TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

kwakweli mimi sijaelewa mabadiliko ni nini ni kutoa taarifa kuwa kifurushi chako kijmekaribia kuisha au maana kuna voda wanakula GB1 kama wapo uswahilini sherehe kwa jirani dah.

hapo nakumbuka badi sijaambiwa GB1 elftatu iv ninyi mnaijua elfatu ningi Buku 3 nzima elf tatu dah
 
Mbona wanasolve tatizo ambalo hatujalilalamikia.

Issue zetu kubwa:

(1) Gharama za vifurushi especially internet zipo juu sana. Na zinazidi kupanda.

(2) Kwanini vifurushi vina expire.

(3) Wasipunguze speed ya internet.

(4) Kula kifurushi na vocha bila mteja kujua.
Muhimu hapa ni kuexpire kwa kifurushi na kasi ya internet...
Lazima kuwe na kasi inayoendana na ukuaji wa kiuchumi na mazingira...
Pia hakuna haja ya kifurushi kuisha muda
 
Kuondoa ukomo. Wa muda haiwezekani kama haupo tayari na matumizi ya kifurushi usinunue, ndiyo maana wameweka cha siku cha wiki na cha mwezi ,
Ila swala la Gharama za vifurushi liangaliwe
 
TCRA imewataka watoa huduma za simu nchini kuweka utaratibu utakaomuwezesha mteja kuhamisha unit za kifurushi chake kwenda kwa mtumiaji mwingine aliye ndani ya mtandao wake.

Pia wametoa sharti la kiasi cha chini kuhamisha kutoka kwa mtumiaji kwenda kwa anayehamishiwa itakuwa kuanzia 250MB.

Hatua hiyo imetokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa watumiaji kuhusu vifurushi vya simu.
Wasijaifanye wanang'ata na kupuliza TCRA haohao ndo wamefanya vifurushi vipande mara2.. hapo wanatufanyia danganya toto tuu

Tunaomba washushe gharama za vifurushi.. wengine kazi zetu bila Mb haziendi laleq

Kunafaida gani Sasa yakuwa na mkongo wa mawasiliano hapa Tz!! Ebohh
 
TAMKO RASMI LA TCRA LEO 02.03.2021 KUHUSU VIFURUSHI CHA KUSHANGAZA SIJAONA TAMKO LENYE MANTIKI KWA WANANCHI.

IMG_3369.jpg

IMG_3370.jpg

IMG_3371.jpg

IMG_3372.jpg
 
TAMKO RASMI LA TCRA LEO 02.03.2021 KUHUSU VIFURUSHI CHA KUSHANGAZA SIJAONA TAMKO LENYE MANTIKI KWA WANANCHI.

View attachment 1715731
View attachment 1715732
View attachment 1715733
View attachment 1715734
Takwimu hizi sisi wananchi wa kawaida hatuoni manufaa yake ikiwa bado "tunapigwa" kwenye gharama za vifurushi hasa baada ya mapinduzi ya simu janja (smartphones), Dakika na SMS sio kesi ila kwenye MEGABYTES (MBs) haya makampuni ya simu ndio yanajipigia sana hela, bei haziendani na hali halisi

Bora hata wale wenye viswaswadu wanafaidi sms na dakika zao, ila sisi wenye simu janja joto ya jiwe tunaionja, unaweka bando lako la GB 1 hata siku haijaisha, bando limekata...

Mwaka huu tutaisoma mitano namba tena

TUNAOMBA UFUATILIAJI WA JINO KWA JINO ILI WATOA HUDUMA WAWE ATTENTION
 
Back
Top Bottom