TCRA, BASATA zafungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz ft Zuchu - "Watasubiri Sana"

TCRA, BASATA zafungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz ft Zuchu - "Watasubiri Sana"

Nisamehewe!!!

But in short,imani uliyoitaja hapa msingi wake mkuu ni unafiki,nazini lakini kula nguruwe haramu,naiba ila kunywa pombe haramu,nasali lakini kutukana na kuita majina ya kuudhi asiyefanana na mimi siyo haramu.
Hakuna dini isiyoharamisha zinaa, uwizi, kutukana nk acha uongo, Ally kuvuta sigara haimaanishi sigara sio haramu, wakristo wangapi wanazini kwani zinaa kwa mkristo ni halali?
 
Wavaa kanzu halisi walishakufaga,wasasa wengi wao wamesahau imani zao wanakula kitimoto kuliko wagalatia.
Bora mkae kimya coz kimsingi hamueleweki mko wapi.
Nani haeleweki? Dini au mtu? Usifate mtu anafanya nini fata dini inasema nini, kile inachosema dini ndio halali ukiona mtu hafati inachosema dini jua anajiandalia makazi ya jehanam
 
Nani haeleweki? Dini au mtu? Usifate mtu anafanya nini fata dini inasema nini, kile inachosema dini ndio halali ukiona mtu hafati inachosema dini jua anajiandalia makazi ya jehanam
Kama ni kufuata dini ndio kabisa.
Kama dini inafundisha kuna majini wema wanaoswali na majini wabaya huoni kwamba kazi bado ipo?

unakuta ma imamu ndio waganga mashuhuri halafu ijumaa kwenye mawaidha anawaambia waumini shirki ni dhambi wakati yeye mwenyewe ni mganga wa kitabu.

Kwakweli tutafika peponi tukiwa tumechoka sana
 
WAKRISTO SOMETIMES MNACHEKESHAGA SANA NA DOUBLE STANDARDS ZENU... VILE VITUKO VYA AKINA MASANJA NA ORIJINO COMEDY... NA YALE MAUNO YA NYIMBO ZENU ZA INJILI YAPO SAWA...? ILA HII YA DIAMOND INALETA UKAKASI...
Video ya akina Nasib na Zuhura uimefungiwa na Jabir Bakari, Wakristo unawahusishaje hapo?
 
Maneno ya kuudhi kama yapi ambayo tunawaita wengine
Kaffir (hii ni lugha ya watu inaweza kuwa na maana sawa na Kiswahili but ina-sound ignorantly sana) pamoja na kusema ninyi hamna dini,Ukristo ni dini ya wahuni etc,unaweza kuthibitisha hapa bila shaka yoyote kwamba kuna siku Mungu alikutokea akakwambia wewe unaniabudu ktk njia iliyo sahihi?si wote tunaabudu kwa imani tu?

Nikiwasikia wahubiri wa dini hii wanajitapa “sisi dini yetu inatufundisha kuheshimu dini za wengine” na hamfanyi hivyo,huo nao ni unafiki ni simple tu ukitoa unafiki hakuna hiyo dini haiwezi kusimama.
 
Hakuna dini isiyoharamisha zinaa, uwizi, kutukana nk acha uongo, Ally kuvuta sigara haimaanishi sigara sio haramu, wakristo wangapi wanazini kwani zinaa kwa mkristo ni halali?
Nisome vizuri sijahalalisha kutenda dhambi ninachokikataa mimi ni watu wanaojiita wana imani thabiti kutofautisha aina za dhambi kwa utashi wao huku wakiona wenzao wana dhambi sana.
 
Nisome vizuri sijahalalisha kutenda dhambi ninachokikataa mimi ni watu wanaojiita wana imani thabiti kutofautisha aina za dhambi kwa utashi wao huku wakiona wenzao wana dhambi sana.
Kwahiyo wewe unawesema watu sio dini? Maelezo yako yanaonyesha unaisema dini sio watu
 
Back
Top Bottom