RO7 ZA MGOS
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 2,018
- 5,752
Daaa nusu nifungue sm nikijua imecorrupt kumbe n hawa wa mitano tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]La kushangaza utakapo enda wapigia kura hawa hawa tena
Wameifunga , playstore imefungwa pia
Kwan lazima uchukue Playstore?Wameifunga , playstore imefungwa pia
Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa Sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Dunia uishio wewe siyo anayoishi mwingine, kazi nyingi nowdays zinakuwa well organized via mitandao.Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app ?? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
Vpn unaioata wapi na play store haipo hewani!?mleta mada mbona ukiwa na vpn unaendelea na kaz zako kama kawaida tu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Wamezima yoote hadi inaboa tumebaki na jamii forum tu.Jaman TCRA tufungulieni mitandao yetu ya kijamii tunateseka biashara zetu.
CCM tusaidieni kufunguka mitandao ya kjamii.
Hii nayo ikipigwa pini ni kama vile kubomoa daraja la wami?Wamezima yoote hadi inaboa tumebaki na jamii forum tu.
Alikua anapata maelekezo mbona mgumu kuelewa upo baa nini.Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app ?? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
Naona post yako ipo kama ya kiudaku hiviHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa Sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Kuna watu wana akili za ajabu sana, shangaa kabisa.La kushangaza utakapo enda wapigia kura hawa hawa tena
Ccm tena wkt wenyewe ccm wanaona sawaa tu watupige goli la mikonoJaman TCRA tufungulieni mitandao yetu ya kijamii tunateseka biashara zetu
CCM tusaidieni kufunguka mitandao ya kjamii