Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ndo madhehebu yenu ya asili? Madhehebu ya asili ni dini zetu za kimila (kikabila). Acha kukumbatia ukoloniTurudini kwenye madhehebu yetu ya asili LUTHERAN CATHOLIC SABATH MOROVIAN ANGLICAN manabii wanatupoteza kwani ni waganga kwa stail ya aina yake
Ndiyo democrasia hiyo au hujui kama kwenye demokrasia Kuna mass mediaNi Hatari sana kuruhusu vichaa kuwa na youtube channels
Mkuu ndiyo democrasia hiyo au hujui Kuna accountability kwenya democrasiaIfike wakati matumizi ya neno askofu na nabii yawe regulated.
Nashangaa sana yule mkandamizaji kujiita askofu.
Halafu mumu humu JF Don Namilison naye kaweka yake halafu Admin wapo kimya tu.Huyu nabii Tito anamuita Yesu ni shetani kule nabii billionaire Shilla anamuita Yesu mwizi..basi ni tafrani
Uhuru wa kupitiliza ulio ktk ukristo unafanya baadhi ya watu kuhama katka reli na kuishia kudhalilisha dini
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nabii Tito
Nabii Shilla
MATHAYO 7: 15-21
Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.
Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?
Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya.
Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.
Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni.
Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.
Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
[emoji120]
Ccm huyo hawez kukamatwa.Wanachafua picha ya nchi yetu kimataifa, imagine mtu ana blog inahoji matumizi ya serikali anatafutwa akamatwe ila kuna zumbukuku mmoja zao la milembe anatamba na mada zake za hovyo
vipi kuhusu mtume wenu adhalilishwe, utasema tcra haisomi quran? Kama hamjaanza kumtetea wenyewe kwa jazba.Kwani TCRA inasoma biblia? Inajuaje kama ni kweli ama si kweli?? Hebu acheni kuchanganya mambo. Mteteeni huyo Yesu wenu acheni kulia lia
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Umesahau ile albadili waliyompa afande sele sijui ikaishia wapivipi kuhusu mtume wenu adhalilishwe, utasema tcra haisomi quran? Kama hamjaanza kumtete wenyewe kwa jazba.
Dhihaka zimekuwa nyingi Sana sasa hivi aseeHalafu mumu humu JF Don Namilison naye kaweka yake halafu Admin wapo kimya tu.
Na yale magauni yake yenye rangi ya kijani kibichi kwa nakshi ya msaraba wa njano.Alipokuwa anaonesha Biblia imeandikwa CCM mbona mlikaa kimya? Nyoka mlimfuga wenyewe acheni awatemee mate.
Hawa wahuni wasijaribu kumdhihaki mtume wao wa allah watageuzwa asusa mchana kweupeUmesahau ile albadili waliyompa afande sele sijui ikaishia wapi
Hili jamaa huwa ni jinga sana.......Ni Hatari sana kuruhusu vichaa kuwa na youtube channels
Hili ni jizi tuTCRA na vyombo husika mchukulieni hatua huyu nabii Tito channel yake youtube kaandika YESU ni shetani
Hii ni hatari kwa jamii oneni wenyewe
View attachment 2002720
HahaHalafu mumu humu JF Don Namilison naye kaweka yake halafu Admin wapo kimya tu.
Siku watapokuja na mada ya mitume wako uje uandike hivi hivi.Kwani TCRA inasoma biblia? Inajuaje kama ni kweli ama si kweli?? Hebu acheni kuchanganya mambo. Mteteeni huyo Yesu wenu acheni kulia lia