Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Wewe ndeye umeelewa mada vizuri🤜🏿TCRA wanaonge kitu kingine kabisa yani wao wanasema kua ukinunua kifurushi alafu ukapewa ambacho sio lakini hio sio KESI..kesi ni kua vifurushi vimebadilishwaaa
1500 ilikuwa GB 1 na dk 30 mitandao yote. Sasa ni mb 900
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Hili ndio lakushughurikiwa kuliko hata hilo la bei.Sio suala la kupunguzwa mb tu,hata hizo unazopata ukianza tu kutumia unapokea ujumbe umetumia asimia 75 ya kifurushi chako!yaani ni wizi mtupu..
Wewe bado upo gizani, wizi mwingine mimi sijawahi kumaliza bando langu mpaka zero, zikibaki mb 50 tu sunema zinaanza mwenyewe hata uwe kauzu utarecharge tu, na ukikomaa zikibaki mb 30 utaishia Facebook na picha haziload, JF ndio sahau kabisa haifungui, huu ni uharamia."endapo mtumiaji amenunua kifurushi halafu akapata tofauti na alicholipia, awasiliane nasi"
Kesi yote imeishia hapa, lao moja.
Yaani mtandao wa simu utakuwa na kosa endapo tu kwenye menu watakuonesha kwa TZS 500 unapata MB 500, halafu ukanunua ukapata mb 120.
Ila kama kwenye menu wamekuonesha kwa tzs 500 unapata MB 120 na ukanunua ukapata kweli hizo MB 120, huo ni mzigo wako na hakuna kesi.
Inafuatilia for how long ina maana wao hawatumii hizo huduma? Au hawana mifumo inayosoma kinachoendelea huko?Baada ya malalamiko mitandaoni kuwa kampuni za mawasiliano ya simu Nchini Tanzania zimefanya mabadiliko ya kushusha vifurushi vya huduma za intaneti (mb's) pasipo kutoa taarifa kwa wateja wao, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema inafuatilia
Huwa nanunua kifurushi cha 20,000 kwa Gb 15 sasa imekuwa 13. Hali mbayaNimeshangaa huyu waziri kug'aka kuwa Dar Mpya wameripoti uzushi juu ya mabando ya intaneti kupungua. Mfano Tigo walikuwa na kifurushi cha Sh 1500 na ulikuwa ukipata Gb 1 kwa wiki. Lakini sasa ni Mb 900 kwa bei ileile.
Voda wao walikuwa na Gg 1 kwa elfu mbili kwa wiki lakini sasa ni Mb 800.
Sasa Darmpya wana kosa gani kuripoti hii kadhia mpaka unag'aka?
[emoji116]View attachment 2208778
Awasiliane nanyi kwa namba isiyojulikana wakati mnao uwezo wa kuona mauzo yaliyofanyika! Huo ni usanii wa kuwafanya walalamikaji ni mabwege.Baada ya malalamiko mitandaoni kuwa kampuni za mawasiliano ya simu Nchini Tanzania zimefanya mabadiliko ya kushusha vifurushi vya huduma za intaneti (mb's) pasipo kutoa taarifa kwa wateja wao, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema inafuatilia.
TCRA imesema: “Tumeona malalamiko kutoka kwa wadau mtandaoni kuwa watoa huduma wa mitandao ya simu wamebadilisha vifurushi kimyakimya, endapo kuna mtumiaji amenunua kifurushi, halafu akapata tofauti na kile alicholipia, awasiliane nasi.
“Mamlaka inafuatilia suala hili kwa watoa huduma ili kuweza kubaini ukweli.”
Yaani kilichofanyika ni kuwa kwa fedha ileile unapata MB chache tofauti na ilivyokuwa awali, mfano unanunua kifurushi cha Tsh 2000 ulikuwa unapata GB 1, sasa hivi ukinunua kwa gharama ileile unapata MB 900 Aau MB 800.
Hao voda ni washenzi sana ....hizo zitqshuka mpka 10gb tunakoenda...maana mwanzo zilikuwa 50gbVodacom 50,000 ilikua 50GB, ikashushwa kua 37GB na leo ni 32GB.
Hii inatokea ndani ya muda mfupi wa serikali ya Royal Tour.
Hadi kufikia 2025 tutakua tumeipata fresh.