TCRA matapeli wa tuma kwa namba hii dawa yao ni moja tu Ban NIDA iliyosajili hizo namba, pamoja na ku Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA

TCRA matapeli wa tuma kwa namba hii dawa yao ni moja tu Ban NIDA iliyosajili hizo namba, pamoja na ku Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
TCRA matapeli wa tuma kwa namba hii dawa yao ni moja Ban NIDA iliyosajili hizo namba, pamoja na ku Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA

TCRA chukueni ushauri wangu mtateketeza matapeli wote ndani ya miezi mitatu

Swala la utapeli wa meseji za tuma kwenye namba hii ni kama limewazidi akili mpaka sasa hamjafanikiwa kuteketeza hawa wahalifu

Turejelee kuwa namba za hawa matapeli zinakuwa zimesajiliwa na Kitambulisho cha Taifa NIDA kwahiyo mhalifu anaweza kusajili zaidi ya namba moja kwa kutumia hicho kitambulisho jambo ambalo mki Ban namba moja anaweza kuendelea na nyingine zilizobakia

Dawa ya kuteketeza uhalifu huu ni kuwa baada ya kuthibitisha namba hiyo imetuma meseji za kihalifu kwanza kabisa Ban NIDA iliyosajili hiyo namba isiweze kusajili namba nyingine na baada ya hapo Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA kwasababu mmiliki wa hizo namba nyingine ni huyohuyo mhalifu mwenye hiyo NIDA

Ikiwa kuna mtu atakayeonewa akidai kwamba NIDA yake imesajili namba pasipo yeye kujua afike ofisi zenu kuthibitisha lakini hiyo ni baada ya NIDA pamoja namba zake zote kuwa Blacklisted

NIDA zote zenye namba za kitapeli zipigwe msumari pamoja na namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA atakayesema ameonewa afike TCRA kuthibitisha
 
1000064547.jpg
 
TCRA matapeli wa tuma kwa namba hii dawa yao ni moja Ban NIDA iliyosajili hizo namba, pamoja na ku Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA

TCRA chukueni ushauri wangu mtateketeza matapeli wote ndani ya miezi mitatu

Swala la utapeli wa meseji za tuma kwenye namba hii ni kama limewazidi akili mpaka sasa hamjafanikiwa kuteketeza hawa wahalifu

Turejelee kuwa namba za hawa matapeli zinakuwa zimesajiliwa na Kitambulisho cha Taifa NIDA kwahiyo mhalifu anaweza kusajili zaidi ya namba moja kwa kutumia hicho kitambulisho jambo ambalo mki Ban namba moja anaweza kuendelea na nyingine zilizobakia

Dawa ya kuteketeza uhalifu huu ni kuwa baada ya kuthibitisha namba hiyo imetuma meseji za kihalifu kwanza kabisa Ban NIDA iliyosajili hiyo namba isiweze kusajili namba nyingine na baada ya hapo Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA kwasababu mmiliki wa hizo namba nyingine ni huyohuyo mhalifu mwenye hiyo NIDA

Ikiwa kuna mtu atakayeonewa akidai kwamba NIDA yake imesajili namba pasipo yeye kujua afike ofisi zenu kuthibitisha lakini hiyo ni baada ya NIDA pamoja namba zake zote kuwa Blacklisted

Kwa kweli wachukue hatua kali, bado hakuna mabadiliko yoyote.

Kila ukiripoti namba za utapeli kwa ile namba yao maalumu (15040) unatumiwa tena ujumbe wa kitapeli kupitia hiyo hiyo namba uliyoiripoti baada ya muda kama wiki mbili hivi.

Kwa nini liwashinde hili? Au wana watu wao wanaofanya huo utapeli?
 
Kwa kweli wachukue hatua kali, bado hakuna mabadiliko yoyote.

Kila ukiripoti namba za utapeli kwa ile namba yao maalumu (15040) unatumiwa tena ujumbe wa kitapeli kupitia hiyo hiyo namba uliyoiripoti baada ya muda kama wiki mbili hivi.

Kwa nini liwashinde hili? Au wana watu wao wanaofanya huo utapeli?
Wachukue ushauri wangu ndani ya miezi mitatu watateketeza wahalifu wote
 
Kwa kweli wachukue hatua kali, bado hakuna mabadiliko yoyote.

Kila ukiripoti namba za utapeli kwa ile namba yao maalumu (15040) unatumiwa tena ujumbe wa kitapeli kupitia hiyo hiyo namba uliyoiripoti baada ya muda kama wiki mbili hivi.

Kwa nini liwashinde hili? Au wana watu wao wanaofanya huo utapeli?
Nitakuwa wa.mwisho kuamini kwamba baadhi ya wafanyakazi wa mitandao ya simu hawajusiki yaani ikitumwa pesa kwenye simu dakika tatu nyingi unatumiwa.meseji ile pesa tuma kwenye namba hii, huyo tapeli kajuaje?
 
Nitakuwa wa.mwisho kuamini kwamba baadhi ya wafanyakazi wa mitandao ya simu hawajusiki yaani ikitumwa pesa kwenye simu dakika tatu nyingi unatumiwa.meseji ile pesa tuma kwenye namba hii, huyo tapeli kajuaje?
Inawezekana
 
TCRA matapeli wa tuma kwa namba hii dawa yao ni moja Ban NIDA iliyosajili hizo namba, pamoja na ku Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA

TCRA chukueni ushauri wangu mtateketeza matapeli wote ndani ya miezi mitatu

Swala la utapeli wa meseji za tuma kwenye namba hii ni kama limewazidi akili mpaka sasa hamjafanikiwa kuteketeza hawa wahalifu

Turejelee kuwa namba za hawa matapeli zinakuwa zimesajiliwa na Kitambulisho cha Taifa NIDA kwahiyo mhalifu anaweza kusajili zaidi ya namba moja kwa kutumia hicho kitambulisho jambo ambalo mki Ban namba moja anaweza kuendelea na nyingine zilizobakia

Dawa ya kuteketeza uhalifu huu ni kuwa baada ya kuthibitisha namba hiyo imetuma meseji za kihalifu kwanza kabisa Ban NIDA iliyosajili hiyo namba isiweze kusajili namba nyingine na baada ya hapo Ban namba zote zilizosajiliwa na hiyo NIDA kwasababu mmiliki wa hizo namba nyingine ni huyohuyo mhalifu mwenye hiyo NIDA

Ikiwa kuna mtu atakayeonewa akidai kwamba NIDA yake imesajili namba pasipo yeye kujua afike ofisi zenu kuthibitisha lakini hiyo ni baada ya NIDA pamoja namba zake zote kuwa Blacklisted
Una uhakika Gani kama wao wenyewe sio wahusika?
 
Akila Ban ataenda mwenyewe kujieleza na kuzifungulia zilizofungwa
Sio WAZO zuri kwa sababu hawasajili kwa nida zao ila za wengine kwa hiyo ukiban utamhaeibia mwingine asiyehusika
 
hoja yako italeta usumbufu sana kwa wenye nida zao kwa sababu namba za NIDA siku hizi ziko wazi kwa kila mtu..mfano ukienda ofisi za NIDA mitaani kwa wale ambao kadi zao hazijatoka baso, namba zao za NIDA zimebandikwa kwenye mbao za matangazo ofisini na ndio hapo matapeli wanazichukua kwa wingi hizo namba za watu kisha wanaenda kusajilia laini..mm naona njia rahisi kudili na utapeli uliosema kwanza ni kuacha huo mtindo wa kubandika namba za watu kwenye mbao za matangazo huko ofisi za NIDA..pili namba moja ya NIDA iruhusiwe kusajili namba moja tu ya simu kwa kila mtandao.yaani ukitumia NIDA yako kusajili airtel basi mfumo ukatae kusajili airtel nyingine na iwe hivyo kwa Voda,tigo na halotel NIDA moja itasajili namba moja tu kwa kila mtandao wa simu..sio kama sasa eti NIDA moja unasajili namba za simu hata nne za airtel kisa wahuni walichukua namba za NIDA za wengine kwenye mbao za matangazo
 
hoja yako italeta usumbufu sana kwa wenye nida zao kwa sababu namba za NIDA siku hizi ziko wazi kwa kila mtu..mfano ukienda ofisi za NIDA mitaani kwa wale ambao kadi zao hazijatoka baso, namba zao za NIDA zimebandikwa kwenye mbao za matangazo ofisini na ndio hapo matapeli wanazichukua kwa wingi hizo namba za watu kisha wanaenda kusajilia laini..mm naona njia rahisi kudili na utapeli uliosema kwanza ni kuacha huo mtindo wa kubandika namba za watu kwenye mbao za matangazo huko ofisi za NIDA..pili namba moja ya NIDA iruhusiwe kusajili namba moja tu ya simu kwa kila mtandao.yaani ukitumia NIDA yako kusajili airtel basi mfumo ukatae kusajili airtel nyingine na iwe hivyo kwa Voda,tigo na halotel NIDA moja itasajili namba moja tu kwa kila mtandao wa simu..sio kama sasa eti NIDA moja unasajili namba za simu hata nne za airtel kisa wahuni walichukua namba za NIDA za wengine kwenye mbao za matangazo

Mtu anawezaje kusajili laini ya simu kwa kutumia namba yako ya nida bila wewe kuweka dole gumba? Ni hauna elimu au wewe ndio wale wa hiyo hela tuma kwenye namba hii
 
Mtu anawezaje kusajili laini ya simu kwa kutumia namba yako ya nida bila wewe kuweka dole gumba? Ni hauna elimu au wewe ndio wale wa hiyo hela tuma kwenye namba hii
we poyoyo kweli eti umekariri namba ya simu inasajiliwa ofisi za mtandao tu..wasajili laini wamejaa kibao mitaani au hujui..kwahiyo hizo namba za matapeli zimesajiliwa kwani hazikuwekwa dole gumba? kwanza huyo aliyekwambia ukitumia namba ya NIDA isiyo yako kusajili laini itakataa ukiweka dole gumba nani.! kawaulize wanaosajili laini mitaani wakuambie ukweli.. toka ndani box hilo ww.!
 
we poyoyo kweli eti umekariri namba ya simu inasajiliwa ofisi za mtandao tu..wasajili laini wamejaa kibao mitaani au hujui..kwahiyo hizo namba za matapeli zimesajiliwa kwani hazikuwekwa dole gumba? kwanza huyo aliyekwambia ukitumia namba ya NIDA isiyo yako kusajili laini itakataa ukiweka dole gumba nani.! kawaulize wanaosajili laini mitaani wakuambie ukweli.. toka ndani box hilo ww.
Kwa mujibu wa serikali, namba ya nida inaenda sambamba na fingerprint ya mwenye namba.

Wewe Kama umeona fingerprint inasajili kupitia namba yoyote ya nida inatakiwa utoe ripoti
 
Kwa mujibu wa serikali, namba ya nida inaenda sambamba na fingerprint ya mwenye namba.

Wewe Kama umeona fingerprint inasajili kupitia namba yoyote ya nida inatakiwa utoe ripoti
Kuna mtindo huwa wanatumia ku reserve fingerprint yako. Unaweka kidole mara ya kwanza wanakuambia haijakubali, watakuambia uweke mara ya pili hata mpaka mara tatu. Ukiona hivyo ujuwe kuna uwezekano taarifa zako akaja kuuziwa mtu mwingine asiyekuwa na NIDA ili asajili laini kwa jina lako.
 
Kuna ishu ya Identity theft ;

Ukizifungia hizo nida unaweza umiza watu wasiokuwa na hatia.
 
Back
Top Bottom