kuna kipindi walisema KIAMA YA MATAPELI wa mtandao i,efika wale wa TUMA KWA NAMBA HII watakomeshwa....hamna kitu bado zinatumwa kama kawaida, wakaja na mkwara mwingine kuwa watakomesha wanaojihusisha na mapenz ya jinsia moja pamoja na kukamata wanaosambaza maudhui hayo.. ila ndo kwanza mashoga na wasagaji wanajipost kila siku, wakatangaza kukomesha biashara ya ngono na kukamata wauzaji na wanunuaji mtandaoni... aah wapi, telegram kumekucha watu wana request nyapu kama UBER vile....
haya masihara ya ku deal na mambo madogo tena binafsi waachane nayo, wajielekeze kwenye maendeleo ya sekta ya habari na mawasiliano, wanatia aibu mamlaka kuanza kukimbizana na wapenda umbea wa mange au wapenda pilau, wakati nchi ina changamoto nyingi zakutatuliwa. serikali ya ccm kwa kweli ni hopeless