Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ataendelea kuwepo muda mrefu tu,ataondoka 2026.
Kwa kweli itashangaza watu kupiga kura kuendelea na adha kama hizi.
Naamini yule malaika wa kuzima mitandao anaweza.kuwa ndio amefika,sijui kama ataondoka hivi karibuni