Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Upo serious kabisa au unatania?Tutajie mema ya Nape japo matatu tu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo serious kabisa au unatania?Tutajie mema ya Nape japo matatu tu!!
Nape yule bumunda chamatusiNAPE HAKUWA NA JEMA LOLOTE AMEBEBWA SANA ASHUKURU.
Mna tatizo mahalaNAPE HAKUWA NA JEMA LOLOTE AMEBEBWA SANA ASHUKURU.
Rais atengue halafu umpongeze aliyetenguliwa? Unatuma ujumbe gani kwa Mamlaka ambayo pia uko chini yake? Kuwa serious.Kawaida tu
Mtoa mada sijaona dharau zozote hapo labda wewe kwa mtazamo unaona ni dharau
Unataka kuniambia hakuna mema ambayo Nape aliyafanya?
Mnyonge mnyongeni lkn haki yake apewe
Tulia, kula series.😂Hii Nchi Imepatwa Na Nini Jamani ?
Nauliza kwasababu inashangaza sana hayo unayosema ,,,kwahiyo inamaa siku zote alikuwa anashinda bonanza na hakuwahi kufanya kazi ya uwaziri? Upo serious bado?Ungekuwa unajuwa mema ya Nape ungekuwa umeshayaandika tayari. Usingeuliza swali hilo tena
Angekuwa amefanya ufisadi ningeelewa,lkn nje ya hapo hakuna ubayaRais atengue halafu umpongeze aliyetenguliwa? Unatuma ujumbe gani kwa Mamlaka ambayo pia uko chini yake? Kuwa serious.
Kutenguliwa kuna sababu na, usually, sio sababu njema. Kumpongeza mtumbuliwa hakuna tofauti na kutuma ujumbe kwamba mtumbuaji kakosea, more precisely, hukustahili kutumbuliwa.Angekuwa amefanya ufisadi ningeelewa,lkn nje ya hapo hakuna ubaya
NYIE MABUMUNDA MNATETEANA. YULE MWENZAKO TUTUSA , BUMUNDA HAKUWA NA AKILI HATA KIDOGO.Mna tatizo mahala
Ukivuliwa nguo, chutama...ni usahuri tu wa bure!Mna tatizo mahala
AsanteNYIE MABUMUNDA MNATETEANA. YULE MWENZAKO TUTUSA , BUMUNDA HAKUWA NA AKILI HATA KIDOGO.
Bado nitasimama katika msimamo wangu,,,asante kwa maoni yakoKutenguliwa kuna sababu na, usually, sio sababu njema. Kumpongeza mtumbuliwa hakuna tofauti na kutuma ujumbe kwamba mtumbuaji kakosea, more precisely, hukustahili kutumbuliwa.
Yaani hawa jamaa ata mimi nilishangaa, ina maana tulikuwa na marais kibao. Yaani mashirika ya umma yanatumika kupongeza mawaziri waliotumbuliwa badala ya Rais aliyeko madarakani. Waziri ni mtu mdogo sana. Usishangae ni mawaziri hao hao walikuwa wanajisafisha kupitia mashirika ya umma tu. Hawa jamaa walifanya vibaya, si sawa kabisa. Toka niko mtoto enzi za mwalimu anayepongezwa kupitia mashirika na media za serikali kwa maandishi kama yale ni Rais aliyeko madarakani au Rais anyemaliza muda wake. Ina maana wanamdanganya rais wanaposema mama ametoa pesa kadhaa au kafanya kitu fulani. Tena hawa hawa ndo walionekana kusifia rais lakini sasa wanajipongeza kwamba wamefanya kazi nzuri. Mbaya sana!!!!Labda wawe wamefuta kwa vile wao ndiyo custodians wa mitandao nchini. Ila Bodi na Menejimenti ya TCRA ilimpongeza Waziri wao wa Zamani Nape Nauye baada ya kutumbuliwa juzi sambamba na TTCL, UCSAF na Posta.
Pongezi kwa kazi nzuri kwa waliotenguliwa ni kama kashfa kwa Mamlaka ya Uteuzi
Aliyefanya kazi nzuri hatenguliwi, ukitenguliwa ujue kuna kitu hakiko sawa.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari