Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,290
- 1,123
Wapumbavu sana hawa jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Kigogo ni MTU WA system.Wamezima yoote hadi inaboa tumebaki na jamii forum tu
Amepata hitilafu akawa anapata maelezo ya kutatua changamoto kupitia what's up , shida ipo wapi hapo?Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app ?? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
Unafiki huuHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Sasa ina faida gani kama wengine haipatikani au unajitext mwenyeweKwangu whatsap iko mukide[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ni utopolo sana waliofanya ,sasa kubinya hiyo mitandao ya kijamii ndio suluhu? Mapato ya makampuni yanashuka kisa siasa za kishamba za MEKO.Hakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Tatizo mnapenda kudharau tahadhari za mapema, angalia Sasa watanzania wanavyohangaika Leo wakati uwezo walikuwa nao kufanya hili mapema na kwa dk chache tu chap kwa haraka, watarudishiwa net watu washatawaza, wapinzani hata hawajulikani wametupwa wapi na lini.....mmebaki Kama yatima mnabidi muungane nao kupiga vigeregereSasa ina faida gani kama wengine haipatikani au unajitext mwenyewe
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Uchumi ulishauwawa kitambo tu sema anaumalizia malizia tuwe Zimbabwe[emoji23]Ni utopolo sana waliofanya ,sasa kubinya hiyo mitandao ya kijamii ndio suluhu? Mapato ya makampuni yanashuka kisa siasa za kishamba za MEKO.
Nataka nikapate kwanza mtori na Pepsi ya baridi kisha nikachukue karatasi ya kupiga kura na niweke vema(✓) kwenye jina ya mwisho
Acha tu JIWE kavuruga sana uchumi anazunga na mi WHITE ELEPHANTS projects yake ambayo anapiga 50% lakini wananchi wana NJAA kwahiyo hawaoni hata umuhimu wake.Uchumi ulishauwawa kitambo tu sema anaumalizia malizia tuwe Zimbabwe[emoji23]
Ila wametukomesha.Wana jambo lao wakati uchaguzi ukiendelea
Pole sana, jaribu kuizima hadi upate maelekezo kwa njia nyingineHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Binafsi nimeshi sana na wasukuma na mpaka sasa marafiki zangu wengi ni wasukuma.Itabidi mtani wangu Pascal aniambie hii toleo jipwa la Wasukuma wa CCM mpya limetoka wapi? Nimeishi na Wasukuma hawana tabia za kikatili.
Zaidi ya ushamba wa kununua shati la "Shikibo" kwa shilingi alfu hamsini wakishavuna pamba walikuwa hawana tatizo na mtu. Nimefanya kazi na mzee wangu marehemu Nkwabi Ng’wanakilala alikuwa muungwana kiasi ambacho wazaramo wote aliofanya nao kazi hawatamsahau!
Tani Tatu za bidhaa za mamilioni zimeharibika.Pole sana, jaribu kuizima hadi upate maelekezo kwa njia nyingine
Rasmi Tanzania kufikia wiki ijayo tutakukuwa kwenye utawala rasmi wa kiimla, mark my wordsMagufuli ndipo alipotufikisha hapa na anakotarajia kutupeleka watanzania Ni ziwa la Moto!
VPN yangu inaitajika kua updated na App Store haifanyi kaziTumia VPN mkuu