Naona kama wamejikita kudukua mazungumzo ya watu, sijui tuna matatizo gani aisee. Yaani issues za communications ziko kibao and unresolved, mfano wale jamaa wa tuma pesa kwa namba hii bado wapo, makampuni ya simu yanaibia watu vifurushi, local stations hazionekani kwenye TV zote etc etc but wao bado wanahainga na lines za watu.Awa TCRA ata siwaelewi majukumu yao,, Mitandao inatunyonya, network mbovu, wao kazi kufungia TV station tu...
Exactly [emoji120][emoji120]Hiyo code inakuwa linked na TCRA kwahiyo ukifanya kimeo chochote hawahangaiki kukupata
Yaani wanataka ikiwezekana wajue kila Mtanzania anaongea nini daah!!Hiyo code inakuwa linked na TCRA kwahiyo ukifanya kimeo chochote hawahangaiki kukupata
Centralization hiyo inaitwa... Kodi na mikopo yetu mtailipa tuu...Hizi mamlaka kuna muda sielewi majukumu yake. Kwa hii issue kwamba unakuta line ina pin alaf unabadilisha unaweka yako au... kama ni hiv ina tofaut gan na ile unapewa namba ya siri ya M pesa au tigo pesa alaf unaweka yako.
Kwa upande mwingine kama hawaamin haya makampuni ya simu hiv[emoji848] Hii michezo nilishtukiaga kipind wanasisitiza issue za finger prints kwa kila kitu. Kusajili line finger print, Wanachuo na mikopo yao finger print, Polisi kule finger print, watoe tu sababu maan dah
By experience!! Serikali Hii siku zote huwa inatuona kama mangombe,ukiukataa u ngombe inakufanya kuwa adui mkubwa, hatuiamini sana,samahani mkuiSasa fish gani umem-smell, kilakitu sasa cha hii serikali mnakichukulia in negative way
Mbona hii iko hivyo tangu kitambo.Ndugu Mteja, laini zote za simu zitakazotolewa kuanzia Julai 1 zitakuwa na Neno la siri ambalo Mteja atatakiwa kulibadili ili kutumia laini mpya yenye usalama.
I smell a fish juu ya laini hizi. Nitahakikisha sipotezi laini ilikuepuka kurenew laini nakuingia huku.
Kama watoto huna 😀😀Nina line mpya na tayari ina Pin. Ukijisahau kama una watoto wakaizima na kuiwasha na kuibonyeza mara3 inajiblock na kudai PUK
Tunza PUK yakoKama watoto huna 😀😀
Mpate mustakabali wankorona na nani acha ujinga wewe ndiyo mfu mtarajiwa jiongelee wewe mwenyewe,unatakaka nani aje akukinge na korona mhuzi wewe mbona mnakuwa na lawama za kijinga?mkeo asiposhoka mimba utakuja humu kuomba mstakabali waje wakusaidie juu ya hilo?mbona wenye ukimwi hamtafuti mstakabali na umalaya wenu?Tupate mustakabala wa Corona kwanza.
Mengine haya kwa wafu watarajiwa ni makelele tu kwetu wengine.
Noma sanaYaani wanataka ikiwezekana wajue kila Mtanzania anaongea nini daah!!
Mbona hata sasa zipo hivyo ukinunua line mpyaNdugu Mteja, laini zote za simu zitakazotolewa kuanzia Julai 1 zitakuwa na Neno la siri ambalo Mteja atatakiwa kulibadili ili kutumia laini mpya yenye usalama.
I smell a fish juu ya laini hizi. Nitahakikisha sipotezi laini ilikuepuka kurenew laini nakuingia huku.
Mpate mustakabali wankorona na nani acha ujinga wewe ndiyo mfu mtarajiwa jiongelee wewe mwenyewe,unatakaka nani aje akukinge na korona mhuzi wewe mbona mnakuwa na lawama za kijinga?mkeo asiposhoka mimba utakuja humu kuomba mstakabali waje wakusaidie juu ya hilo?mbona wenye ukimwi hamtafuti mstakabali na umalaya wenu?
Mkuu tupe majibu juu ya taharuki hiiAisee, kama huna uhakika wa mambo kwann usiulize kuliko kukimbilia kuzua taharuki!
Just asking for explanation kuhusu huu utaratibu mpya ili upate ufafanuzi unaoeleweka ungepungukiwa nini!
Ila unakimbilia oooh I smell fish kwa kuhisi, na bado upo katika hali ya kuhisi and you are comfortable.
Tembea uone, dunia haiishi vituko.
Hii mikopo kutoka HESLB nashaur tu wawe wanatafuta kitu mwanafunz anaweka kama Collateral ili akishindwa kulipa mkopo hich kitu kichukuliwe kwa sabab unakuta mtu kamaliza 2005 huko na akawa funded kwa 100% alaf leo unamwambia lipa anakwambia hana kazi na hajajiajiri😬😬😬 Sasa mtu wa hiv ndo unamsetia Finger print ili umkamate kirahis wakat hali ni mbayaCentralization hiyo inaitwa... Kodi na mikopo yetu mtailipa tuu...
Serikali ya Waongo waongo ataiamini nani?
Mi kwangu badoNadhan kwa mtandao wa Halotel nimeanza kuliona hili. Ukijaribu kuturn off inakataa