TCRA mnaniharibia Kazi kuzima mitandao ya Kijamii. Mitambo ya Kiwanda inakufa

TCRA mnaniharibia Kazi kuzima mitandao ya Kijamii. Mitambo ya Kiwanda inakufa

Kirchhoff

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,735
Reaction score
8,541
Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.

Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.

Mmenipa hasara kubwa sana.

Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
 
Hapa Kama robo saa nimeikosa JF tena na Internet. Sasa hata kwa email nakwama kufanya Kazi.

Simu inasema check your internet connection and try again hivi ninavyoandika sijui Kama hii meseji itakuja.

Ni Airtel natumia. Wafungue WhatsApp haraka.
 
Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.

Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.

Mmenipa hasara kubwa Sana.

Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
 
Itabidi mtani wangu Pascal aniambie hii toleo jipwa la Wasukuma wa CCM mpya limetoka wapi? Nimeishi na Wasukuma hawana tabia za kikatili.

Zaidi ya ushamba wa kununua shati la "Shikibo" kwa shilingi alfu hamsini wakishavuna pamba walikuwa hawana tatizo na mtu. Nimefanya kazi na mzee wangu marehemu Nkwabi Ng’wanakilala alikuwa muungwana kiasi ambacho wazaramo wote aliofanya nao kazi hawatamsahau!
 
Back
Top Bottom