miamia100
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 416
- 479
VPN yenyewe kuipata ni mtihanimleta mada mbona ukiwa na vpn unaendelea na kaz zako kama kawaida tu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VPN yenyewe kuipata ni mtihanimleta mada mbona ukiwa na vpn unaendelea na kaz zako kama kawaida tu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ila kweli ni upeo mdogo sana kuwakomoa watanzania wote kwa sababu ya wahalifu wachache.Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Clearly, this is what we're going to face dictatorship regime..!Rasmi Tanzania kufikia wiki ijayo tutakukuwa kwenye utawala rasmi wa kiimla, mark my words
Kwa Sasa ni ngumu net yote inchi nzima imekamatwa IXP machine....ni ngumu mchawi wake VPN Kama uliwahi mapemaVPN yenyewe kuipata ni mtihani
Duh .! Hebu changamsha ubongo wako, Ni kitu Cha sec 10 tu kuipata hiyo private NetworkVPN yenyewe kuipata ni mtihani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anatiwer au sio ha hahaunatiwer wewe
Nenda twitter huko Aibu tupu [emoji3] walifikir kigogo anaongea ngonjerawale ambao huwa hamumuani Kigogo naona akili imewakaa sawa sasa. aliandika sana kuhusu suala la kuzimwa mitandao na wapo waliombishia.
Itabidi mtani wangu Pascal aniambie hii toleo jipwa la Wasukuma wa CCM mpya limetoka wapi? Nimeishi na Wasukuma hawana tabia za kikatili.
Zaidi ya ushamba wa kununua shati la "Shikibo" kwa shilingi alfu hamsini wakishavuna pamba walikuwa hawana tatizo na mtu. Nimefanya kazi na mzee wangu marehemu Nkwabi Ng’wanakilala alikuwa muungwana kiasi ambacho wazaramo wote aliofanya nao kazi hawatamsahau!
We kama mfanya biashara hukupata fununu kuwa kutakuwa na huu mkwamo? Mkapewa na mbinu mbadala. Sasa unalialia. Next time jiongezeHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Google haifunguki mkuuDuh .! Hebu changamsha ubongo wako, Ni kitu Cha sec 10 tu kuipata hiyo private Network
Kuna shida mahali, Kama wewe ni mtu wa siasa Kali na antimagufuli, nakushauri achana na hizo VPN..ridhika kwanza na hapa JF Hadi pale watakapo releaseGoogle haifunguki mkuu
Jaman TCRA tufungulieni mitandao yetu ya kijamii tunateseka biashara zetu
CCM tusaidieni kufunguka hahahahahaah... daaaaaaah
Ila kwa mara ya kwanza nimeona udhalilishaji wa hali ya juu.
Njia ni kama ifuatavyo
Kitu cha kwanza jaribu kuingia google kupitia opera au chrome au uc mini au nyingijnezo yaani jaribu kuingia google kupitia hizo njia google ikifunguka tu yaani hakikisha google search inafunguka google ikifunguka kati ya hizo fuata hatua ya 2
Hatua hiyo ni kudownload vpn kwa google unadownload kupitia google kwa sababu playstore au appstore pashafeli download huko kwenye google kisha ukishadownload install
Pia usisahau kuallow installation from unknown sources
Kila la kheri!
Sawa mkuuKuna shida mahali, Kama wewe ni mtu wa siasa Kali na antimagufuli, nakushauri achana na hizo VPN..ridhika kwanza na hapa JF Hadi pale watakapo release
Nimeanza kusikia 'harufu ya kudukuliwa' watu hapa.
Ni kweli mkuu teknoji zinashindana Cha msingi ukigundua tu kudukuliwa restart simu, na utajuaje Kuna neno lolote utaletewa na vpn ukichelewa funguo ikipotea kwenye screen ujue umeanza kuonekana ulipo, restart Rudi hewani wataanza upya ukiona tena restart Sasa watashinda na wewe[emoji23]Kuna shida mahali, Kama wewe ni mtu wa siasa Kali na antimagufuli, nakushauri achana na hizo VPN..ridhika kwanza na hapa JF Hadi pale watakapo release
Nimeanza kusikia 'harufu ya kudukuliwa' watu hapa.
kama ni VPN simu yangu ilireject toka Jana.
labda kama kuna mpya
simu yangu haipokei VPN au app yoyote inayohusiana na googlenenda kwenye settings ya vpn yako then itatuma e-mail yeyenyewe Tanzania problem then itaji connect