TCRA: Namba za simu zisitumike kutoa taarifa kuhusu majanga hapa nchini. Atakayekiuka agizo hili kukiona

TCRA: Namba za simu zisitumike kutoa taarifa kuhusu majanga hapa nchini. Atakayekiuka agizo hili kukiona

Kwa hiyo mfano nyumba yangu imeungua na nahitaji msaada nampigia Nani simu?,au napiga tcera
Kaka umeambiwa tumia namba maalumu ya majanga. Taarifa hazizuiwi kutolewa bali ni namna gani?
Atakayekiuka kukiona.
 
Hivi mkurugenzi mkuu wa hicho ki tcra ni nani ?

Naona ana ujinga mwingi sana kichwani unaotakiwa kukwanguliwa kabla haujaleta madhara kwa taifa zima








kush and Wisdom
Ujinga gani wakati ni utaratibu unawekwa ili tufate. Unaona ugumu gani kufata maelekezo?
 
Kaka umeambiwa tumia namba maalumu ya majanga. Taarifa hazizuiwi kutolewa bali ni namna gani?
Atakayekiuka kukiona.
Ha ha ha,mkuu naona hujaelewa,,Mimi nimekutikana na janga,,labda Nina jamaa zangu wanaweza nisaidia,so nikimpigia simu mfano naomba msaada wa malazi,nyumba yangu imeungua,Ni kosa?
 
Ha ha ha,mkuu naona hujaelewa,,Mimi nimekutikana na janga,,labda Nina jamaa zangu wanaweza nisaidia,so nikimpigia simu mfano naomba msaada wa malazi,nyumba yangu imeungua,Ni kosa?
TCRA hawajazungumzia hivyo Elungata, wanezungumzia mazingira kama ya saiv, au iwe ishu serius sana.
Kwahy kama saiv, fata tu utaratibu wa kutumia namba maalumu ili usaidike
 
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787].
Mmewalenga Cdm !! Hata kwenye majanga mnawaandama ?!

Nauchukia sana u communist

Odhis *
Mkuu hakijatajwa chama hapo bali ni maelekezo kuepuka shari kipindi hiki kulingana na wao.
 
Wanalenga ile namba ya chadema ambayo mbowe aliitoa jana...
Wehu hawa
 
nawaza tu labda wanamaanisha kutumia aina flani ya huduma ya kutuma ujumbe wa simu kwa watu wengi kwa mara moja kutumia namba maalum hutumia wanaotangaza
Hichi ndicho walichowaza.
Na wameamua kuweka hadharani kuepuka kwenda kisutu.
 
Jukumu la kutengeneza kizazi chenye uzalendo huwa lipo mikononi mwa serikali wala si wananchi.

Wengi huwa tuna imani serikali hujengwa na kundi la raia wenye elimu mbalimbali ili kusogeza nchi mbele. Ila kama wanatumia elimu zao kufanya upumbavu ni aibu sana kwa Taifa. Serikali acheni kutumia nguvu hizi kwa wateka wasioweza hata kushika jiwe wawarushie.
Hii yote ni baada ya Mh Mbowe kutoa ile hotuba kwa hiyo hapa kuna mtu anatafutwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom