pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Bei inaenda kupanda tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapunguzaje mapato? Kwani nikimpa mtu mb zangu si anatumia ambacho kimeshalipiwa?Hili agizo athari zake ni kupunguza mapato ya mitandao , mapato ambayo yangesaidia mitandao kuwekeza zaidi kwenye miundombinu
Tena Mkubwa sanaInapunguzaje mapato? Kwani nikimpa mtu mb zangu si anatumia ambacho kimeshalipiwa?
Lakini pia unaongezaje mapato kwa kula njama na kuibia watu kwa kuwaambia eti kifurushi chako kimeexpiry!
Kauli ya ajabu kbs!
Halafu hela zangu kachukua!
Hakuna alichouza/kutoa lakini kalipwa pesa....
Ni wizi kama wizi mwingine tu"
TCRA wanakwama wapi?
Zantel sisi huku 1500 tunapata 1.5GB na dk 160 mitandao yote na sm 500 toka mwaka juz had leo hawajawah badilisha kifurushiWaturudishie 1500 wiki unapata 1Gb😌😌
Litapunguzaje mapato labda..?Hili agizo athari zake ni kupunguza mapato ya mitandao , mapato ambayo yangesaidia mitandao kuwekeza zaidi kwenye miundombinu
mimi nashangaa mbona nikinunua unit 100 za umeme hakuna anaeniwekea masharti ya lini iwe mwisho kutumia! kwani mitandao ya simu wana wasiwasi gani?nikinunua bando ni mali tangu hakuna kuisha mda hd nitakapomaliza mwenyew
Huu ndiyo mtandao unaeleweka angalauZantel sisi huku 1500 tunapata 1.5GB na dk 160 mitandao yote na sm 500 toka mwaka juz had leo hawajawah badilisha kifurushi
Hapo sasa!!!mimi nashangaa mbona nikinunua unit 100 za umeme hakuna anaeniwekea masharti ya lini iwe mwisho kutumia! kwani mitandao ya simu wana wasiwasi gani?
Litapunguzaje mapato labda..?
duuuh!
inatakiwa ukomo wa kifurushi iwe ni pale kinapoisha kutegemeana na matumizi ya mteja sio kupangiana muda.Pia, mtoa huduma atatakiwa kutoa taarifa kila wakati matumizi ya kifurushi yatakapofikia asilimia 75 kabla ya kuisha na kitakapomalizika kabisa kwa asilimia 100.
eeh tunashkuru kama itakua hivyo kwa kweli
Kwa hiyo kwaangu kikikaribia kuexpire namtumia mwingine anaendelea kutumia c ndioTCRA imewataka watoa huduma za simu nchini kuweka utaratibu utakaomuwezesha mteja kuhamisha unit za kifurushi chake kwenda kwa mtumiaji mwingine aliye ndani ya mtandao wake.
Pia wametoa sharti la kiasi cha chini kuhamisha kutoka kwa mtumiaji kwenda kwa anayehamishiwa itakuwa kuanzia 250MB.
Hatua hiyo imetokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa watumiaji kuhusu vifurushi vya simu.