TCRA, BASATA zafungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz ft Zuchu - "Watasubiri Sana"

TCRA, BASATA zafungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz ft Zuchu - "Watasubiri Sana"

Kituko kikuu ni cha kufikiri peponi kuna vigori 72 vya kugegeda.

Mudi alikuwa anapenda ngono sana, yani akaona awadanganye kabisa oooh mimi mtume wenu Mudi nimeambiwa na mnyazimungu tukifa basi kule peponi tutakuta mabikira 72 tutasugua sana mbususu, kwani hawa wa4 mnaowabandua tope huku earth hawawatoshi?
Hahahahahah
 
Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu unaoitwa "Watasubiri Sana' baada ya kupata taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuwa wimbo na video hiyo inaleta ukakasi kwa waumini wa dini na dhehebu fulani.

Wimbo huo unafungiwa licha ya kuwa una mwezi mmoja tangu ulipowekwa YouTube, ukiwa umetamzwa zaidi ya mara milioni 10.2.

Waende msikitini
 
WAKRISTO SOMETIMES MNACHEKESHAGA SANA NA DOUBLE STANDARDS ZENU... VILE VITUKO VYA AKINA MASANJA NA ORIJINO COMEDY... NA YALE MAUNO YA NYIMBO ZENU ZA INJILI YAPO SAWA...? ILA HII YA DIAMOND INALETA UKAKASI...
Sasa mond ni mkristo?
 
Badala ya kutoa ushauri WA kuboresha Sanaa wao wapo busy kufungia kAzi za wasanii ili hao busata waonekane wapo kazini
 
Kituko kikuu ni cha kufikiri peponi kuna vigori 72 vya kugegeda.

Mudi alikuwa anapenda ngono sana, yani akaona awadanganye kabisa oooh mimi mtume wenu Mudi nimeambiwa na mnyazimungu tukifa basi kule peponi tutakuta mabikira 72 tutasugua sana mbususu, kwani hawa wa4 mnaowabandua tope huku earth hawawatoshi?
Nasikia yule wa msalabani naye alikuwa hana demu maisha yake yote

Ila alikuwa anapakuliwa tope na wale wanafunzi wake 12
 
Kituko kikuu ni cha kufikiri peponi kuna vigori 72 vya kugegeda.

Mudi alikuwa anapenda ngono sana, yani akaona awadanganye kabisa oooh mimi mtume wenu Mudi nimeambiwa na mnyazimungu tukifa basi kule peponi tutakuta mabikira 72 tutasugua sana mbususu, kwani hawa wa4 mnaowabandua tope huku earth hawawatoshi?
Uchokozi wa kiimani.

Ndugu usiende huko
 
Sababu yakufungiwa ni kutokana na maudhui ya kuudhi dhini ya dini ya kikristo,sehemu ambayo inamuonyesha Zuchu akiiacha kwaya na kukimbilia nje kuongea na simu kitu ambacho hakina uhalisia kwa madhehebu ya dini hiyo.

Hapa najiuliza tu hivi inakuaje Nabii Tito anaendelea kutamba mitaani,na hata clip za sheikh Mazinge zinatamba lakini hakuna tamko lolote la kulaani haya mambo,iweje tu kwa kipande cha wimbo wa domo kilete shida?
Huyo si freemanosory. Kulikuwa hakuna haja ya kuanzia kanisani. Video ingeanza anapoongea na simu kisingeharibika kitu, labda kwa kuwa na ajenda ingine
 
Ila Diamond ni kama anapenda shindana na serikali, ipo siku watamkazia
 
WAKRISTO SOMETIMES MNACHEKESHAGA SANA NA DOUBLE STANDARDS ZENU... VILE VITUKO VYA AKINA MASANJA NA ORIJINO COMEDY... NA YALE MAUNO YA NYIMBO ZENU ZA INJILI YAPO SAWA...? ILA HII YA DIAMOND INALETA UKAKASI...
Kwa nini atumie maudhui ya Kanisani kwenye huo wimbo wake, badala ya Msikitini? Au huyo Zuchu na jamaa yake wamekuwa Wakristo siku hizi?

Ingetokea Msanii wa imani ya Kikristo akatengeneza maudhui ya wimbo wake kwenye Msikiti wenu, mngetulia tu kirahisi na hizo nongwa zenu? Si mngepiga kelele za "Takbir" na kutishia kufanya fujo!

Halafu huwezi ukatolea mifano ya akina Joti na Masanja kwenye jambo ambalo halina uhusiano! Wale wanaigiza nyimbo, na siyo kuleta masihara kwenye imani za watu wengine.


Hivyo wakati mwingine nendeni msikitini mkafanye huo upuuzi wenu, ila siyo kwenye makanisa yasiyo wahusu.
 
Kwa nini atumie maudhui ya Kanisani kwenye huo wimbo wake, badala ya Msikitini? Au huyo Zuchu na jamaa yake wamekuwa Wakristo siku hizi?

Ingetokea Msanii wa imani ya Kikristo akatengeneza maudhui ya wimbo wake kwenye Msikiti wenu, mngetulia tu kirahisi na hizo nongwa zenu? Si mngepiga kelele za "Takbir" na kutishia kufanya fujo!

Halafu huwezi ukatolea mifano ya akina Joti na Masanja kwenye jambo ambalo halina uhusiano! Wale wanaigiza nyimbo, na siyo kuleta masihara kwenye imani za watu wengine.


Hivyo wakati mwingine nendeni msikitini mkafanye huo upuuzi wenu, ila siyo kwenye makanisa yasiyo wahusu.
kwahiyo upuuzi ufanywe na wakristo... Wakifanya upuuzi ule ule waislam ni kosaa... Hahahah

Nimekubali hilo ndio kosa lake...
 
kwahiyo upuuzi ufanywe na wakristo... Wakifanya upuuzi ule ule waislam ni kosaa... Hahahah

Nimekubali hilo ndio kosa lake...
Inawezekana hujanielewa nilicho maanisha. Na ni jambo la kawaida kwa sisi binadamu.
 
Back
Top Bottom