TCRA kama bado mna Meno yenu Makali natumaini hiki nilichokisikia leo kutoka Wasafi FM mtawaadhibu upesi

TCRA kama bado mna Meno yenu Makali natumaini hiki nilichokisikia leo kutoka Wasafi FM mtawaadhibu upesi

Nina uhakika kuanzia Sheria za nchi na hata za Utangazaji hadi zenu nyie TCRA haziruhusu Kituo chochote kile cha Redio kupiga Wimbo ambao / Nyimbo ambazo ndani yake kuna Matusi makubwa makubwa yanatajwa hata kama hayatajwi kwa Lugha ya Kiswahili na yanatajwa kwa Lugha ya Kiingereza ambayo bahati nzuri Watanzania wengi sana Siku hizi si tu wanaijua bali wanaimudu pia.

TCRA Mzukulu ninawataarifu kuwa leo Jioni kati ya Saa 12 na dakika 31 hadi na dakika 33 Disk Joker ( DJ ) aitwae Delvic ( kama nimelikosea mnaolijua mtalirekebisha ) aliupiga Wimbo wa Kizungu ambao ndani ya huo Wimbo mara mbili nikalisikia Tusi Kubwa sana ashakum si Matusi la Mother Fucker na nikaanza Kujiuliza je, huyo DJ alikuwa amepitiwa au labda anatutukana Sisi Wasikilizaji wake?

Sijali kama Wasafi FM kama Media hadi Wapenzi ( Mashabiki ) Wao watanichukia Mzukulu kwa Kuwasema na Kuwasemea hivi kwa TCRA na Wadau hapa Jamvini JamiiForums, ila Mimi ni Muumini mkubwa wa Nidhamu na Maadili hivyo ni Matuamini yangu makubwa TCRA wataliangalia na Kulichunguza hili Kiundani kisha Sheria Kali zichukuliwe ili Kurekebisha Upuuzi huu.

Radio DJ makini wote wa huwa wanakuwa Makini mno katika Kucheza Nyimbo kwa Wasikilizaji Wao na siyo Kuruhusu Matusi ya Mother Fucker.
Hip hop 90% zote za mbele US zina matusi na radio zote huwaga hawa mute yale matusi nyimbo inapigwa kama ilivyo.
 
wimbo wa nandy na hamonaizi kama wanauona unafaa huko kwenye kiingereza cjui mother fucker ndo hawagusi kabisa
 
Hip hop 90% zote za mbele zina matusi na radio zote huwaga hawa mute yale matusi nyimbo inapigwa kama ilivyo.
Labda ungesema baadhi ila sio zote. Mfano mzuri EA radio hata shenzi type ya madee huwa wanamute,radio nyingi huwa wanamute labda hizo unazosikiliza wewe ndo wanajiachiaga tu
 
Nina uhakika kuanzia Sheria za nchi na hata za Utangazaji hadi zenu nyie TCRA haziruhusu Kituo chochote kile cha Redio kupiga Wimbo ambao / Nyimbo ambazo ndani yake kuna Matusi makubwa makubwa yanatajwa hata kama hayatajwi kwa Lugha ya Kiswahili na yanatajwa kwa Lugha ya Kiingereza ambayo bahati nzuri Watanzania wengi sana Siku hizi si tu wanaijua bali wanaimudu pia.

TCRA Mzukulu ninawataarifu kuwa leo Jioni kati ya Saa 12 na dakika 31 hadi na dakika 33 Disk Joker ( DJ ) aitwae Delvic ( kama nimelikosea mnaolijua mtalirekebisha ) aliupiga Wimbo wa Kizungu ambao ndani ya huo Wimbo mara mbili nikalisikia Tusi Kubwa sana ashakum si Matusi la Mother Fucker na nikaanza Kujiuliza je, huyo DJ alikuwa amepitiwa au labda anatutukana Sisi Wasikilizaji wake?

Sijali kama Wasafi FM kama Media hadi Wapenzi ( Mashabiki ) Wao watanichukia Mzukulu kwa Kuwasema na Kuwasemea hivi kwa TCRA na Wadau hapa Jamvini JamiiForums, ila Mimi ni Muumini mkubwa wa Nidhamu na Maadili hivyo ni Matuamini yangu makubwa TCRA wataliangalia na Kulichunguza hili Kiundani kisha Sheria Kali zichukuliwe ili Kurekebisha Upuuzi huu.

Radio DJ makini wote wa huwa wanakuwa Makini mno katika Kucheza Nyimbo kwa Wasikilizaji Wao na siyo Kuruhusu Matusi ya Mother Fucker.
Umeongea mengi sana lakini hakuna tusi hapo.
 
Sio kila tusi kwako ni tusi kwa kila MTU .una uhakika mother fucker ni tusi ?
 
Mkuu mbona nyimbo zote za Diamond ni matusi mtupu tena ya ajabu au huwahusikilizi
 
Nyimbo za mwenye redio zenyewe zimesheheni matusi lukuki ushawahi kuwasikia basata hata hao tcra kuzizungumzia?even if they are subtle like ukisikiliza ni matusi ushawahi kusikia kaonywa?kingine hao unaowasikia redionini wajinga tu wanatolewa huko mitaani eti ni madj hawajui hata kama hiomother fucker ni tusi
 
Mi sioni kama wamekosea. Maana TCRA & BASATA wapo kufungia nyimbo za ndani tu sio za nje. Ww umesikia huo tu je sisi tunao wekewa video za music kwenye vituo vyetu vya tv tena vya ndani ya nchi unakuta music video ina scene za ushogo, watu wapo uchi kama za lady Gaga, ila bado wapo kimya awazioni wakazifungia kupigwa nchini kisa tu ni msanii wa nje ama?
 
Back
Top Bottom