TCRA inachunguza mabadiliko ya mabando ya simu yaliyofanyika kimyakimya

TCRA inachunguza mabadiliko ya mabando ya simu yaliyofanyika kimyakimya

"endapo kuna mtumiaji amenunua kifurushi, halafu akapata tofauti na kile alicholipia, awasiliane nasi."

Hii inaonesha kbsa TCRA hawapo serious tangu lini mtu ununue MB 800 afu ukapewa MB700. Yaan wanatoa mianya ya upigaji hadi mda waliopanga wenyewe.
TCRA nawaomba msiwafanye watu wapumbavu tena tunawaomba sana, kweli unataka mimi nipige TCRA kuomba msaada? Nyinyi mnaishi planet gani? nadhani kuna haja ya kuchunguzwa hawa kama kuna rushwa wanapata kama free muda wa maongezi wanapewa kwa hiyo huwa hawanunui na hawajui gharama halisi. Kweli bila aibu mnatoa majibu mepesi namna hii? Waziri muhusika wawajibishe hawa jamaa kazi imewashinda.
 
TCRA nawaomba msiwafanye watu wapumbavu tena tunawaomba sana, kweli unataka mimi nipige TCRA kuomba msaada? Nyinyi mnaishi planet gani? nadhani kuna haja ya kuchunguzwa hawa kama kuna rushwa wanapata kama free muda wa maongezi wanapewa kwa hiyo huwa hawanunui na hawajui gharama halisi. Kweli bila aibu mnatoa majibu mepesi namna hii? Waziri muhusika wawajibishe hawa jamaa kazi imewashinda.
Sure kabisa yaan [emoji1784][emoji1784]
 
Waziri Nape kashindwa kabisa kuonyesha uongozi dhabiti, yaani kashindwa kutetea wananchi kabisa kwenye hii mitandao ya simu.
TCRA wanaona wananchi wapumbavu, hivi iweje wasijue vifurushi vimepunguzwa Mbs na wao wako tu, kazi yao ni nini? Yaani TCRA wanadharau sana wananchi wetu, wanaona watu wajinga sana. Kabla ya Waziri, TCRA ingefaa Mh. Rais awape onyo kali hawa, sbb hawafanyi kazi yao kabisa.
 
Waziri Nape kashindwa kabisa kuonyesha uongozi dhabiti, yaani kashindwa kutetea wananchi kabisa kwenye hii mitandao ya simu.
TCRA wanaona wananchi wapumbavu, hivi iweje wasijue vifurushi vimepunguzwa Mbs na wao wako tu, kazi yao ni nini? Yaani TCRA wanadharau sana wananchi wetu, wanaona watu wajinga sana. Kabla ya Waziri, TCRA ingefaa Mh. Rais awape onyo kali hawa, sbb hawafanyi kazi yao kabisa.
Oktoba 2025 haipo mbali!
 
Mi nazan sasa ni wakat wa Watanzania kuacha kulaumu kla sku sasa tuanze kutumia sheria
Tanzania tuna mahakama na kwa maelezo ya raisi mahakama zetu ziko huru nazan watanzania tuanze kufungua kesi na kupambana na haya makampuni

Kwa wale wanaokaa majijini nazan mnaacces nzuri tu ya wanasheria wazuri ni wakat sasa watu mjichange ipatikane pesa watu watafte wanasheria wazuri zifunguliwe kesi haya makampuni yakipigwa fine mara moja au mbili yatajifunza

Huwez pandisha vifurushi bila taarifa,
Mda mwingne unakuta Simu azipatikan wala hazitoki masaa kazaa af mitandao haijatoa taarifa
Nazan tuache uoga na kuogopa aya makampuni makubwa tupambanie haki zetu watumiaji
Ay na Mwana fa walionesha njia nazan na wengne tufuate
 
Back
Top Bottom