Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
- #41
Pole ase, kumbe mshaanza nyolewa.Nime renew ya Voda kila nikiwasha simu inahitaji huo mchakato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole ase, kumbe mshaanza nyolewa.Nime renew ya Voda kila nikiwasha simu inahitaji huo mchakato.
Ndugu Mteja, laini zote za simu zitakazotolewa kuanzia Julai 1 zitakuwa na Neno la siri ambalo Mteja atatakiwa kulibadili ili kutumia laini mpya yenye usalama.
I smell a fish juu ya laini hizi. Nitahakikisha sipotezi laini ilikuepuka kurenew laini nakuingia huku.
Huwez kuitoa, labda kuibadilisha tu.Una weza opt kuto kua na passoword
Hilo tatizo nimeliona pia asubuhi..Pole ase, kumbe mshaanza nyolewa.
Nimeenda leo ku upgrade 4g ime ambiwa niki zima nikiwasha natakiw kuweka namba ya siliNadhan kwa mtandao wa Halotel nimeanza kuliona hili. Ukijaribu kuturn off inakataa
Wazee mnawaza kizamani, laini umeisajili kwa vitambulisho chako bado uwe na hofu na hili tena, basi hata kusajili laini ungeacha kabisa kama wewe ni mtu wa matukio.Hiyo code inakuwa linked na TCRA kwahiyo ukifanya kimeo chochote hawahangaiki kukupata
Hiyo code inakuwa linked na TCRA kwahiyo ukifanya kimeo chochote hawahangaiki kukupata
Acha upotoshaji.Hiyo code inakuwa linked na TCRA kwahiyo ukifanya kimeo chochote hawahangaiki kukupata