TCRA mmeamua kuuza utu wetu kwa wahuni wa App za mikopo mtandaoni

TCRA mmeamua kuuza utu wetu kwa wahuni wa App za mikopo mtandaoni

Kwenye hizo app ni wakopaji ndio wanaruhusu access za mawasiliano yao hasa contacts na kila kitu! Watanzania hatu utamaduni wa kusoma masharti ya vitu tunavyo vitaka huwa tuna harakia kufika mwisho….
App nyingi huwa zinakipengele kinauliza “ Allow app to access your contancts and other details? “ sasa watanzania kwakuwa haraka ni kufika mwisho hivyo ni mwendo wa kubonyeza “YES” kwa hiyo applications zina track na kuchukua kila kitu kwenye simu yake na wengine hata location wanaweka on….

Shida sio apps shida ni sisi wenyewe ndio tunawaponza wengine kwa kuingia kichwa kichwa
Inayonipigia simu si APP ni mtu, swali why anipigie mimi simu kama mdhamini wa mtu fulani kisa tu APP imemsaidia kupata namba yangu? Lakini pia hata ukiwaelewesha wanaishia kukutukana hiyo ndo concern namba moja.

Namba mbili kuna App kibao tunazitumia kwenye simu zetu ni kweli zina access lakini ulishaona third parties wanakuwa harrased? TCRA bado ana wajibu wa kushughulika na hili jambo.
 
Mimi sina issue na biashara zao, shida yangu nikutaka kukomesha hii strategy yao kwamba unamkopesha mtu hela bila kujua uwezo wake wa kulipa, bila dhamana ukitegemea kusumbua watu wasiohusika kwa kuwaita wadhamini.
Ushafungua hiyo kesi mkuu maana na mimi ni mhanga wa hili suala?
 
Issue yangu si kamali na wala sina shida nao kabisa. Shida yangu kwa nini TCRA wameruhusu hawa watu kuingilia mawasiliano ya watu, aliyekopa ni Emmanuel kwa nini kumsumbua Athumani kwa sababu tu wana access na simu Emmanuel na kwa kuwa Athumani aliwahi kuwasiliana na Emmanuel basi Tayari Athumani anaitwa mdhamini??? How?
Tunarudi mule mule mkuu,inaitwa KIATU & BUTI.

Kwani hao wanaokutafuta kisa uliwahi kuwa na mawasiliano na A wakati we D huoni wanajaribu kucheza kamali Kwa kubahatisha watu waliokaribu na mhusika.
 
Inayonipigia simu si APP ni mtu, swali why anipigie mimi simu kama mdhamini wa mtu fulani kisa tu APP imemsaidia kupata namba yangu? Lakini pia hata ukiwaelewesha wanaishia kukutukana hiyo ndo concern namba moja.

Namba mbili kuna App kibao tunazitumia kwenye simu zetu ni kweli zina access lakini ulishaona third parties wanakuwa harrased? TCRA bado ana wajibu wa kushughulika na hili jambo.
Sasa wewe unafikiri hizo app zinamilikiwa na kuongozwa na nani? Duu
 
Sasa wewe unafikiri hizo app zinamilikiwa na kuongozwa na nani? Duu
Wee ndo hujaelewa na ndo maana nikasema sishughuliki na App nashughulika na mtu aliyepiga simu au aliyesajiri namba iliyotumika kupiga simu. Anzia mjadala ulikoanzia ndo ucomment
 
Ndugu wanajamvi, Asalaam Aleikhum.
Kama kichwa cha habari kilivo hapo juu nimejikuta na kuwa mhanga wa hawa matepeli wa APP za mitandaoni. Iko hivi kuna mtu ambaye ninafahamiana naye ama ni mtu wangu wa karibu ktk familia, kwa utashi wake binfasi alikopa kwa hawa jamaa, alikopa lini na kiasi gani sijui. Kilichotokea ni kupokea sms kutoka namba 0699 065 342 ikinijulisha kuwa kuna mtu alikopa hela na kuniweka mimi mdhamini. Na kwakuwa nilishapata taarifa za hawa watu nikawajibu kistaraabu tu kuwa huyo mtu mnayemsema simjui hivo mtafuteni wenyewe.

Baada ya siku moja akaibuka tena mtu mwingine mwenye namba 0622 297127 huyu yeye tofauti na yule awali alipiga simu hoja zikawa zile zile kuwa nimemdhamini mtu mkopo na amewatapeli hivo nami nimhusika wa huo utapeli. Nikamwuliza unajua sifa za mtu kuitwa mdhamini? Na je kabla ya kukubali kwamba mimi ni mdhamini mlipata consent yangu? kuna mahali nilisaini? Baada ya hapo kilichofuata ni matusi ya nguoni. nilichofanya na kwa kuwa nilitarajia atatukana hivo nilirekodi kila kitu. Baada ya hapo nikaenda kweny App husika iliyotajwa kwa jina la Ustawi Loan, nikapitia privacy Policy nikagundua uhuni mwingi sana kwenye hizi App, uhuni mmoja nikuingilia mawasiliano ya watu, hizi App zinachukuwa taarifa za mkopaji kwa maana ya sms na ku access camera.

Swali ni moja tu kwa nini TCRA imerhusu huu ujinga, yaani usalama wetuuko wapi kama mhuni mmoja kutoka makumbusho akisimamiwa na wachina ana uwezo wa kuingilia mawasiliano ya faragha ya watu kisa kuna mtu amekopa kwao. Fine mtu amekopa kwa nini third party nihusishwe na huu upuuzi.

Haya leo tena mjinga mmoja katuma sms akitumia namba 0789 713 573 huyu naye kajitambulisha eti anatoka PESA CASH naye hoja zake ni zile zile nimejaribu kumwuliza mhusika ulikopa shilingi ngapi na lini? anasema alikopa shilingi elfu 50 wiki moja iliyopita lakini mpaka jumatatu iliyopita alikuwa anadaiwa 130K haya kuhusu hii App ya pili yeye anasema hajakopa chochote kwao lakini wao wanasema wanamdai 168K kwa uchunguzi wangu mfupi nimegundua hizi APP zaidi ya 30 ziko chini ya mwamvuli mmoja.
Ikiwa wako kisheria mimi sina shida nao, shida yangu ni kwa nini TCRA wameruhusu wahuni kuchezea Privacy zetu? Na hawa walivowajinga wanatumia namba walizosajili wao binafsi. Kwa takribani wiki nzima natafuta mawasiliano na TCRA lakini kila nikipiga simu naishia kusikilizishwa mziki tu.

Najipanga kuwashitaki mimi huwa sina issue ndogo very soon mtanisikia nikiwa nao mahakamani. Katika hili wala sihitaji mwanasheria nasimima nao mwenyewe.
Wachina tukae nao mbali! Tcra ukiikosoa ccm ndio watafufuka!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Mammalaka dhaifu
Tasisis dhaifu
mashirika dhaifu
 
Kabla hujafika TCRA laumu upuuzi wa watanzania kutumia app bila kusoma privacy terms, kisha laumu waTz kukopa kopa ovyo
MTz na kusoma wapi na wapi? Wao ni njia za mkato, na kukimbilia pesa wanazofikiri ni za bure wakati hawana hata njia ya kurudisha.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
War on terror ingekua ni kichwa cha habari😂😂😂

Kuna jibu moja nilisha wahi kupewa "tunatoa leseni lakini hatuwasimamii wapo huru kufanyia kila wanacho taka" TCRA

Hii ni hatari sana, kuna mifumo mingi sana ambayo ukiangalia jinsi inavyo endeshwa huwezi kuamani hasusani kwenye mifumo ambayo Ina husiana na fedha katika ukubwa wote ule. Ujambazi mathalani wa aina hii na hata wavifaa vya kiletronic unge weza kabisa kuepukika lakini Kuna mlango mmoja wa uwani umeachwa wazi maksudi nilikuwa na kisa ambacho kilijaribu kushahabiana na hilo lakwako ndipo nilipo pewa hayo majibu huko. Mfano wa kushagaza kidogo Kuna tasisi inatoa leseni za nyombo nya moto WA husika Wana simami mbona hawaachi kila moja akafanya nakutumia kama anyotaka Kwa sababu kashalipia leseni. Upande huu "kwenye tekinologia" kwa nini ina shindikana? usalama wataarifa za watu binafsi hauzingatiwi hata kwa bati mbaya na hakuna anaye kubali kwamba kuna haja ya hatua za maksudi kuchukuliwa Ili kukomesha huu ujinga. Kuna makapuni makubwa sana ambayo yana jifaharisha kabisa inapokuja kwenye maswala ya kuwasiliana na wateja wao kwenye majukwaa ya ughaibuni bila hata kuzingatia tarifa ambazo zinasamba kwenye hayo majukwaa na usalama wake, na wengine wamezidi hatua moja mbele pale unapotaka kubadili nenosiri Kwa sababu kifaa unachotumia kimepotea Hawa wanataka uwapigie simu kisha uwape tarifa zoko zote mf namba ya nida, miaamala kadhaa iliyo fanyika, kiasi ambacho kipo kwenye account yako nk, Kwa binadamu kama mimi na wewe ambaye anamapungufu yote ya kibinadamu na aanaweza kufanya chochote kile anachotaka baada yakupewa hizo tarifa huo siyo uhuni???? Hivi umewahi kuwa pigia google simu Ili kubadili neno Siri? Kuna njia nyingi sana za uthibitisho na utambulisho wa watumiaji mifumo inayo milikiwa na ISP wakubwa ambao wamejikita kwenye kila huduma kwa kivuli cha VAS inapokuja kwenye swala la usalama unakuta usalama nimbovu kwa kiwango kiwango kahiki inatisha"baadhi ya huduma tuna tumia tu kwa vile huna mbadala lakini nihatari". Nimeona nilizumgumzie hili Kwa undani kidogo baada ya kuona kisa chako na ulipo SEMA unataka uende mahakamani sidhani kama utapata support hasa kwa sababu mfumo umeundwa hivyo, hivi ni vyomba ambayo ufanyaji wake wakazi hauja gatwiliwa, tuliamini ungekua ni salaam zaidi Kwa sababu wadau wote tuna jua wapi pakuwapata lakini siyo hivyo, kumalizia niseme kama tasisi mashirika na uma Kwa ujumla hatutakuwa makini tekinolojia kwetu inaweza isiwe ni jambo la heri bali ikawa ni Shari kubwa, matukio ya kihuni yanapo ukuta moja wetu ni rahisi kusema ni uzembe wake siyo uzembe ni mifumo mibovu na mamlaka zilizo pewa dhima ya kusimamia ndiyo vyenye uzembe hizi mamlaka hasa kama TCRA zilitakiwa ziwe upande wa watumiji zaidi tuna kila rika lawatu kwenye mitandao sasa tukiwaacha wahuni wafanye wanyo taka wahanga ni sisi wenyewe
 
matapeli wamehamia kwenye App feki za mikopo, kaeni chonjo.

TCRA wanao wajibu wa kubaini na kuzuia hizi app za kitapeli.
 
Ndugu wanajamvi, Asalaam Aleikhum.
Kama kichwa cha habari kilivo hapo juu nimejikuta na kuwa mhanga wa hawa matepeli wa APP za mitandaoni. Iko hivi kuna mtu ambaye ninafahamiana naye ama ni mtu wangu wa karibu ktk familia, kwa utashi wake binfasi alikopa kwa hawa jamaa, alikopa lini na kiasi gani sijui. Kilichotokea ni kupokea sms kutoka namba 0699 065 *** ikinijulisha kuwa kuna mtu alikopa hela na kuniweka mimi mdhamini. Na kwakuwa nilishapata taarifa za hawa watu nikawajibu kistaraabu tu kuwa huyo mtu mnayemsema simjui hivo mtafuteni wenyewe.

Baada ya siku moja akaibuka tena mtu mwingine mwenye namba 0622 297*** huyu yeye tofauti na yule awali alipiga simu hoja zikawa zile zile kuwa nimemdhamini mtu mkopo na amewatapeli hivo nami nimhusika wa huo utapeli. Nikamwuliza unajua sifa za mtu kuitwa mdhamini? Na je kabla ya kukubali kwamba mimi ni mdhamini mlipata consent yangu? kuna mahali nilisaini? Baada ya hapo kilichofuata ni matusi ya nguoni. nilichofanya na kwa kuwa nilitarajia atatukana hivo nilirekodi kila kitu. Baada ya hapo nikaenda kweny App husika iliyotajwa kwa jina la Ustawi Loan, nikapitia privacy Policy nikagundua uhuni mwingi sana kwenye hizi App, uhuni mmoja nikuingilia mawasiliano ya watu, hizi App zinachukuwa taarifa za mkopaji kwa maana ya sms na ku access camera.

Swali ni moja tu kwa nini TCRA imerhusu huu ujinga, yaani usalama wetuuko wapi kama mhuni mmoja kutoka makumbusho akisimamiwa na wachina ana uwezo wa kuingilia mawasiliano ya faragha ya watu kisa kuna mtu amekopa kwao. Fine mtu amekopa kwa nini third party nihusishwe na huu upuuzi.

Haya leo tena mjinga mmoja katuma sms akitumia namba 0789 713 *** huyu naye kajitambulisha eti anatoka PESA CASH naye hoja zake ni zile zile nimejaribu kumwuliza mhusika ulikopa shilingi ngapi na lini? anasema alikopa shilingi elfu 50 wiki moja iliyopita lakini mpaka jumatatu iliyopita alikuwa anadaiwa 130K haya kuhusu hii App ya pili yeye anasema hajakopa chochote kwao lakini wao wanasema wanamdai 168K kwa uchunguzi wangu mfupi nimegundua hizi APP zaidi ya 30 ziko chini ya mwamvuli mmoja.
Ikiwa wako kisheria mimi sina shida nao, shida yangu ni kwa nini TCRA wameruhusu wahuni kuchezea Privacy zetu? Na hawa wal

Najipanga kuwashitaki mimi huwa sina issue ndogo very soon mtanisikia nikiwa nao mahakamani. Katika hili wala sihitaji mwanasheria nasimima nao mwenyewe.

Tumia au shirikiana na mwanasheria kuongeza uhakika wa kushinda na kiwango Cha fine
 
Back
Top Bottom