekopwa na na akiingia huo upuuzi utakomeshwa ndani ya siku tatu wakulima wakaanza kulipwa na akati pamba ni ya 2018 HAKIKA #NIYEYE 2020 maana asingesemea hili sijui kama wakulima wangelipwaKampeni za Lissu zimezaa ajira 13000 kwa walimu je akiwa rais zirapatikana ajira ngapi?
Whatever lililo rohoni mwako, dhamira ya andiko lako, hasi au chanya, usafiri wa ndege kwa Lisu siungi mkono. Ya Filikunjombe bado yako kwenye memory!
Ila kama ni ya viatilifu/utafiti, watafiti siyo watu? mbona ina several seats?
Wakuu sera zenu zimehamia kwa Lissu??Hiyo scraper is image kupaaa si watumie ungo wa kienyeji kuliko kufanya mzaha wa maisha ya mgombea aliyeshindwa tayari
Lissu ni nomaHuku kanda ya ziwa Lissu aliposema wakulima wa pamba wamekopwa na na akiingia huo upuuzi utakomeshwa ndani ya siku tatu wakulima wakaanza kulipwa na akati pamba ni ya 2018 HAKIKA #NIYEYE 2020 maana asingesemea hili sijui kama wakulima wangelipwa
Mkuu Gentamycine, umeongea points leo ambazo zimenifurahisha kwa kweli.Acha 'Uzushi' na kutaka 'Kupotosha' Watu hapa. Hakuna Ndege ambayo 'inatengenezwa' ili iwe tu Imara kwa Watu fulani au Jambo fulani tu. Kikubwa ni Uwezo wake wa Kuruka na Kusafiri na hayo mambo mengine sijui ya Ajali au Kuanguka ni Majaliwa yake Maulana / Mola pekee. Mbona hata hiyo Ndege ambayo anaitumia Rais Dkt. Magufuli na yenyewe pia siyo kwamba iko Imara kivile na wala hujashangaa au kuhoji?
Kitu kingine kikubwa usichokijua na nimesikitika kwamba pamoja na 'Usomi' wako kimekushinda Kuking'amua ( Kukijua ) tu ni kwamba ukiona Ndege yoyote inaruka katika Anga la Tanzania jua ya kwamba tayari imesharuhusiwa na hadi Kuthibitishwa Kwake 'Kiusalama' na hawa Watu wako wa TCCA uliowataja hapa. Nakuomba jikite sana katika Kusoma baadhi ya Mambo ili uelewa wako uwe mkubwa kabla ya kuja hapa.
Labda nimalizie tu kwa kusema kuwa nilichokigundua katika haya Maelezo yako hapa ni dhahiri shahiri kuwa Wewe utakuwa ni upande wa wale 'Wabaya' wake Lissu hivyo hapa unataka 'Kutuzuga' ili mipango yenu ya 'Kumuhujumu' labda kwa 'Kuidungua' au Kucheza nayo 'Kimfumo' ili iwe na 'hitilafu' ianguke na 'Imuue' huyu Mtanzania Mwenzetu itimie. Mimi ni CCM 'dam dam' ila Mungu 'atamlinda' Tundu Lissu.
Kwahiyo Wewe ulidhani kuwa 'Campaign Team' ya Tundu Lissu yenyewe haiko 'Security Conscious' kama Ulivyo basi Wao wanajiendea hovyo tu?
magufuli mitano tenaRais wako mpendwa amekununulia madege ili nawe usafiri kwa ndege toka Chato, uwanja ukikamilika, mpaka Dodoma uwanja ukikamilika, ukienda Ikulu kumsalimia, ujenzi ukikamilika. Safari njema kabla ya Uchaguzi.
Kulikoni Leo munawasiwasi na uhai wa Lisu?Ushauri mzuri sana huu.kwanza ndege gani inatumia mafuta ya taa!
Kweli Chadema mnacheza na uhai wa mgombea wenu wa Urais kwa kumpandisha ndege inayotumia mafuta ya taa?
Yaani kiuhalisia wewe mwanachama was CCM na si mshabiki wa CCM. Unachambua vitu na unasimama kwenye uhalisiaAcha 'Uzushi' na kutaka 'Kupotosha' Watu hapa. Hakuna Ndege ambayo 'inatengenezwa' ili iwe tu Imara kwa Watu fulani au Jambo fulani tu. Kikubwa ni Uwezo wake wa Kuruka na Kusafiri na hayo mambo mengine sijui ya Ajali au Kuanguka ni Majaliwa yake Maulana / Mola pekee. Mbona hata hiyo Ndege ambayo anaitumia Rais Dkt. Magufuli na yenyewe pia siyo kwamba iko Imara kivile na wala hujashangaa au kuhoji?
Kitu kingine kikubwa usichokijua na nimesikitika kwamba pamoja na 'Usomi' wako kimekushinda Kuking'amua ( Kukijua ) tu ni kwamba ukiona Ndege yoyote inaruka katika Anga la Tanzania jua ya kwamba tayari imesharuhusiwa na hadi Kuthibitishwa Kwake 'Kiusalama' na hawa Watu wako wa TCCA uliowataja hapa. Nakuomba jikite sana katika Kusoma baadhi ya Mambo ili uelewa wako uwe mkubwa kabla ya kuja hapa.
Labda nimalizie tu kwa kusema kuwa nilichokigundua katika haya Maelezo yako hapa ni dhahiri shahiri kuwa Wewe utakuwa ni upande wa wale 'Wabaya' wake Lissu hivyo hapa unataka 'Kutuzuga' ili mipango yenu ya 'Kumuhujumu' labda kwa 'Kuidungua' au Kucheza nayo 'Kimfumo' ili iwe na 'hitilafu' ianguke na 'Imuue' huyu Mtanzania Mwenzetu itimie. Mimi ni CCM 'dam dam' ila Mungu 'atamlinda' Tundu Lissu.
Kwahiyo Wewe ulidhani kuwa 'Campaign Team' ya Tundu Lissu yenyewe haiko 'Security Conscious' kama Ulivyo basi Wao wanajiendea hovyo tu?
Mkuu Nawatafuna ndege zote zinatumia mafuta ya ya taa hata dream liner ! Tofauti ni tuu yamechujwa ipasavyo ndio huitwa Jet A-1 kwa ndege kubwa zipaazo juu zaidi futi 10000 toka usawa wa bahati na AVGAS kwa vindege vidogo kama atumiacho LisuUshauri mzuri sana huu.kwanza ndege gani inatumia mafuta ya taa!
Kweli Chadema mnacheza na uhai wa mgombea wenu wa Urais kwa kumpandisha ndege inayotumia mafuta ya taa?
Watu wenye hekima kama yako wanahitajika sana dunia hii. Naafiki hoja yako kwa asilimia zote kwamba hii ndege wambadilishie haraka iwezekanavyo, kama kuna uwezekano huo. Wanampaje ndege ambayo hadi watu ambao siyo wataalamu, wanaanza ku-doubt ubora wake? Tafadhali tunaomba ndgege hii abadilishiweHii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.
Kwanza ina engine moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.
likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.
View attachment 1561744ngu