TCRA huu wizi wa Makampuni ya simu mbona mmeufumbia macho? Angalieni Airtel

TCRA huu wizi wa Makampuni ya simu mbona mmeufumbia macho? Angalieni Airtel

Wananchi tumekuwa tukilalamika sana kuhusiana na wizi unaofanywa na mitandano ya simu. Mmeziba masikio yenu kwa Vigondo. Hamsikii.Na macho yenu mmeyavalisha miwani ya Mbao. Hamuoni.

Airtel kwanza wana utaratibu ambao mimi nmeshindwa uelewa.napotaka kuangalia data bundle iliyobaki sipewi majibu. Napewa majibu ya salio la kawaida lililobaki. Data sipewi majibu yake. Lengo lao ni kuwa nisiweze fuatilia kiasi cha bundle kinachotumika.

Pili leo nmeshangaa simu ikiwa haipo online sijawasha data naletewa ujumbe nimetumia asilimia 90 ya GB 1 ambayo nliweka jana mchana na sijadownload chochote cha kufika hata MB 200. Huu ni wizi. TCRA sijajua kwa nini mnawaacha hawa wenye mitandao watuibie.

"Umetumia takribani 90% ya MB 1024 yako. Salio ya intaneti yako ni 87 MB. Bonyeza My Airtel - Apps on Google Play kupakua Airtel App kununua Bando mpya."


View attachment 1601814
Nina line voda na airtel kikweli voda wanajitahidi kuaa transparent ila Airtel huu uongo wa kusema umetumia 90% ya bando lako ni utoto. Kwanini wasitumie kipimo cha mb kadhaa.

Airtel wana mambo mengi wameyaficha nyumba ya gharama halisi na ndipo nilipoamua ntatumia voda kwa data kwa kuwa wana customer care kidogooo nafuu na uwazi ila Airtel wajirekebishe
 
Halotel wanakifurushi kizuri cha royal 10000 kwa mwezi unapata dakika za mitandao yote kama 200 na halotel zaidi ya 300,gb 2 kasi+4gb bonus mtandao upo fasta kama voda ila zikiisha hizo 6gb unaendelea kutumia internet free jf,whasap n.k ila kwa YouTube na Instagram mtandao unakua slow
 
Voda mtandao uko vizuri ila bando linaenda fasta sana kama ukiunga zile units za pindua pindua ndio kabisa
 
Airtel sina hamu nao kabisa sitasahau nilijiunga Gb 1 nikazima data nikaenda kuoga kurudi nakuta msg nimetumia 90% ya bundle langu, kuangalia salio kweli wameifyeka nikawapigia simu jibu walilonipa msg imekuja bahati mbaya nizime simu niwashe Mb zitarudi 😂😂😂 Tangu hapo nikaitupa line yao
Wezi wezi Wezi
 
Uko sahihi ndugu hawa jamaa ni wezi sana hasa kwenye kifurushi cha 1000 kwa siku 3.


Zamani waliweka option ya kucheki salio la kiasi ulichotumia ..lakini sasa wametoa hiyo menu...wanabaki wao ndo mastermind wa kifurushi....

Wanakera sana...kwa nn watoe option ya kucheki bando ili MTU ajue kiasi alichobakisha au kutumia.??
 
10% ya 1024MB ni kiasi gani. Tuanzie hapa kwanza ndio tuje kwenye ubishi wako na tigo 2014
Hilo neno ""takribani"" katika hiyo sms uliyotumiwa naona Bado hujajua maana yake au unaijua ila umeamua tu kujitia umbumbumbu.... takribani90% doesn't mean exactly90%....it can be ±90% kwasisi wana mahesabu
Mfano:-
(89.5,89.6,89.7,89.8, 89.9, 90.0,90.1,90.2,90.3, & 90.4.)%
~90%
Kwasisi tuliosoma approximation/Rounding off numbers hizo namba zote nilizoziorodhesha ni ~90%
Kwahiyo kuwa mpole braza...hivyo vi MB 15.4 unavyodhani umeibiwa huenda vipo katika asilimia chache ambazo katika makadirio ya namba huwa tunavi-ignore
~
 
Ujuaji wa kipuuzi. Simu inahusiana vipi hapo? Kwa hiyo ujitajiwa simu ndo unajua ulaji wa bundle? Unazijua simu zote duniani? Leo ilikuwa siku ya shule hujaenda darasani? Basi si angalau ungefanya reversion mwakani utakuwa form four.shauri yako.


Unatumia simu gani nikusaidie hienda ni kweli lakini kuna vitu hujajua bado!! Mm niligombana na tigo 2014 hivyo hivyo kumbe matumizi yalikua sawa...nitajie simu yako kwanza.
 
Na Airtel huku kwetu mawasiliano yamekua ya shida kama siku tano. Halafu hakuna kinachoendelea kwa wanatutabisha sana.
 
Ujuaji wa kipuuzi. Simu inahusiana vipi hapo? Kwa hiyo ujitajiwa simu ndo unajua ulaji wa bundle? Unazijua simu zote duniani? Leo ilikuwa siku ya shule hujaenda darasani? Basi si angalau ungefanya reversion mwakani utakuwa form four.shauri yako.
Yani ww jamaa ni mbulula sana ukienda hospital,polisi,guest n.k unapoulizwa kabila gani...kwani kabila lako lina uhusiano gani na sehemu hizo? Nilitaka nijue nianze wap kukusaidia lakini sababu ww jeuri kaa na jeuri yako...hakuna ulichoibiiwa hapo sema ushamba wako wa cm na apps tu.
 
Hilo neno ""takribani"" katika hiyo sms uliyotumiwa naona Bado hujajua maana yake au unaijua ila umeamua tu kujitia umbumbumbu.... takribani90% doesn't mean exactly90%....it can be ±90% kwasisi wana mahesabu
Mfano:-
(89.5,89.6,89.7,89.8, 89.9, 90.0,90.1,90.2,90.3, & 90.4.)%
~90%
Kwasisi tuliosoma approximation/Rounding off numbers hizo namba zote nilizoziorodhesha ni ~90%
Kwahiyo kuwa mpole braza...hivyo vi MB 15.4 unavyodhani umeibiwa huenda vipo katika asilimia chache ambazo katika makadirio ya namba huwa tunavi-ignore
~
Unaignore salio la mteja? Mbna sijawahi kubakiwa na 102000/= waignore hiyo 2000 waniletee salio la 100000? Wakishaignore hizo mb 15 wanazipeleka wapi? Kwann wasiziache hata kama ni kidogo? Umesema neno "takribani" linamaanisha kuanzia namba husika kurudi nyuma, unaelewa wanakuwa wanamaanisha nini kuficha kiasi cha mbele badala ya kusema kweli? Au huwa wanachoka?
 
Wananchi tumekuwa tukilalamika sana kuhusiana na wizi unaofanywa na mitandano ya simu. Mmeziba masikio yenu kwa Vigondo. Hamsikii.Na macho yenu mmeyavalisha miwani ya Mbao. Hamuoni.

Airtel kwanza wana utaratibu ambao mimi nmeshindwa uelewa.napotaka kuangalia data bundle iliyobaki sipewi majibu. Napewa majibu ya salio la kawaida lililobaki. Data sipewi majibu yake. Lengo lao ni kuwa nisiweze fuatilia kiasi cha bundle kinachotumika.

Pili leo nmeshangaa simu ikiwa haipo online sijawasha data naletewa ujumbe nimetumia asilimia 90 ya GB 1 ambayo nliweka jana mchana na sijadownload chochote cha kufika hata MB 200. Huu ni wizi. TCRA sijajua kwa nini mnawaacha hawa wenye mitandao watuibie.

"Umetumia takribani 90% ya MB 1024 yako. Salio ya intaneti yako ni 87 MB. Bonyeza My Airtel - Apps on Google Play kupakua Airtel App kununua Bando mpya."


View attachment 1601814
Airtel niliwahi wasifia kipindi fulani humu ila wanachonifanya sasa hivi kwa kweli hapana! Huwa mara nyingi sana kabla sijalala nazima Data, nikiamka asubuhi nikiwasha Data na sms ya 'umetumia 90% ya kifurushi chako' inaingia!

Nikiunga 1 GB asubuhi then naingia job wala hata si-download chochote, ikifika jioni jioni nakuta nina 200 MB's , kweli wanachanganya sana
 
Airtel bajeti Yangu ni 10,000 kwa mwezi. Kuongea na data 4gb zinanitosha, sijawahi kuibiwa. Tatizo lao ni moja tu, mtandao hauna speed kwa huku mikoani, dar ndiyo internet iko vzr. Nafikiri hii ni makusudi kwa sababu dar kuna ushindani wa akina smile ambao wako serious kwenye data
 
Ubwege kusema aina ya simu. Umezima data ai umezima simu unaamka unaambiwa umetumia takriban asilimia 90 ya bundle. Unajiuliza walitumia wachawi usiku au imetumikaje?

Halafu kuna mtu analeta hesabu zake za aprox. Yaani hata simu ikiwa off bado bundle linatembea utasikia "aina ya simu unayotumia" my foot[emoji35][emoji35]
 
Airtel niliwahi wasifia kipindi fulani humu ila wanachonifanya sasa hivi kwa kweli hapana! Huwa mara nyingi sana kabla sijalala nazima Data, nikiamka asubuhi nikiwasha Data na sms ya 'umetumia 90% ya kifurushi chako' inaingia!

Nikiunga 1 GB asubuhi then naingia job wala hata si-download chochote, ikifika jioni jioni nakuta nina 200 MB's , kweli wanachanganya sana
Hiyo sms inakuja hata kama huna MB hata 1 kama mm sina data kama wk na najiunga halotel lakini kila siku naletewa sms kama hiyo
 
Ubwege kusema aina ya simu. Umezima data ai umezima simu unaamka unaambiwa umetumia takriban asilimia 90 ya bundle. Unajiuliza walitumia wachawi usiku au imetumikaje?
Wanaolalamika ni wapumbavu sababu kuna hatua za kuchukua kabla ya kuoalamika,mtu unashindwa kupakua kipimio cha data ili kupima kiasi unachotumia na apps zinazotumia data nyingi!??
Kama una simu ka hii utalalamikaje unaibiwa?

Sema kama unatumia toleo la zamani sana la android ni halali kulalamika.
Screenshot_20201017_082630.jpg
 
Airtel ni wahuni ukitaka kuangalia bundle hawaonyeshi, mleta mada ungeandika Airtel ili wajijue kabisa maana ni kero title yako iko general so hawawezi kupata ujumbe
 
Unatumia simu gani nikusaidie hienda ni kweli lakini kuna vitu hujajua bado!! Mm niligombana na tigo 2014 hivyo hivyo kumbe matumizi yalikua sawa...nitajie simu yako kwanza.
Shida Airtel wametoa option ukitaka kuangalia bundle iliyobaki
 
Back
Top Bottom