Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Washughulike pia mitandao inayotuibia vifurushi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maandishi yote mnaweka kama kujitetea tu kwa Rais Magufuli baada ya kuwapa ONYO, lakini msipotekeza yote hayo na kusikiliza kero za wananchi ni BURE TU
Uongozi wa TCRA unapaswa kubadilishwa kabisa, viongozi wa juu wanapaswa kutumbuliwa tu
Hamna tofauti na HESLB
Do!, Ikiwa hivyo mbona maisha yatakuwa kama maji!.Kwa hiyo kwaangu kikikaribia kuexpire namtumia mwingine anaendelea kutumia c ndio
Serekali ilifanya vizuri sana kwa Dangote, lengo la dangote ilikuwa sio kuwasaidia wananchi bali kuuwa viwanda vingine vya cement kwakuwa ana nguvu ya kipesa, kama angeuza cement 7000 kwa mwaka mmoja tuu angekuwa ameshachukua wateja wote viwanda vingine vingekosa wateja na ili kuja kupambana na dangote ingebidi virun kwa hasara.Nilicho kuja kugundua ni kwamba hii mitandao ina milikiwa na vigogo wa serikalini ambao wameficha identity zao wasijulikane na wananchi ila viongozi wakubwa kwenye system wanajua mchezo wote...
Namba zinaongea.Tatizo hakuna mahala ambapo wamemabiwa WAPUNGUZE.
duu nahamia hukoZantel sisi huku 1500 tunapata 1.5GB na dk 160 mitandao yote na sm 500 toka mwaka juz had leo hawajawah badilisha kifurushi
Sio kweli kwamba lengo la dangote lilikua ni kuua viwanda bali hakuwa na tamaa ya kutaka faida kubwaSerekali ilifanya vizuri sana kwa dangote....lengo la dangote ilikuwa sio kuwasaidia wananchi bali kuuwa viwanda vingine vya cement kwakuwa ana nguvu ya kipesa, kama angeuza cement 7000 kwa mwaka mmoja tuu angekuwa ameshachukua wateja wote viwanda vingine vingekosa wateja na ili kuja kupambana na dangote ingebidi virun kwa hasara.
So in two years angekuwa ameshaviua...then angeanza yeye kucontrol bei yeye mwenyewe mpaka hawa wengine waje kuamka,yeye kasharudisha faida ya kutosha na ameshakuwa papa sokoni,so ingekuwa ngumu sana kwa viwandz vyetu vya ndani.
wakati mwingine msiilaumu sana serekali,wanajitahidi sana kuakikisha nchi inafika mbali kwa kuwainua watanzania bila kuumiza watu wengine wanaowekeza.
Mbona halotel ni 1000 gb 1 na dakika 10 bure kwa wiki?Waturudishie 1500 wiki unapata 1Gb[emoji18][emoji18]
Hawakutakiwa kuja kutuambia sisi, walitakiwa waende kazini nasi tuone matokeoAkizungumza leo Jumanne Machi 2, 2021 mkurugenzi mkuu wa TCRA, James Kilaba amesema utekelezaji wa kanuni hizo utaanza Aprili 2, 2021.
Miongoni mwa yaliyoelekezwa kwenye kanuni hizo ni huduma zote za vifurushi lazima zipate vibali vya TCRA huku mamlaka hiyo pia ikitoa mwongozo wa bei zilizowekwa na mamlaka hiyo.
Nyingine ni vifurushi vyote havitaondolewa au kurekebishwa ndani ya miezi mitatu baada ya kuidhinishwa.
Pia, mtoa huduma atatakiwa kutoa taarifa kila wakati matumizi ya kifurushi yatakapofikia asilimia 75 kabla ya kuisha na kitakapomalizika kabisa kwa asilimia 100.