Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana! Hakuna namna nyingine ya kukusaidia. Ha ha haaa!Huwezi kuona
DADEKI..
chichiem nchi imewashinda rasmi nipo upinzani mmezidi sijui mnaogopa nini..!
Lissu juu chadema juu zaidi.
Hata kama hakuna jipya lazima Ccm wamepata funzo kuzuia mikutano na shughuli za siasa lakini bado wananchi wana msimamo, hata kama serikali inaendelea kuwafanya raia kuwa wajinga lakini raia wanataftiza habari na kujielimisha wenyewe kuupata ukweli na kujifunza.Uchaguzi wa mwaka huu sioni kama kuna jipya ukizingatia hakuna tume huru ya uchaguzi, na waneanza kuminya malema saba, nadhani mikakati yao ni kuminya zaidi especially katika siku za uchaguzi
Na rubani kurusha ndege,umri mwisho ni upi?
Umesema kweli kabisa, na tena siku zinavyozidi kwenda, wananchi wanazidi kupata mwamko na kuwa na uelewa zaidi, tunapoelekea ccm itakua na mazingira magumu sana na upinzani utakua na njia nyepesi sana especially uchaguzi wa 2025Hata kama hakuna jipya lazima Ccm wamepata funzo kuzuia mikutano na shughuli za siasa lakini bado wananchi wana msimamo, hata kama serikali inaendelea kuwafanya raia kuwa wajinga lakini raia wanataftiza habari na kujielimisha wenyewe kuupata ukweli na kujifunza.
Iwe mvua liwe jua Ccm haina muda mrefu itafurumushwa madarakani na ndio utakuwa mwanzo wa Tanzania mpya
Bila Ccm kuondoka madarakani maendeleo hakuna ni sawa na kutafuta bikira wodi ya wazazi.
Sent from my itel W5504 using JamiiForums mobile app
Sasa breaking news itakua reported vipi maana yenyewe ni impromptu. Huoni ni utahira sana utume email ijibiwe ndo uripoti breaking news live . Itakua sio breaking news tena . What if kuna tukio limetokea na kuna kikao cha dharura na waandish ili kutoa taarifa ya haraka tutasubir emails ? This is too sophomoricUmeambiwa matukio ya ki calendar sio impromptu!!
Kampeni za uchaguzi mfano ni matukio yenye calendar kabisa ndiyo yanaongelewa au scheduled interview
Maajabu zaidi kipengele (b) kinakwambia muda tukio litaanza na muda litakapoisha . Nafikiria tu kwa akili yangu ndogo breaking news ina muda wa kuanza na muda wakuisha. DuuuhHivi wanajua maana ya "dharura"?!
Yaani tukio la dharura linatokea badala ya kurusha, unaanza kuandika barua pepe [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1565201