Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Nimeona vodacom wamenitumia meseji sasa hiviHabari zenu wadau kama tcra walivyosema kutawekwa badiliko katika vifurushi hii ikiwemo na bei mpya je itaweza kukidhi haja zetu sisi watu wa kipato cha kawaida