Babu la Bara
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 529
- 575
Hizi ni akili ndogo sana maana hata wale wa tuma kwenye namba hii nao walipewa access na hiyo mitandao? Mbona ukwenda kuwashitaki?Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Hao ni kuwadharau tu maisha yanaenda.