TCRA: Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji

Hii ndio mana halisi ya karma, ulimwengu unakawaida ya kukurudishia kila unachokitoa ili kuweka msawazo katika asili.
Ukitoa upendo utarudishiwa upendo na ukitoa chuki basi chuki itakurudia.
 
Hii ndio mana halisi ya karma, ulimwengu unakawaida ya kukurudishia kila unachokitoa ili kuweka msawazo katika asili.
Ukitoa upendo utarudishiwa upendo na ukitoa chuki basi chuki itakurudia.
 
kumbe ukiwa na Online TV hata kama wewe ni mwalimu ama mhasibu ukitaka kutoa elimu lazima pia uwe mwandishi wa habari....hatari sana.
 
Hii ni spinning tunafanyiwa nitaamini kuna ugomvi wakimuweka ndani!

Ila sheria hizi mbovu mbovu huyu alikuwa ni miongoni wa waliozipitisha.
 
Haha, tutaelewana tu "polepole" na Watetezi wa Legacy😀
Ha ha ha!
Inaelekea kwa ukaidi wake, Polepole kesha kuwa kichwa cha msumari unaopigwa nyundo kuwatokomeza "waliounga juhudi"
 
Mchimba kisima kaingia mwenyew bhana
 
Huyu akili yake ni mbilikimo
 
Tatizo kubwa la nchi hii ni watanzania wanaojiita wasomi na wataalum.
TCRA na wataalum wake sijui kama wanatambua thamani walionayo
Wasomi gani mtu anakalia ofisi kuuubwa anashindwa musoma statement huu upuuzi wa serikali utawagharimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…