Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Mkuu Nyani Ngabu za masiku? Issue za VPN zinashangaza Sana. Nijuavyo Mimi VPN ni protected vinginevyo watueleze uongo mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Nyani Ngabu za masiku? Issue za VPN zinashangaza Sana. Nijuavyo Mimi VPN ni protected vinginevyo watueleze uongo mwingine.
Kwenye Taarifa yao wanasema unajisajili mtandaoni wameweka linkYaani unatoaje sasa mfano tokea huku Igawiro nije Daslam kusema kwamba natumia VPN?
Wizo unakosaje kuwasha VPN ucheck style mpya za kumpagawisha bro kwa mfano??Hili nalo kama BWEGE vile, unanizuiaje kutumia VPN kwa mfano? Alaaah!
Yaani kwa misingi ipi haswa nisitumie VPN?
NEPI NNAUYE tunaomba usituvuruge vichwa, wengine makomwe yetu yakivurugika tutakufwata huko TUKUTIFUE hilo bichwa lako kama KONTENA.
Lamomy
Countrywide
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwaaaa!!!Wizo unakosaje kuwasha VPN ucheck style mpya za kumpagawisha bro kwa mfano??
Me nawasha VPN na atakayenifatilia naye namuwasha vilevile [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa jamaa hovyo sanaHawana uwezo wa kumkamata mtu yoyote Bali vitisho kwa waoga. Wameshindwa kuwakamata wa tuma kwenye namba hii watamkamata nani?
Yaani kwanza hawa watu wa "ile hela tuma kwenye no hii" ndio wameongezeka.Hawana uwezo wa kumkamata mtu yoyote Bali vitisho kwa waoga. Wameshindwa kuwakamata wa tuma kwenye namba hii watamkamata nani?
Wizo wanataka usiwatch mapilau sa itakuwaje?? Na ushazoea kuibia style za ma mbele🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makubwaaaa!!!
Waniwache kabisaa, wanataka kutuvunjia ndoa zetu inahusuuuu!! Ebooo [emoji3166]
Pilau ziheshimiwe plizzzzzz
Exactly [emoji1666] [emoji1666]Mnajifananisha na nchi hizo kwenye makatazo lakini hamjifananishi kwenye maendeleo.
Elimu ya kanjibai ya Nape hiyo... Muhulumieni Kwa kweli.. maamuzi yake yanaakisi ubini wakeNi upuuzi huu mkuu. Tuna viongozi punguani sana
Huko ndo nilipojifunzia FISTING, napendraajeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wizo wanataka usiwatch mapilau sa itakuwaje?? Na ushazoea kuibia style za ma mbele[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]