Uchaguzi 2020 TCAA chunguzeni ndege anayotumia Lissu

Uchaguzi 2020 TCAA chunguzeni ndege anayotumia Lissu

Ushauri uliotolewa siyo wa kubeza. Uchunguzi wa ndege hii ufanyike haraka.
Kwani huelewi lengo la mleta mada ?!. Huyo ni kada bobezi linataka kulemaza campaign ya TAL . Hata hivyo ndege haifai bora helicopter au msafara mdogo wa magari
 
Hii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.

Kwanza ina engine moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.

likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.

View attachment 1561744ngu
Mkuu inabidi upimwe mkojo.
 
Mgombea asiyetaka serikali inunue ndege halafu muda huo huo anapanda ndege.
 
Whatever lililo rohoni mwako, dhamira ya andiko lako, hasi au chanya, usafiri wa ndege kwa Lisu siungi mkono. Ya Filikunjombe bado yako kwenye memory!

Ila kama ni ya viatilifu/utafiti, watafiti siyo watu? mbona ina several seats?

Mimi mwenyewe sina imani na usafiri anaokomaa nao sasa. Sijui nani amemshauri? Akitoka Zanzibar basi atulie tu kwa muda (kupumzika).. halafu atumie magari. Kwa nini hajakumbuka ya Filikunjombe? Why is he risking his life to this extent? Kama kashapata fununu, haisaidii kuzisema hadharani, watafanya tu udhalimu wao wakitaka. Amesahau alivyokuwa anatoa taarifa za kudhuriwa kwake kipindi cha miaka 2016, 2017.. ila ilasaidia nini? Si alipigwa tu risasi bado? Kutaja njama zao si kinga. Aachane na usafiri huo wa ndege bwana.
 
Huwezi kupona risasi zote zile kama sio mpango wa Mungu.

Kuna kitu Mungu anataka akifanye kupitia huyu ndugu kwa ajili ya nchi yetu. Believe it or not! Whether you like it or not! Time will tell.



JESUS IS LORD!!!!
 
Mnaanza kutuandaa kisaikolojia baada ya kuona mgombea wenu amechanganyikiwa na kuanza kutukana wapiga kura huku aki confess uovu aliowafanyia kwa miaka mitano kitu ambacho hata nyinyi misukule wake mmeshangaa msijue jinsi ya kumsaidia kilaza wenu. Naona mnaanza kubuni plan B kumuua lisu baada ya kuogopa sanduku la kura. Mungu yupo upande wa Lisu nyie mpo upande iblis sheetwan Lucifer
 
Kama hata ofisi bado wanapanga ushauri wako utasaidia nini na unajua jamaa hawaminiki .ukiwachangia Mbowe atazimeza zote
 
Acha 'Uzushi' na kutaka 'Kupotosha' Watu hapa. Hakuna Ndege ambayo 'inatengenezwa' ili iwe tu Imara kwa Watu fulani au Jambo fulani tu. Kikubwa ni Uwezo wake wa Kuruka na Kusafiri na hayo mambo mengine sijui ya Ajali au Kuanguka ni Majaliwa yake Maulana / Mola pekee. Mbona hata hiyo Ndege ambayo anaitumia Rais Dkt. Magufuli na yenyewe pia siyo kwamba iko Imara kivile na wala hujashangaa au kuhoji?

Kitu kingine kikubwa usichokijua na nimesikitika kwamba pamoja na 'Usomi' wako kimekushinda Kuking'amua ( Kukijua ) tu ni kwamba ukiona Ndege yoyote inaruka katika Anga la Tanzania jua ya kwamba tayari imesharuhusiwa na hadi Kuthibitishwa Kwake 'Kiusalama' na hawa Watu wako wa TCCA uliowataja hapa. Nakuomba jikite sana katika Kusoma baadhi ya Mambo ili uelewa wako uwe mkubwa kabla ya kuja hapa.

Labda nimalizie tu kwa kusema kuwa nilichokigundua katika haya Maelezo yako hapa ni dhahiri shahiri kuwa Wewe utakuwa ni upande wa wale 'Wabaya' wake Lissu hivyo hapa unataka 'Kutuzuga' ili mipango yenu ya 'Kumuhujumu' labda kwa 'Kuidungua' au Kucheza nayo 'Kimfumo' ili iwe na 'hitilafu' ianguke na 'Imuue' huyu Mtanzania Mwenzetu itimie. Mimi ni CCM 'dam dam' ila Mungu 'atamlinda' Tundu Lissu.

Kwahiyo Wewe ulidhani kuwa 'Campaign Team' ya Tundu Lissu yenyewe haiko 'Security Conscious' kama Ulivyo basi Wao wanajiendea hovyo tu?
Chukueni ushauri acheni ubishii ilendege ni mkweche wa hali ya juuu, au ndo mnataka litokee jambo baya halafu iwe kiki kwenu? Hivi mtaishiwa lini na KIKI zenu enyi chadema?
 
Kampeni za Lissu zimezaa ajira 13000 kwa walimu je akiwa rais zirapatikana ajira ngapi?
Huku kanda ya ziwa Lissu aliposema wakulima wa pamba wamekopwa na na akiingia huo upuuzi utakomeshwa ndani ya siku tatu wakulima wakaanza kulipwa na akati pamba ni ya 2018 HAKIKA #NIYEYE 2020 maana asingesemea hili sijui kama wakulima wangelipwa
 
Whatever lililo rohoni mwako, dhamira ya andiko lako, hasi au chanya, usafiri wa ndege kwa Lisu siungi mkono. Ya Filikunjombe bado yako kwenye memory!

Ila kama ni ya viatilifu/utafiti, watafiti siyo watu? mbona ina several seats?

Mtoa hoja inawezekana anajia mengi tahadhari ichukuliwe
 
Huku kanda ya ziwa Lissu aliposema wakulima wa pamba wamekopwa na na akiingia huo upuuzi utakomeshwa ndani ya siku tatu wakulima wakaanza kulipwa na akati pamba ni ya 2018 HAKIKA #NIYEYE 2020 maana asingesemea hili sijui kama wakulima wangelipwa
Lissu ni noma
 
Acha 'Uzushi' na kutaka 'Kupotosha' Watu hapa. Hakuna Ndege ambayo 'inatengenezwa' ili iwe tu Imara kwa Watu fulani au Jambo fulani tu. Kikubwa ni Uwezo wake wa Kuruka na Kusafiri na hayo mambo mengine sijui ya Ajali au Kuanguka ni Majaliwa yake Maulana / Mola pekee. Mbona hata hiyo Ndege ambayo anaitumia Rais Dkt. Magufuli na yenyewe pia siyo kwamba iko Imara kivile na wala hujashangaa au kuhoji?

Kitu kingine kikubwa usichokijua na nimesikitika kwamba pamoja na 'Usomi' wako kimekushinda Kuking'amua ( Kukijua ) tu ni kwamba ukiona Ndege yoyote inaruka katika Anga la Tanzania jua ya kwamba tayari imesharuhusiwa na hadi Kuthibitishwa Kwake 'Kiusalama' na hawa Watu wako wa TCCA uliowataja hapa. Nakuomba jikite sana katika Kusoma baadhi ya Mambo ili uelewa wako uwe mkubwa kabla ya kuja hapa.

Labda nimalizie tu kwa kusema kuwa nilichokigundua katika haya Maelezo yako hapa ni dhahiri shahiri kuwa Wewe utakuwa ni upande wa wale 'Wabaya' wake Lissu hivyo hapa unataka 'Kutuzuga' ili mipango yenu ya 'Kumuhujumu' labda kwa 'Kuidungua' au Kucheza nayo 'Kimfumo' ili iwe na 'hitilafu' ianguke na 'Imuue' huyu Mtanzania Mwenzetu itimie. Mimi ni CCM 'dam dam' ila Mungu 'atamlinda' Tundu Lissu.

Kwahiyo Wewe ulidhani kuwa 'Campaign Team' ya Tundu Lissu yenyewe haiko 'Security Conscious' kama Ulivyo basi Wao wanajiendea hovyo tu?
Mkuu Gentamycine, umeongea points leo ambazo zimenifurahisha kwa kweli.
 
Rais wako mpendwa amekununulia madege ili nawe usafiri kwa ndege toka Chato, uwanja ukikamilika, mpaka Dodoma uwanja ukikamilika, ukienda Ikulu kumsalimia, ujenzi ukikamilika. Safari njema kabla ya Uchaguzi.
magufuli mitano tena
 
Acha 'Uzushi' na kutaka 'Kupotosha' Watu hapa. Hakuna Ndege ambayo 'inatengenezwa' ili iwe tu Imara kwa Watu fulani au Jambo fulani tu. Kikubwa ni Uwezo wake wa Kuruka na Kusafiri na hayo mambo mengine sijui ya Ajali au Kuanguka ni Majaliwa yake Maulana / Mola pekee. Mbona hata hiyo Ndege ambayo anaitumia Rais Dkt. Magufuli na yenyewe pia siyo kwamba iko Imara kivile na wala hujashangaa au kuhoji?

Kitu kingine kikubwa usichokijua na nimesikitika kwamba pamoja na 'Usomi' wako kimekushinda Kuking'amua ( Kukijua ) tu ni kwamba ukiona Ndege yoyote inaruka katika Anga la Tanzania jua ya kwamba tayari imesharuhusiwa na hadi Kuthibitishwa Kwake 'Kiusalama' na hawa Watu wako wa TCCA uliowataja hapa. Nakuomba jikite sana katika Kusoma baadhi ya Mambo ili uelewa wako uwe mkubwa kabla ya kuja hapa.

Labda nimalizie tu kwa kusema kuwa nilichokigundua katika haya Maelezo yako hapa ni dhahiri shahiri kuwa Wewe utakuwa ni upande wa wale 'Wabaya' wake Lissu hivyo hapa unataka 'Kutuzuga' ili mipango yenu ya 'Kumuhujumu' labda kwa 'Kuidungua' au Kucheza nayo 'Kimfumo' ili iwe na 'hitilafu' ianguke na 'Imuue' huyu Mtanzania Mwenzetu itimie. Mimi ni CCM 'dam dam' ila Mungu 'atamlinda' Tundu Lissu.

Kwahiyo Wewe ulidhani kuwa 'Campaign Team' ya Tundu Lissu yenyewe haiko 'Security Conscious' kama Ulivyo basi Wao wanajiendea hovyo tu?
Yaani kiuhalisia wewe mwanachama was CCM na si mshabiki wa CCM. Unachambua vitu na unasimama kwenye uhalisia
 
Ushauri mzuri sana huu.kwanza ndege gani inatumia mafuta ya taa!

Kweli Chadema mnacheza na uhai wa mgombea wenu wa Urais kwa kumpandisha ndege inayotumia mafuta ya taa?
Mkuu Nawatafuna ndege zote zinatumia mafuta ya ya taa hata dream liner ! Tofauti ni tuu yamechujwa ipasavyo ndio huitwa Jet A-1 kwa ndege kubwa zipaazo juu zaidi futi 10000 toka usawa wa bahati na AVGAS kwa vindege vidogo kama atumiacho Lisu
 
Hii ndege kuukuu na nzee imekuwa ikizunguka na Mh Lissu na jana kalalamika, naona hata yeye keshatia shaka na usalama wa hii ndege.

Kwanza ina engine moja jambo lisilo salama kiusafiri wa anga, ndege kama hizi hutumika kwenye tafiti "aerial survey" au kunyunyizia viwatilifu lakini sio kusafirisha viongozi kama Lissu.

likitokea la kutokea hakawii kusingizia kafanyiwa njama ni bora ukafanyika uchunguzi kuangalia ubora wa hii ndege na kama kweli inastahili kupiga misele yote hii, tunataka aumalize huu mtanange akiwa salama ajue kashindwa kihalali kabisa.

View attachment 1561744ngu
Watu wenye hekima kama yako wanahitajika sana dunia hii. Naafiki hoja yako kwa asilimia zote kwamba hii ndege wambadilishie haraka iwezekanavyo, kama kuna uwezekano huo. Wanampaje ndege ambayo hadi watu ambao siyo wataalamu, wanaanza ku-doubt ubora wake? Tafadhali tunaomba ndgege hii abadilishiwe
 
Back
Top Bottom