TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

TCRA imewataka watoa huduma za simu nchini kuweka utaratibu utakaomuwezesha mteja kuhamisha unit za kifurushi chake kwenda kwa mtumiaji mwingine aliye ndani ya mtandao wake.

Pia wametoa sharti la kiasi cha chini kuhamisha kutoka kwa mtumiaji kwenda kwa anayehamishiwa itakuwa kuanzia 250MB.

Hatua hiyo imetokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa watumiaji kuhusu vifurushi vya simu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430] yaani hawa watu
 
Binafsi nimependa huo muongozo ILA SIJAPENDA KUWAWEKEA WATOA HUDUMA BEI ELEKEZI YA CHINI
Wangewawekea bei Elekezi ya juu ila ya chini wawachie washindane wenyewe.
Kuwa wekea bei ya chini ni kudhibiti ushindani kitu ambacho naona sio sawa kwani hakita wanufaisha wateja
 
Habari zenu wadau kama TCRA walivyosema kutawekwa badiliko katika vifurushi hii ikiwemo na bei mpya je itaweza kukidhi haja zetu sisi watu wa kipato cha kawaida
 
Sasa si mpka vitoke ndio tutajua mkuu vuta subira.
 
"Habari, kuendelea kutoa huduma bora zaidi tutafanya marekebisho kwenye vifurushi 02/04/2021.Endelea kufurahia huduma bora kutoka Mtandao Supa.Vigezo kuzingatiwa"

naona Wameshaanza kutuandaa kisaikolojia na kivigezo na masharti...🙆🙆🙆🙆
 
Za Chini ya kapeti taarifa zinasema hakutakua na Vifurushi Tena Tunarudi Kama Zamani Kupiga Kavu Kavu.🤔🤔
 
Back
Top Bottom