sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,759
Mimi nina mtume tena?? Mimi ni mwafrika pure. Mitume wangu ni viongozi wangu wa kimila waliokuwa na nguvu kuu ya asili na kutenda makubwa.vipi kuhusu mtume wenu adhalilishwe, utasema tcra haisomi quran? Kama hamjaanza kumtetea wenyewe kwa jazba.
Leo hii mnamtetea Yesu na Mohamed utafikiri mna undugu nao. Mababu zako ambao leo hii wakifukuliwa mabaki yao wakapimwa wewe hapo una DNA zao unawaita mizimu, alafu hawa mababu wa waisrael na waarabu ambao hata huna uhakika kama walikuwepo unawaita watakatifu na kuwatetea wakisemwa vibaya upo tayari kupigana! Hiyo ni akili au tope??
Hebu turudi kwenye asili yetu waafrika.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app