TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

Habari zenu wadau kama tcra walivyosema kutawekwa badiliko katika vifurushi hii ikiwemo na bei mpya je itaweza kukidhi haja zetu sisi watu wa kipato cha kawaida
Nimeona vodacom wamenitumia meseji sasa hivi
 
Tsh 500=MB 10

Tsh 1,000=MB 30

Tsh 1,500=MB 50

Tsh 2,000=MB 100

Tsh 3,000 =MB 200+10

Tsh 5,000=MB 500+50

Tsh 9,000=GB 1+MB 100

😇😇😇😇😇😇😇😇😇

Tunataka mchape kazi na sio umbea 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Tsh 500=MB 10

Tsh 1,000=MB 30

Tsh 1,500=MB 50

Tsh 2,000=MB 100

Tsh 3,000 =MB 200+10

Tsh 5,000=MB 500+50

Tsh 9,000=GB 1+MB 100

😇😇😇😇😇😇😇😇😇

Tunataka mchape kazi na sio umbea 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Ahahahha asee kwl wanataka watu wafanye kazi
 
Daaah ila hawa wadwanzi kubabake wamefanya bonge la undava
 
Back
Top Bottom