Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.

Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Hizi ni akili ndogo sana maana hata wale wa tuma kwenye namba hii nao walipewa access na hiyo mitandao? Mbona ukwenda kuwashitaki?
Hao ni kuwadharau tu maisha yanaenda.
 
Hao wote waliopelekewa hizo SMS na Rais Magufuli, KWA TAARIFA YAKO, ni WANACHMA WA CCM. Hizo namba hazikutoka TCRA wala kwingine kokote bali ni kwenye DATA BANK ya wanachama wa CCM huko Makao Makuu. Labda nikujulishe kuwa wanachama wote wa CCM wana kadi za elektroniki hivyo taarifa zao zote zipo. Hicho ndiyo chanzo cha hizonamba za simu siyo TCRA.
 
Leo uko sahihi japo hujajibu swali

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app


Long story short, i can project for you that, huenda chadema haitakaa ishike madaraka, lakini ccm inaweza kuja kuanguka lakini atakaechukua icho kiti anaweza asiwe chadema, politics zenu ni mbaya, un-reasonable and same time hazina connection yoyote na wananchi,
 
Hao wote waliopelekewa hizo SMS na Rais Magufuli, KWA TAARIFA YAKO, ni WANACHMA WA CCM. Hizo namba hazikutoka TCRA wala kwingine kokote bali ni kwenye DATA BANK ya wanachama wa CCM huko Makao Makuu. Labda nikujulishe kuwa wanachama wote wa CCM wana kadi za elektroniki hivyo taarifa zao zote zipo. Hicho ndiyo chanzo cha hizonamba za simu siyo TCRA.
Mkuu meza mate aisee. Maana umetiririka sana yaani.
Mimi na kadi ya uana chama wa vyama vya siasa wapi kwa wapi. Wala sijawahi fikiria hata siku kukata kadi ya chama chochote cha siasa.
 
Kateka makampuni ya simu ili yatoe database ya wateja wao kisha watawanye pop up messages...ni kosa kwa mujibu wa sheria .Natamani Lissu apige mkwara haya makampuni.

Kwani msg hizo zimetumwa kwa Watanzania wote wenye simu za kiganjani au kwa wanachama wa CCM tu.
 
Leo uko sahihi japo hujajibu swali

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app

kwa kuongezea kibaya zaidi, inaonekana institution nyingi haziko tayar kutawaliwa na chadema, ina maaana hata kama akichaguliwa kuna watu watamfanyia figisu kwenye serikali yake kwa sababu kuna watu ndan ya serikali simply hawampendi, tuseme uchaguzi huu chadema hawajapewa contribution ya kutosha kutoka vyombo vinavohusika, hata NEC yenyewe kwa upande flan washaona cdm ni kopo, na mashirika mengine kama TBC ingawa mbowe alikuja kuwaomba raadhi lakini mjirekebishe, bila kusahau polisi! upinzani uliopita ukiachana na kua hawapo ccm walipewa nguvu sawa, mfano kurusha matangazo yao, na hawakuwekewa vikwazo vyovyote ingawa kule kupigana pigana palikuepo na ikachangia ccm kugawanyika!! kwa politics zenu nadhan mjirekebishe
 
Yani unachukua taarifa zangu halafu unampa mtu mwingine huoni kama huo ni upuuzi?

Hizo T & C's zipo kwa ajili ya mteja na kampuni ya simu, unapompa third party taarifa zangu hiyo ruhusa umeipata kwa nani? wanasema unapokuwa umewapa idhini wabia wao wanaweza kutoa taarifa zako, sasa ni nani amewapa Vodacom Tanzania idhini ya kutoa taarifa zangu kwa CCM (wabia wao) wakati mimi mtumiaji sijawapa hiyo idhini?

Hao Vodavom ndio maana wakati fulani watu walitupa line zao, kwasababu ndio wa kwanza kujipendekeza kwa CCM.

Hata wakimpa yeye bila ridhaa ya wateja ni makosa
Sio makosa mkuu. Kosa liko wapi bainisha basi. Mbona mnaamua kipi sahihi na kipi sio sahihi kutokana na intuition tu na sio sheria wala haki
 
Yani unachukua taarifa zangu halafu unampa mtu mwingine huoni kama huo ni upuuzi?

Hizo T & C's zipo kwa ajili ya mteja na kampuni ya simu, unapompa third party taarifa zangu hiyo ruhusa umeipata kwa nani? wanasema unapokuwa umewapa idhini wabia wao wanaweza kutoa taarifa zako, sasa ni nani amewapa Vodacom Tanzania idhini ya kutoa taarifa zangu kwa CCM (wabia wao) wakati mimi mtumiaji sijawapa hiyo idhini?

Hao Vodavom ndio maana wakati fulani watu walitupa line zao, kwasababu ndio wa kwanza kujipendekeza kwa CCM.
Third party haijachukua data zako hapo. Kilichotokea hapo ni Ccm wamesubmit tangazo lao Vodacom au mtandao mwingine na kuawaambia tangazo liende kwa watanzania ni kama unavotoa tangazo lako Facebook au Instagram wao hawakupi data za watumiaji wake wala nini utabainisha tu tangazo hili liende kwa singles, au under 20's, lakini hupewi data zozote za watumiaji.
Na hivi ndivyo ads hua zinafanyakazi
Ndio tuna haki ya kuhoji ila watanzania tuacheni ushamba.
 
Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.

Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Kesi haiwezi kufanikiwa labda tu...
 
Third party haijachukua data zako hapo. Kilichotokea hapo ni Ccm wamesubmit tangazo lao Vodacom au mtandao mwingine na kuawaambia tangazo liende kwa watanzania ni kama unavotoa tangazo lako Facebook au Instagram wao hawakupi data za watumiaji wake wala nini utabainisha tu tangazo hili liende kwa singles, au under 20's, lakini hupewi data zozote za watumiaji.
Na hivi ndivyo ads hua zinafanyakazi
Ndio tuna haki ya kuhoji ila watanzania tuacheni ushamba.
Nimezungumzia moja ya T & Cs zilizopo hapo kwenye hiyo menu ya voda wewe unajibu taarabu zako, unaniambia third party hawajachukua data zangu hapo! sasa kama hawajachukua hizo data hayo majina ya wateja wa Voda CCM wameyatoa wapi?! wacha ujuaji wa kishamba.
 
Sasa mkuu wewe unalalamika kutumiwa meseji au kutajwa jina?
Na kwenye T&C pale wameandika hadi anuani yako wanaweza kutumia... na zote ni data zako. Mbona unatapatapa aise
Unaona jina la mtu ni kitu kidogo?

Ni nani aliye-draft hii message? Jina langu alipata wapi? Taarifa gani nyingine kapewa?

T&C haziko juu ya sheria na katiba ya nchi, kama mwananchi nategemea some level of privacy; haiwezekani taasisi binafsi (CCM na mitandao ya simu) zikatumia tu taarifa zangu binafsi kwa kisingizio cha T&C.

Terms and Conditions haziko juu ya haki ya mtu kulindiwa taarifa zake binafsi.
 
Angetaka kujua msimamo halisi hasa wa watanzania angeweka option ya kujibia hizo msg. Angeisoma namba barabara
 
Third party haijachukua data zako hapo. Kilichotokea hapo ni Ccm wamesubmit tangazo lao Vodacom au mtandao mwingine na kuawaambia tangazo liende kwa watanzania ni kama unavotoa tangazo lako Facebook au Instagram wao hawakupi data za watumiaji wake wala nini utabainisha tu tangazo hili liende kwa singles, au under 20's, lakini hupewi data zozote za watumiaji.
Na hivi ndivyo ads hua zinafanyakazi
Ndio tuna haki ya kuhoji ila watanzania tuacheni ushamba.
Hivi facebook account yangu mtu anaweza weka tangazo lake kama sija-share nae?
 
kwa kuongezea kibaya zaidi, inaonekana institution nyingi haziko tayar kutawaliwa na chadema, ina maaana hata kama akichaguliwa kuna watu watamfanyia figisu kwenye serikali yake kwa sababu kuna watu ndan ya serikali simply hawampendi, tuseme uchaguzi huu chadema hawajapewa contribution ya kutosha kutoka vyombo vinavohusika, hata NEC yenyewe kwa upande flan washaona cdm ni kopo, na mashirika mengine kama TBC ingawa mbowe alikuja kuwaomba raadhi lakini mjirekebishe, bila kusahau polisi! upinzani uliopita ukiachana na kua hawapo ccm walipewa nguvu sawa, mfano kurusha matangazo yao, na hawakuwekewa vikwazo vyovyote ingawa kule kupigana pigana palikuepo na ikachangia ccm kugawanyika!! kwa politics zenu nadhan mjirekebishe
Mkuu kwa utawala huu ni chombo gani kinaweza kujionyesha kuwa kinamuunga mkono mgombea wa upinzani na kikabaki salama? Ona hata vyombo vya habari vinavoogopa kurusha/kuandika habari za upinzani

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
kwa kuongezea kibaya zaidi, inaonekana institution nyingi haziko tayar kutawaliwa na chadema, ina maaana hata kama akichaguliwa kuna watu watamfanyia figisu kwenye serikali yake kwa sababu kuna watu ndan ya serikali simply hawampendi, tuseme uchaguzi huu chadema hawajapewa contribution ya kutosha kutoka vyombo vinavohusika, hata NEC yenyewe kwa upande flan washaona cdm ni kopo, na mashirika mengine kama TBC ingawa mbowe alikuja kuwaomba raadhi lakini mjirekebishe, bila kusahau polisi! upinzani uliopita ukiachana na kua hawapo ccm walipewa nguvu sawa, mfano kurusha matangazo yao, na hawakuwekewa vikwazo vyovyote ingawa kule kupigana pigana palikuepo na ikachangia ccm kugawanyika!! kwa politics zenu nadhan mjirekebishe
Unataka kutuaminisha fulani anapendwa na kukubalika kwenye institutions zote??🙄
Raisi pendwa pekee na watu wote ni #RUNGWE.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Unataka kutuaminisha fulani anapendwa na kukubalika kwenye institutions zote??🙄
Raisi pendwa pekee na watu wote ni #RUNGWE.

Everyday is Saturday............................... 😎

sjasema anapendwa institutions zote nmesema kuna baadhi kama hawana ham na tundu lissu kwahio ajiandae na setbacks nyingi, hata akisema sku ana shinda uchaguzi of which haiwezekani lakini kuna watu watamfanyia figisu kwa sababu ya jinsi anareact nao, naweza dhan hata jeshi linaweza kumpindua
 
Mkuu kwa utawala huu ni chombo gani kinaweza kujionyesha kuwa kinamuunga mkono mgombea wa upinzani na kikabaki salama? Ona hata vyombo vya habari vinavoogopa kurusha/kuandika habari za upinzani

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app

vyombo sio kwamba vinashindwa kumuunga mkono, shida ni jamaa mwenyewe na relationship alionayo, unadhan kuna watu wameshindwa kwa moyo wote kumsaidia jamaa? ina maaana hata mbowe mwenyewe ataendelea kumkimbia lissu mpaka lini sasa au nae anaogopa?

-kingine nadoubt sana jinsi anavoshirikiana na wadau wenzake wa chadema, ikumbukwe tu kura za awali nakumbuka alishinda nyalandu
 
Back
Top Bottom