TCRA /COSOTA au Mamlaka zinazohusika hamuoni tamthilia ya BONDITA Azam two unavyoharibu watoto kwa kuhamasishwa ndoa za utotoni.?

TCRA /COSOTA au Mamlaka zinazohusika hamuoni tamthilia ya BONDITA Azam two unavyoharibu watoto kwa kuhamasishwa ndoa za utotoni.?

watoto wako shule tatizo kina junior wenu mnawaachia vingi sana
 
Kwani King`amuzi chako hakina Parental Control settings? Yaani watoto wasiharibiwe na miziki ya hovyo iliyotapakaa kwenye Channel kibao, waje waharibiwe na Tamthilia unayoweza kuzuia wasiangalie?......
 
Kwani King`amuzi chako hakina Parental Control settings? Yaani watoto wasiharibiwe na miziki ya hovyo iliyotapakaa kwenye Channel kibao, waje waharibiwe na Tamthilia unayoweza kuzuia wasiangalie?......
Parental control tunaijulia wapi Uswahilini huku... iyo rimoti yenyewe kutumia bado wengine hajui vizuri.
 
-Hao waigizaji wakuu Bondita na mumewe mbona wanatofautiana sana umri.
-Watoto wanajifunza nini wakiona mtoto mwenzao analiita baba zima ''mumewangu''
-watoto wadogo wanawaza kuolewa kuliko hata homework
-Na Mamlaka zinazohusika mpo tu,, sasa mna msaada gani kama tatizo kama hili hamulioni?

-Ee Mwenyezi Mungu wakumbuke watoto wa Taifa hili..! Mipango ya shetani[emoji48] Haina nafasi wala Mamlaka kwa watoto wako.
 
-Hao waigizaji wakuu Bondita na mumewe mbona wanatofautiana sana umri.
-Watoto wanajifunza nini wakiona mtoto mwenzao analiita baba zima ''mumewangu''
-watoto wadogo wanawaza kuolewa kuliko hata homework
-Na Mamlaka zinazohusika mpo tu,, sasa mna msaada gani kama tatizo kama hili hamulioni?

-Ee Mwenyezi Mungu wakumbuke watoto wa Taifa hili..! Mipango ya shetani[emoji48] Haina nafasi wala Mamlaka kwa watoto wako.
Ina maana hao kabachori waliigiza hiyo tamthilia kwa ajili ya kuharibu akili za watoto wa kitz??!
 
Ina maana hao kabachori waliigiza hiyo tamthilia kwa ajili ya kuharibu akili za watoto wa kitz??!
TAMTHILIA YA BONDITA IMEKATISHWA NA KIONDOLEWA TANGU JANA.

TUNAPOSEMA YUPO MUNGU ANAYEJIBU MAOMBI...TUNAMAANISHA.
 
Kwani King`amuzi chako hakina Parental Control settings? Yaani watoto wasiharibiwe na miziki ya hovyo iliyotapakaa kwenye Channel kibao, waje waharibiwe na Tamthilia unayoweza kuzuia wasiangalie?......
TAMTHILIA YA BONDITA IMEKATISHWA NA KIONDOLEWA TANGU JANA.

TUNAPOSEMA YUPO MUNGU ANAYEJIBU MAOMBI...TUNAMAANISHA.
 
TAMTHILIA YA BONDITA IMEKATISHWA NA KIONDOLEWA TANGU JANA.

TUNAPOSEMA YUPO MUNGU ANAYEJIBU MAOMBI...TUNAMAANISHA.
POINT BADO NI ILE ILE KWAMBA KWENYE TV USIMAMIZI WA MZAZI UNAHITAJIKA, YAANI HILO LA NDOA ZA UTOTONI KWENYE BONDITA NI SUALA DOGO SANA UKILINGANISHA NA UCHAFU KWENYE MIZIKI... BUT ALL IN ALL NI KITU KIZURI KWA MALEZI YA TAIFA LA KESHO...
 
Back
Top Bottom