Wanafikii haawaLa kushangaza utakapo enda wapigia kura hawa hawa tena
Tena Bila WogaLa kushangaza utakapo enda wapigia kura hawa hawa tena
Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGUHakika Kitendo chenu Cha kuzima WhatsApp kimeniuzi na kuniumiza Sana.
Nimepata hitilafu kwa mitambo ya kiwanda. Nikiwa napokea maelekezo ya Nini Cha kufanya kupitia Whatsapp ghafla mmeifungia.
Mmenipa hasara kubwa Sana.
Ninyi mngeacha WhatsApp. Mtu akivunja sheria mumuadhibu.
Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app ?? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
Mkuu hii mitambo ya wachina. Kupiga simu China sh ngapi kwa simu ya kawaida na Kutumia WhatsApp Call na Message Ni sh ngapi? Upo nyuma kimaendeleo wewe.Kiwanda gani kinaendeshwa Kwa sms za what's app ?? CHAI YA TANGAWIZI MKUU NDUGU
Mkuu mbaya zaidi walifanya jaribio la kuzima Internet nikashindwa kutumia Hata Email. Laanakummleta mada mbona ukiwa na vpn unaendelea na kaz zako kama kawaida tu
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app