TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

TCRA: Ukikutwa unatumia VPN Tanzania, faini milioni 5, kifungo mwaka mmoja

kuna kipindi walisema KIAMA YA MATAPELI wa mtandao i,efika wale wa TUMA KWA NAMBA HII watakomeshwa....hamna kitu bado zinatumwa kama kawaida, wakaja na mkwara mwingine kuwa watakomesha wanaojihusisha na mapenz ya jinsia moja pamoja na kukamata wanaosambaza maudhui hayo.. ila ndo kwanza mashoga na wasagaji wanajipost kila siku, wakatangaza kukomesha biashara ya ngono na kukamata wauzaji na wanunuaji mtandaoni... aah wapi, telegram kumekucha watu wana request nyapu kama UBER vile....
haya masihara ya ku deal na mambo madogo tena binafsi waachane nayo, wajielekeze kwenye maendeleo ya sekta ya habari na mawasiliano, wanatia aibu mamlaka kuanza kukimbizana na wapenda umbea wa mange au wapenda pilau, wakati nchi ina changamoto nyingi zakutatuliwa. serikali ya ccm kwa kweli ni hopeless
Mkuu jipe access ya kurequest nyapu via telegram
 
How tupe mbinu
Kuna vpn ambazo hatakama huna bando unaenjoy tu online... but zina specifc time ya kusurf baada ya kuconnect zingne dk 30 , zingnine dk 15,pia kuna ambazo unatumia free kwa tigo,voda, airtel
Kuna moja natumia niya tigo but voda haikubali wala airtel, kuna nyingine ni airtel tu...
Reason: Hii nchi gharama za bando zipo juu... pia hawa watoa huduma za mitandao wanatupiga sanaa.. kuna siku niweka GB kadhaa aise sikuamini zilipukutika af.......
 
Mnazuia vpn ili watu wasipate spidi kubwa ya mtandao, siyo? au mnalenga kubana uhuru wa watu kupashana habari hasa baada ya kunajisi chafuzi kuu na pale mnapofanya dili zenu za ufisadi watu waogope kuwalipua........kifupi mnataka kufunga watu midomo.​
 
Kuna vpn ambazo hatakama huna bando unaenjoy tu online... but zina specifc time ya kusurf baada ya kuconnect zingne dk 30 , zingnine dk 15,pia kuna ambazo unatumia free kwa tigo,voda, airtel
Kuna moja natumia niya tigo but voda haikubali wala airtel, kuna nyingine ni airtel tu...
Reason: Hii nchi gharama za bando zipo juu... pia hawa watoa huduma za mitandao wanatupiga sanaa.. kuna siku niweka GB kadhaa aise sikuamini zilipukutika af.......
Nitajie hiyo VPN mkuu maana laini ya tigo ninayo. Alafu nataka kujua tcra wanatumia mbinu gani kutukamata Watu tunaotumia VPN.
 
IMG-20231015-WA0009.jpg
 
Tatizo unawatishia amani wamiliki wakati na wao wanapatiapo kaulaji humohumo😁😁😁😁😁
Nataka JF wani DM ,niwape mbinu 😆 Lasivyo , Hiyo mipango bado ninayo kwenye notebook
 
wameshindwa kudhibiti bei za bando na matapeli wa tuma katika namba hii sasa wanaanza kuhangaika na VPN, SHAME nchi yenu wadanganyika. Kila mahali uozo viazi tupu kama kina Jafo na Mwigulu.
 
Back
Top Bottom