TCRA: Vyombo vya habari vinavyochanganya lugha kuchukuliwa hatua, ‘kuna haja ya kukiita kipindi Goodmorning?’

Tanzania lugha rasmi ni English na Swahili. Hana hana hoja
Ni kweli, ila inategemea na usajili wako. Pia, kipindi kinapaswa kuwa na lugha moja (English au Swahili) kwa kuanzia mwanzo hadi mwisho.

Kuchanganya lugha mbili katikati ya sentensi ni jambo la kawaida kwenye maisha ya kawaida, ila kwenye tasnia ya utangazaji ni kosa.

Hivyo, TCRA wako sahihi kabisa kwenye hilo.

Ova
 
Watu wa namna hii hopeless kabisa...
Hizi position wapewe vijana wa sasa..huyu anafikiri nchi ni kama familia yake binafsi...kwani kuna mtu amelalamika?..
CHagua moja kiingereza mwanzo mwisho wa kipindi ili msikilizaji ajue moja, kiingereza chenyewe hata cha dakika mbili hamuwezi kuongea zaidi
 
Tanzania lugha rasmi ni English na Swahili. Hana hana hoja
Ukichunguza kwa umakini wafanyakazi wengi serikalini na mashirika ya umma ni waliopata ufaulu wa Kati na chini vyuo vikuu, na wale waliofaulu sana wanawahiwa na sekta binafsi mfano Barric, Tigo, Vodacom, nk ndio maana huwa matamko yao huwa ni ya ajabu ajabu. Mfano, Mamlaka ya utabiri wa hali ya hewa walishatabiri mvua kubwa, unajiuliza watu wa bodi ya sukari kwa nini hawakujua mvua hizo zitaathiri uvunaji miwa na kupelekea upungufu wa sukari na hivyo kuruhusu uagizwaji sukari ili kuzuia nahisi iliyopo mpaka kupanda bei? Mtu anajua hata maombi ya ajira ya baadhi ya kada kiingereza kinatumika
 
Kabla ya kuvichukulia hatua ninini kirefu cha TCRA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania lugha rasmi ni English na Swahili. Hana hana hoja
Kabisa, labda anamaanisha yale matangazaji yalokua yanatuchanganyia kiarabu kwenye kutangaza Afcon yule wa TBC1 sijui anaitwa Nazarene Upete
 
Mshamba wa Kishimundu mnapa wadhifa wa mambo ya kisasa ya mjini.🤧
 
Radio Free Africa
Wasafi Classic Baby
Clouds Fm
Radio One Stereo
Magic Fm nk
 
TCRA mishahara mikubwa kuliko kazi yao...
 
Yani nchi hii kila taasisi inaendeshwa kama CCM inavyoendeshwa.

Kila kukitokea tatizo ama kipindi cha campaign CCM wanavyolalamika utasema kuwa sio wao waliokuwa madarakani toka baada ya uhuru.

Halkadhalika na hawa TCRA mambo wanayotaka kuyakataza mbali ya kutokuwa na tija wala madhara lakini pia yalikuwepo enzi na enzi, iweje ghafla ndio yawe na mantiki.
 
hawa wazee no nikama basata hawana hoja za msingi kuna mambo mengi muhimu hawayatendei kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…